Nilichogundua kuhusu mnyanduano

Nilichogundua kuhusu mnyanduano

Nashangaa,watu kujifanya utakatifu mwingiii wakati kwenye viti vya ibadani walikuwa wanawaza utelezi tu

Unafiki ni mbaya sana na ndio maana huwa tunakufa mapema, ubongo wetu haujaumbiwa kuwaza mambo magumu. watuache na weekend yetu murua tumeshazoea magumu mengi na tumeamua kurelax na bado watu wengine wanataka kutufanya kama watumwa wa fikira zao.
 
Romance haihusiani na sura bali hisia za mtu, unaeza kutana na mtu sura laini romance hajui ila mikito lazima uende poa.
Ungesema kwamba wanaume wanaojua romance hawajui mikito. na wale wasiojua romance wana mikito ya moto, kisogo ningekuelewa ila sura na romance au mikito haihusiani mbona kuna mijitu ina sura ngumu afu bwabwa
Imeisha hiyo mkuu,asante kwa ufafanuzi zaidi👊
 
Mwanaume mzuri sura ni mtamu kwenye romance afu mwanaume Mwenye sura mbaya ni mtamu kwenye kuduu especially hatua ya kupiz.....afu ajaaliwe mtalimbo.(nadhani waliogundua threesome wana akili sana,huyu mzuri romance huyu mgumu sura kupiga miti).Mwanaume Mwenye sura ngumu ukizaa nae mtoto wa kike sura ya baba,mama lawama zinakuhusu toka kwa mtoto(hizo ndo side effects)

Leo ndo nimeamka kihivi[emoji58][emoji34]
Utafiti wako umetumia sample ngapi?
 
😂😂kuoa au kutokuoa...u single mom au kuolewa mbona imekuwa ni maisha tu kama maisha mengine...uliza mkuu...kote kwa moto😉

Kawaida sana hiyo na watu hawawazi kabisaa hasa dada zetu sasa hivi anazaa mtoto wake na anapiga mishe zake kuendesha maisha yake na mwanae that is the beauty of life.
 
kawaida sana hiyo na watu hawawazi kabisaa hasa dada zetu sasa hivi anazaa mtoto wake na anapiga mishe zake kuendesha maisha yake na mwanae that is the beauty of life.
Dunia na walimwengu wake ni bas tena
 
😂😂kuoa au kutokuoa...u single mom au kuolewa mbona imekuwa ni maisha tu kama maisha mengine...uliza mkuu...kote kwa moto😉
Si kuna wale wanashawishi USIOE ila hit and run sababu wanawake hawafai kwa ndoa.
Wakikutana na mada kama hii imetoka kwa binti wanachokifanya ni kuongeza sauti ya ule wimbo " We mpelekee moto, pekeka moto"
 
Romance za kazi gani, kuwa na mtu hajui kufanya ni sawa tu mpo wanawake wawili.......inahitajika shoo shoo
Wewe sasa ndo unajua.
Show show mpaka unapepea na feni kipoe, unaomba uletewe maji ya kunywa unapatiwa na show inaendelea, unaomba kukojoa unaambiwa wewe kojoa tu hapo hapo tutafua.
 
unafiki ni mbaya sana na ndio maana huwa tunakufa mapema, ubongo wetu haujaumbiwa kuwaza mambo magumu. watuache na weekend yetu murua tumeshazoea magumu mengi na tumeamua kurelax na bado watu wengine wanataka kutufanya kama watumwa wa fikira zao.
Kupenda kuonekana mtakatifu mbele za watu huku hizo si tabia zako ni utumwa
 
Si kuna wale wanashawishi USIOE ila hit and run sababu wanawake hawafai kwa ndoa.
Wakikutana na mada kama hii imetoka kwa binti wanachokifanya ni kuongeza sauti ya ule wimbo " We mpelekee moto, pekeka moto"
😂😂😂😂kweli aisee,lazima wakimbie.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom