Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 713
- 1,641
Salaam wana jf, natumai wote mnafurahia mapumziko ya mwisho wa wiki. Amani na faraja iendelee kua miongoni mwenu.
Moja kwa moja kwenye mada, nimegundua mwanaume ni kiumbe muungwana sana. Pongezi kwa wanaume wote.
Ikitokea wanaume wenzetu wakapungukiwa nguvu za kiume (mimi sijapungukiwa) utawasikia wanawake (japo sio wote) wanavyowakebehi, kuwadhihaki na kuwa kejeli wazi wazi na wanaume hua wala hawajibu mashambulizi, daima hua ni watulivu na wakinyamazia tu. Utadhani hawana cha kujibu, mwanaume mwenye maumbile madogo hudhihakiwa sana hata msemo wa kibamia ni wanawake wameucojoin na kuupublisize ila ebu fikiria wanawake mbona wao WOTE matiti yao hatima yake yanalala kama ndala ila wanaume hua hatuwakejeli wala kuwadhihaki.
Hua tuko pamoja nao tu tena tukiwafariji kwa maneno ya upendo. Kama wao hawapendezwi na vibamia vya wanaume (binafsi sina kibamia) je wao wanadhani sisi tunapendezwa na matiti yaliyo kama ndala ?!! Kwanini wanapenda kudhihaki maumbile ya wanaume wakati hata wao tena wao ni WOTE matiti yao hupoteza mvuto kabisa ila hatuwadhihaki kwa hilo?
Ikitokea wanaume wakapungukiwa kipato, oooh oooh wanawake (sio wote) watakejeli, watadhihaki ila angalia wanaume hua hawajibu dhihaka hizo. Na utakuta mwanamke anakebehi mwanaume eti anakitambi wakati yeye huyu mwanamke ana maumbile mapana na yaliyolegea katikati ya miguu ila wanaume kamwe hawamdhihaki kwa kumkumbusha kua wana maumbile yaliyotanuliwa na kulegea kupita kiasi.
Sifa ya mwanamke uzuri ila 89% ya wanawake hua na sura za baba zao ila kamwe wanaume hatuwadhihaki wanawake kwa kua na sura zisizo nzuri tena mara kadhaa tunawafariji na kuwatia moyo kua wao ni warembo wakati 89% hua hawana mvuto ila hua hatusemi, hua kimya tu aise wanaume ni watu waungwana na wastaarabu ukweli usemwe tu ndugu zangu. NAWAPONGEZA WANAUME WENZANGU WOTE, NYINYI NI TASWIRA HALISI YA UUNGWANA.
Moja kwa moja kwenye mada, nimegundua mwanaume ni kiumbe muungwana sana. Pongezi kwa wanaume wote.
Ikitokea wanaume wenzetu wakapungukiwa nguvu za kiume (mimi sijapungukiwa) utawasikia wanawake (japo sio wote) wanavyowakebehi, kuwadhihaki na kuwa kejeli wazi wazi na wanaume hua wala hawajibu mashambulizi, daima hua ni watulivu na wakinyamazia tu. Utadhani hawana cha kujibu, mwanaume mwenye maumbile madogo hudhihakiwa sana hata msemo wa kibamia ni wanawake wameucojoin na kuupublisize ila ebu fikiria wanawake mbona wao WOTE matiti yao hatima yake yanalala kama ndala ila wanaume hua hatuwakejeli wala kuwadhihaki.
Hua tuko pamoja nao tu tena tukiwafariji kwa maneno ya upendo. Kama wao hawapendezwi na vibamia vya wanaume (binafsi sina kibamia) je wao wanadhani sisi tunapendezwa na matiti yaliyo kama ndala ?!! Kwanini wanapenda kudhihaki maumbile ya wanaume wakati hata wao tena wao ni WOTE matiti yao hupoteza mvuto kabisa ila hatuwadhihaki kwa hilo?
Ikitokea wanaume wakapungukiwa kipato, oooh oooh wanawake (sio wote) watakejeli, watadhihaki ila angalia wanaume hua hawajibu dhihaka hizo. Na utakuta mwanamke anakebehi mwanaume eti anakitambi wakati yeye huyu mwanamke ana maumbile mapana na yaliyolegea katikati ya miguu ila wanaume kamwe hawamdhihaki kwa kumkumbusha kua wana maumbile yaliyotanuliwa na kulegea kupita kiasi.
Sifa ya mwanamke uzuri ila 89% ya wanawake hua na sura za baba zao ila kamwe wanaume hatuwadhihaki wanawake kwa kua na sura zisizo nzuri tena mara kadhaa tunawafariji na kuwatia moyo kua wao ni warembo wakati 89% hua hawana mvuto ila hua hatusemi, hua kimya tu aise wanaume ni watu waungwana na wastaarabu ukweli usemwe tu ndugu zangu. NAWAPONGEZA WANAUME WENZANGU WOTE, NYINYI NI TASWIRA HALISI YA UUNGWANA.