Nilichogundua kuhusu mnyanduano

Nilichogundua kuhusu mnyanduano

Doooh sodhani km kuna ukweli wowote hapa maana kuna wanawake pia wana sura km futari ya Magimbi, sasa mtoto anatokaje na sura nzuri km wote wana sura za kikauzu?
😂😂😂😂😂🙌
 
Itoshe tu kusema wanawake hawana shukrani...mara six pack,mara hela,mara mrefu,mara sura nzur,mara gari yan wanaume wenzangu tutakufa na mhaho wa kuwaridhisha KE!.
 
Itoshe tu kusema wanawake hawana shukrani...mara six pack,mara hela,mara mrefu,mara sura nzur,mara gari yan wanaume wenzangu tutakufa na mhaho wa kuwaridhisha KE!.
😂😂😂siye tuache iviivi mkuu
 
Wale wa "USIOE, JALI MAISHA YAKO" wameshachukua diary kuongeza point. Idadi ya single mama tutarajie kuongezeka kwa mwaka 2023.
 
weekend leo hatuna hela ya viti virefu bora tupoteze muda humu, kama mtu upo serious na haya maisha ignore thread tu 😂😂😂😂
Nashangaa,watu kujifanya utakatifu mwingiii wakati kwenye viti vya ibadani walikuwa wanawaza utelezi tu
 
Wale wa "USIOE, JALI MAISHA YAKO" wameshachukua diary kuongeza point. Idadi ya single mama tutarajie kuongezeka kwa mwaka 2023.
😂😂kuoa au kutokuoa...u single mom au kuolewa mbona imekuwa ni maisha tu kama maisha mengine...uliza mkuu...kote kwa moto😉
 
Romance haihusiani na sura bali hisia za mtu, unaeza kutana na mtu sura laini romance hajui ila mikito lazima uende poa.
Ungesema kwamba wanaume wanaojua romance hawajui mikito. na wale wasiojua romance wana mikito ya moto, kisogo ningekuelewa ila sura na romance au mikito haihusiani mbona kuna mijitu ina sura ngumu afu bwabwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom