Negligence ndiyo kikwazo hasa kwa sisi waafrika; tupo tofauti sana na watu weupe
Daladala linajaa mara 2 hakuna anayejali akiwemo abilia mwenyewe
Mwendo kasi unajaa mara 2 hakuna anayejali akiwemo abilia mwenyewe
Train linajaa mara 3 zaidi hakuna anayejali akiwemo abilia mwenyewe
Pantoni na vivuko huko sitaki hata kusema!!
Malori ya kwenda na kurudi minadani huko nako sitaki kusema!!
Kitu ambacho hakijai kujaa hapa Africa ni usafiri wa Ndege tu na huo ni sababu za kiusalama za kimataifa, tungekuwa na mamlaka na huko watu wangesimama au kulala chini ya viti.
Nafirkiri tutahitaji karne nyingi sana kubalidilika; si leo wala kesho na haya majanga yataendelea kutumaliza.
Daladala linajaa mara 2 hakuna anayejali akiwemo abilia mwenyewe
Mwendo kasi unajaa mara 2 hakuna anayejali akiwemo abilia mwenyewe
Train linajaa mara 3 zaidi hakuna anayejali akiwemo abilia mwenyewe
Pantoni na vivuko huko sitaki hata kusema!!
Malori ya kwenda na kurudi minadani huko nako sitaki kusema!!
Kitu ambacho hakijai kujaa hapa Africa ni usafiri wa Ndege tu na huo ni sababu za kiusalama za kimataifa, tungekuwa na mamlaka na huko watu wangesimama au kulala chini ya viti.
Nafirkiri tutahitaji karne nyingi sana kubalidilika; si leo wala kesho na haya majanga yataendelea kutumaliza.