Nilichogundua kwa Rais

Nilichogundua kwa Rais

Shida Yako unataka ujuaji,na kujiona Bora kuliko wenzako ndio walewale kina Lukas Mwashambwa!, Tofauti ni mtazamo tuu! Hongera MSOMI,hata makaburini kuna wasomi hawaongei!
Mimi si najiona bora kuliko wewe.

Mimi naangalia hoja, siangalii personality.

Kwa uzi huu, ulichoandika hapa, hoja zangu ni bora kuliko zako.

Nimeweza kuzi contradict hoja zako kimantiki, kwa kutumia mifano hai.

Na wewe hujaweza kujibu critique yangu.

Umejaribu kuwaweka watu wa Zanzibar kana wapole, wasio na makuu, wasio na majivuno.

Nimekuwekea kauli za Samia zinazoonesha hoja zako ni za kijinga tu. Samia si mpole, huwezi kusema si mjivuni, huwezi kusema hana makuu.

Rais anayewapangia wahubiri nini ni cha Mungu na nini ni cha shetani utasemaje hana makuu? Huyu kajikweza kuzidi urais kajipa uongozi wa dini sasa, utasemaje hana makuu?

Rais anayesema kuwa atashinda uchaguzi mkimpigia kura au msipompigia kura utasemaje si mjivuni?

Rais anayesema kifo ni kifo tu, bila huruma kwa watu, utasemaje ni mpole?

This is utter and complete rubbish.

Bloody idiotic imbecilic ignorant impotent rubbish.
 
Mimi si najiona bora kuliko wewe.

Mimi naangalia hoja, siangalii personality.

Kwa uzi huu, ulichoandika hapa, hoja zangu ni bora kuliko zako.

Nimeweza kuzi contradict hoja zako kimantiki, kwa kutumia mifano hai.

Na wewe hujaweza kujibu critique yangu.

Umejaribu kuwaweka watu wa Zanzibar kana wapole, wasio na makuu, wasio na majivuno.

Nimekuwekea kauli za Samia zinazoonesha hoja zako ni za kijinga tu. Samia si mpole, huwezi kusema si mjivuni, huwezi kusema hana makuu.

Rais anayewapangia wahubiri nini ni cha Mungu na nini ni cha shetani utasemaje hana makuu? Huyu kajikweza kuzidi urais kajipa uongozi wa dini sasa, utasemaje hana makuu?

Rais anayesema kuwa atashinda uchaguzi mkimpigia kura au msipompigia kura utasemaje si mjivuni?

Rais anayesema kifo ni kifo tu, bila huruma kwa watu, utasemaje ni mpole?

This is utter and complete rubbish.

Bloody idiotic imbecilic ignorant impotent rubbish.
Nyani haoni kundule, Wewe hujioni ni mjivuni,huna lugha za staha,kuandika hicho kiingereza Cha mwembetogwa,unajiona ndio lugha sahihi,Wewe ndio zaidi ×120,Kuliko huyu unayemsema,hapo tuu kwa mwenye Hekima umefeli Mkuu!Pole Yako.
 
Nyani haoni kundule, Wewe hujioni ni mjivuni,huna lugha za staha,kuandika hicho kiingereza Cha mwembetogwa,unajiona ndio lugha sahihi,Wewe ndio zaidi ×120,Kuliko huyu unayemsema,hapo tuu kwa mwenye Hekima umefeli Mkuu!Pole Yako.
Maana unataka niseme nisicho kuona Mimi ili nikufurahishe wewe!Hunijui sijui,kuwa na Heshima hata nusu kijiko .Sasa mtu kama Wewe ndio uwe mshauri wa Raisi kwa Akili hii! Duuh tuna safari ndefu sana kama ndio hivyo,no reforms no election Ina maana Nyingi Sana.!
 
Nyani haoni kundule, Wewe hujioni ni mjivuni,huna lugha za staha,kuandika hicho kiingereza Cha mwembetogwa,unajiona ndio lugha sahihi,Wewe ndio zaidi ×120,Kuliko huyu unayemsema,hapo tuu kwa mwenye Hekima umefeli Mkuu!Pole Yako.
Kiingereza ni lugha ya kawaida. Hata hapa JF ukitaka kujibu unabofya "Reply" ni Kiingereza hicho.

Na Mwembetogwa ni kwetu tangu hapajajengwa Fire Station. Tangu flats za wahindi hazijajengwa.Tangu Baba Kabwela hajaenda UNO. Tangu Jumbe Tambaza yupo hai. Tangu Jumbe Chamgui ana gari zake za biashara. Tangu Sunday Manara anacheza mpira na Dilunga.

Wewe una inferiority complex.

Sasa natokankwenye Kiingerwza nakuandikia Kilatini.

What you wrote is an ad hominem logical fallacy.

You are not addressing my points, you are attacking me personally.

Ad hominem.
 
Kiingereza ni lugha ya kawaida. Hata hapa JF ukitaka kujibu unabofya "Rwply" ni Kiingwrwza hicho.

Na Mwembetogwa ni kwetu tangu hapajajengwa Fire Station. Tangu Baba Kabwela hajaenda UNO. Tangu Jumbe Tambaza yupo hai. Tangu Jumbe Chamgui ana gari zake za biashara. Tangu Sunday Manara anacheza mpira.

Wewe una inferiority complex.

Sasa natokankwenye Kiingerwza nakuandikia Kilatini.

What you wrote is an ad hominem logical fallacy.

You are not addressing my points, you are attacking me personally.

Ad hominem.
Nilimuona wa maana kumbe mjinga flani,I can't reply your comments from now onward.
 
Nimewahi kuishi Zanzibar nikiwa mdogo huko na pia kufanya nao kazi sehemu mbalimbali. Hawa watu ni wapole, wasio na makuu, wasio na majivuno!

Shida unakuja ni hawa ndugu zetu wa huku bara! Sio wa kweli kwenye moja wao wanasema ni mbili! kwenye uongo, wanasema ni ukweli, kwenye ukweli wanasema ni uongo!.

Huyu nae ni Binadamu kama tulivyo sisi wengine, mapungufu nae anayo. Chukulia mtu kama Lukas Mwashambwa kwenye mada yake Moja, Anadai Raisi asiwe na ukomo! Maana yake katiba Raisi aivunje, unategemea Nini kwa ushauri wa watu kama Hawa na mwenzake tlaahtlaah?!

Ukweli au jambo la uongo, lisemwe kwa staha bila kificho Wala fitina.
Ahsanteni sana.
Hauwezi kuniibia alafu nikujue alafu nikwambie kwa upole we kichaa, lazima unate.


Unayemtetea alifaa kuchomwa moto adharani au kuuwawa vibaya adharani uku wanawe na mmewe wanaona
 
Hauwezi kuniibia alafu nikujue alafu nikwambie kwa upole we kichaa, lazima unate.


Unayemtetea alifaa kuchomwa moto adharani au kuuwawa vibaya adharani uku wanawe na mmewe wanaona
Sawa,siko kumtetea,soma vizuri maelezo yangu Mkuu!
 
Nilimuona wa maana kumbe mjinga flani,I can't reply your comments from now onward.
Sihitaji unione wa maana.

Hoja, hoja, hoja ndiyo muhimu.

Unakimbia kwa sababu huna hoja.

Unakiponxa Kiingereza halafu hapohapo bado unakitumia.

Hapo nani mjinga sasa?
 
Sihitaji unione wa maana.

Hoja, hoja, hoja ndiyo muhimu.

Unakimbia kwa sababu huna hoja.

Unakiponxa Kiingereza halafu hapohapo bado unakitumia.

Hapo nani mjinga sasa?
Ngoja nikujibu huna hoja ya kubishana na Mimi Wewe ni mjivuni tuu,na mara Nyingi wajivuni Huwa wako kama Wewe na Hekima hawana,unachokosoa na ulivyo, ndivyo ulivyo,jichunguze,Ina maana husomi hoja za wenzio? wewe ndio uone boriti kwangu huna tofauti na mwashambwa!
 
Ngoja nikujibu huna hoja ya kubishana na Mimi Wewe ni mjivuni tuu,na mara Nyingi wajivuni Huwa wako kama Wewe na Hekima hawana,unachokosoa na ulivyo, ndivyo ulivyo,jichunguze,Ina maana husomi hoja za wenzio? wewe ndio uone boriti kwangu huna tofauti na mwashambwa!
Uliandika hivi.

"I can't reply your comments from now onward."

Lakini umeshindwa kutonijibu umejibu tena mwenyewe.

Hujui hata unataka kufanya nini, kunijibu au kutonijibu.
 
Sihitaji unione wa maana.

Hoja, hoja, hoja ndiyo muhimu.

Unakimbia kwa sababu huna hoja.

Unakiponxa Kiingereza halafu hapohapo bado unakitumia.

Hapo nani mjinga sasa?
Ungesoma Hoja yangu,usingekuja huku kwa kunishambulia kidharau,ila ndivyo Binadamu wengine walivyo, wahenga wakisema kwenye : Msafara wa Mamba, Kenge hawakosekani!
 
Ungesoma Hoja yangu,usingekuja huku kwa kunishambulia kidharau,ila ndivyo Binadamu wengine walivyo, wahenga wakisema kwenye : Msafara wa Mamba, Kenge hawakosekani!
Wewe guluguja usiye na uti wa mgongo wala ubongo hata ukishambuliwa kwa dharau ni sawa tu.

Kwa sababu unastahili dharau, ni mjinga na zaidi ni mpumbavu.

Na nitakufundisha jinsi ya kutomjibu mtu.

Nakuoeleka kwenye ignore list kuanzia hapa sitaona kabisa unachopost.

Hujafikisha viwango vya kujadiliana na mimi.
 
Uliandika hivi.

"I can't reply your comments from now onward."

Lakini umeshindwa kutonijibu umejibu tena mwenyewe.

Hujui hata unataka kufanya nini, kunijibu au kutonijibu.
Nitakujibu na ili ufurahi!We andika unavyowaza, maana hunipi pumzi, chakula,Bando, sanasana unaweka bize na kubofya!Najielewa nilivyo na Wewe unajielewa ulivyo! Hamna noma.Pua zetu zote zimetizama chini, hakuna wa kutoshuka chini!Tukiwa hai tunatamba!Maisha ni Safari Ishi upendavyo mkuu!
 
Wewe guluguja usiye na uti wa mgongo wala ubongo hata ukishambuliwa kwa dharau ni sawa tu.

Kwa sababu unastahili dharau, ni mjinga.

Na nitakufundisha jinsi ya kutomjibu mtu.

Nakuoeleka kwenye ignore list kuanzia hapa sitaona kabisa unachopost.

Hujafikisha viwango vya kujadiliana na mimi.
Kweli huna Akili,hapa unabishana na baba Yako! Duuh kweli Bora unyimwe Mali sio Akili! Wanaona watu ulivyo na marks unapata!
 
Wewe guluguja usiye na uti wa mgongo wala ubongo hata ukishambuliwa kwa dharau ni sawa tu.

Kwa sababu unastahili dharau, ni mjinga.

Na nitakufundisha jinsi ya kutomjibu mtu.

Nakuoeleka kwenye ignore list kuanzia hapa sitaona kabisa unachopost.

Hujafikisha viwango vya kujadiliana na mimi.
Ubora wako anaujua mkeo na familia Yako,hata Mimi Hivyo hivyohivyo,tunajadili Nini na Wewe Unafanya Nini!Ndio uwe mshauri wa Raisi mtu Kama Wewe kweli, Tuna safari ndefu kwa Akili zako!
 
Nimewahi kuishi Zanzibar nikiwa mdogo huko na pia kufanya nao kazi sehemu mbalimbali. Hawa watu ni wapole, wasio na makuu, wasio na majivuno!

Shida unakuja ni hawa ndugu zetu wa huku bara! Sio wa kweli kwenye moja wao wanasema ni mbili! kwenye uongo, wanasema ni ukweli, kwenye ukweli wanasema ni uongo!.

Huyu nae ni Binadamu kama tulivyo sisi wengine, mapungufu nae anayo. Chukulia mtu kama Lukas Mwashambwa kwenye mada yake Moja, Anadai Raisi asiwe na ukomo! Maana yake katiba Raisi aivunje, unategemea Nini kwa ushauri wa watu kama Hawa na mwenzake tlaahtlaah?!

Ukweli au jambo la uongo, lisemwe kwa staha bila kificho Wala fitina.
Ahsanteni sana.

Wazanzibari hawawapendi watu wa Bar/Tanganyika
Wazanzibari ni wachoyo kwa wageni .
Wazanzibari hawapendi Wakristo.
Wazanzibar wakiwa Zanzibar hata bidhaa za dukani mtu mwanya kichogo anapandishiwa bei.
Wazanzibar hawampendi Nyerere na Falsafa zake za ujamaa ,umoja na mshikamano.
Wazanzibar hawapendi waanganyika waishi Zanzibar .
Wazanzibar hawathamini uhai wa mtu hasa mtanganyika na mkristo.
Wazanzibar wanapendeleana sana wanapokuwa nje ya Zanzibar .
Wazanzibar wanapenda visasi .
Zanzibar hawajali chochote mbele ya kujilimbikizia mali .
Zanzibar wanapenda sifa sana .
Wazanzibar wakibaki wenyewe wanabaguana kwa rangi .
Mzanzibari mwenye thamani kubwa zaidi ni wale wenye rangi ya mtume yaani wenye asili ya kiarabu . Wale wenye asili ya Tanganyika wanathaminiwa kwa sababu ya madaraka tu lakini hawana mvuto bila dola .

Kiufupi Kumpa Madaraka Mzanzibari Kuitawala Tanganyika ni hatari sana . Nchi itagawanyika sana wala hakuna ubishi . Wanaposema ukristo sio dini wana maanisha na hawatanii . Wangetamani pasiwe na mkristo popote duniani na wakipata nafasi wanatumia mbinu nyingi sana kuudhoofisha ukristo.
Kule Zanzibar wanaambiana kuwa Mapadri na kanisa hakuna jambo wanaofanya zaidi ya kuendeza Ushoga tu na kulawiti watoto . Kwa hiyo wanasema kuwa kanisa halifai kwa sababu kazi yake ni kufungisha ndoa za jinsia moja . Wakati huo huo kwa unafiki wao wanakukwapua pesa Tanganyika na kwenda kujenga mahoteli ya watalii ambao wengi wao wananunua ngono na vitendo vya ushoga . Watalii wanawapenda kwa sababu ya pesa lakini mila zao zikiharibika wanasema ni Watanganyika ndio wabaya .

Samia kuitawala Tanganyika ni sawa na Zelensicky Kuwa Rais wa Urusi.

Huyu Mama yetu asome tu alama za nyakati awaachie wengine ili asiharibu sifa yake na kuharibu umoja wa watangayika na ukarimu wao .

Watanganyika sio kwamba tu ni wanafiki lakni pia ya imani waliofundishwa kuwa CCM ni chama cha wa waasisi wetu Nyerere na karume . Kizazi kilichopo kitageuka mwaka huu . Mama Samia ni vema akaacha Tamaa . Kwa sababu JPM angekuwapo angestaafu na umakamu wa Rais . Na angejipatia heshima kubwa japo asingejipatia utajiri mkubwa anaoutafuta ili akashinda ni na Familia ya JK na Mwinyi . Wale walishajichotea miaka hiyo . Kwa sasa dunia ya leo Samia hata akistaafu atakuja kuumbuka sana maana kila atakacho kufanya akistaafu kitawekwa hadharani . Mengine wameamua kuyaacha kwa sasa ila akistaafu atakashifiwa na kudhalilishwa sana na kila alichokifanya kinyume na sheria kitamgharimu sana maana ni wazi kizazi cha CCM kinapungua sana pamoja na kuwa na mapesa mengi na vyeo vya kumwaga lakni Watu mil.65 wengi wao bado wapo katika hali ngumu kabisa kwa sababu fedha za nchi zimetapanywa na wazanzibari wachache bila huruma.
 
Back
Top Bottom