nilichojifunza Vodacom EXPO

uyui kwetu

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2013
Posts
1,216
Reaction score
788
leo nimetembelea mlimani city Kwenye punguzo la cm pale wanauza simu bei kubwa sana tofauti na kule ndani. simu inayouzwa Kwenye punguzo 37000 basi Kwenye maduka mengine ni 32000 Nokia ya tochi double line 60000 ndani ni 54000 jionee tofauti tofauti na hapo Kuna usumbufu wa kijinga Huwezi uziwa simu bila namba wanazotoa wao
 
Bure siku zote inakuwa ghari
 
Mimi nilikwenda mlimani ct jana, kweli nimeamini kweli hii nchi rushwa na urasimu havitakwisha, kwani tukiwa pele kwenye foleni yakwenda kununua simu, watu wapikua wengi sana, lakini chakushangaza hakuna aliepata simu hata mmoja ghafla tukatangaziwa kua simu zimekwisha, at the same time kuna wahindi walikua wakiingia kwa mlango wa nyma na wakitoka na mabox ya waliouziwa simu kwa jumla, then hata wafanyakazi wenyewe wa voda walikua wanaiga dili za kutolea watu simu kwa mlango wa nyuma, so sad. So sikujua walituita pale kwenda kutuuzia nini hata sielewi, VODACOM kuweni wastaarabu msipotezee watu muda kwa vitu vya kipuuzi kama hivi next, I HATE YOU
 
kaka punguzo la bei lilikua ni kwa bidhaa maalum sio zote. kuna list kule tech an gadget kaangalie na kuna watu wameeka screenshot ya vitu walivyonunua nenda ukaone.

na mi nilichojifunza walikua wanamaliza stock ya vitu vya zamani sidhan kama nokia ya tochi ni ya zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…