Nilichogundua kuhusu huu ugonjwa wa Corona

bongo man

JF-Expert Member
Dec 26, 2016
1,053
2,328
Habarini wa jamvi ..

Kwanza napenda kumshukuru mungu sanaa kwa kuniponya gonjwa hili la corona ,in short mimi ni mhanga wa hili gonjwa la corona japo now nimepona na nipo japo afya bado haijakawa sawa 100% mia kama zamani lakini nahisi nimeushinda.

Ndugu zangu ngojeni niwaambie kitu .kwanza huu ugonjwa hauna dawa sasa wala kinga hivyo basi tahadhari ni muhimu sanaa kuchukua ,nikumbushie tu kuwa kufuata njia ya wataalamu ni bora zaidi katika kujikinga na kuchukua tahadhari na kujikinga mwenyewe pia niwatoe hofu kuwa msiwe na hofu huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine tatizo lake ni moja linakuwahisha kaburini mapema .

Sasa basii niende kwe lengo langu nachotaka kusema ndugu zangu ni kwamba mazingira yetu ya kiafrica hata uvae barakoa siku nzima na ujipake sanatizer mwili mzima masaa24 hakika huwezi ikimbia corona kwa movement zetu za kila siku zinatufanya to meet na watu wanaojali na wasiojali na bahatu mbaya sheria kipofu au hakuna kabisa kudhibiti jambo hilo .

Sasa basi ukitaka upambane na korono fuata masharti yote ya wataalamu wa afya kama kunawa mikono na kadharika ila usisahau KUFANYA CHECKUP YA MWILI WAKO KILA MARA KWA MAGONJWA MBALI MBALI ikiwezekana kama unawezo kwenye scanner na yaribu hayo magonjwa hata kama hujisikii kuumwa chocchote au hauna dalili wewe corona haitokusumbua corona ukiipata inatafuta pale kwenye weakness ndani ya mwili wako ndo inakaa hapo sasa ndo utakoma nayo yani kwa mfano : kama una matatizo ya moyo ndo hali hiyo inakuwa shida zaidi na lazima ikuondoe nini cha kufanya sasa?

Kwa wake wenye matatizo ya afya chukueni tahadhari mara mia ya wale wazima unless umekwisha.ndo maana corona inaua zaidi wazee kuliko vijana coz kinga yao ipo chini .

SOMO:tuimarishe kinga kwa mavyakula na madawa yanoelekezwa na wataalamu check up za mara kwa mara na kujitibu hakika utakufa siku zinefika sio kwa corona kizembezembe.

Nawatakia weekend njema.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mkuu, ila wagonjwa msisahu bilauli ya mchanganyiko wa limao na tangawizi ikiwa ya moto ukitumia kutwa mara tatu sio mbaya,
Ila pia nimepata kugundua kuwa watu wanene na wenye mavitambi makubwa ndio wanaokufa wengi, poleni sana ndugu zangu, msisahau pia kufanya mazoezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahiyo pia nilikuwa natumia kuzuia kifua kubana na nilifanikiwa ila siamini kama ni dawa rasmi bali inafubaza tu hivyo virusi na kinga yako ndo inavishambulia sasa .
Ni kweli mkuu, ila wagonjwa msisahu bilauli ya mchanganyiko wa limao na tangawizi ikiwa ya moto ukitumia kutwa mara tatu sio mbaya,
Ila pia nimepata kugundua kuwa watu wanene na wenye mavitambi makubwa ndio wanaokufa wengi, poleni sana ndugu zangu, msisahau pia kufanya mazoezi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walinipa dawa ya mafua ya alerg,panado, amoxilini na nikakutwa na marelia nako nikadungwa sindano za qwenini za kutosha ila corona ilikuwepo ila mpaka sasa nipo safii kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
mimi siumwi chochote ila nina mafua kwa mbali nayahs kwa ndani na nina kuwa nahs maumivu ya kfua kwa mbali mda mwingi toka jpili ile... nimeanza dozi ya limau
= tangawizi, mazoezi na amoxylin siku ya tatu leo
 
Mzee hiyo check-up ya mara kwa mara unaifanyia nyumbani!!?? Nchi zote ambazo huu ugonjwa umepiga kambi, ushauri wa kwanza ni "futa safari za hospitali kama hauumwi"
Unasema? Acha utani kabisa wewe utajuaje kama huumwi bila kupimwa ? Fanya checkup mwili mzima ndo ujiwekee uhakika wa mapambano sio unalala na kuamka unajiona mzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujatueleza hatua ulizochukua mpaka umerecover.
Mzee hakuna dawa mzee yani hospital unapewa dawa kama unavyosema ukisema kichwa kinaumwa unapewa panado ukisema kifua kinabana unapewa amoxilini ukisema tumbo linauma inapimwa kinyesi ukionwa unabakteria flani unapewa dawa ya kuwatibu unapiwa na marelia bila kusahau ngoma ,tb , kisukari n.k dharika mzee .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi siumwi chochote ila nina mafua kwa mbali nayahs kwa ndani na nina kuwa nahs maumivu ya kfua kwa mbali mda mwingi toka jpili ile... nimeanza dozi ya limau
= tangawizi, mazoezi na amoxylin siku ya tatu leo
Namimi ilianza hivyovyo mafua yanakuja yakata mwisho wake ndo nikadalenda hospitali mwenye kumpimwa tayariii unakuwa na dalili zote kama za mtu mwenye u.t.i kali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wa jamvi ..

Kwanza napenda kumshukuru mungu sanaa kwa kuniponya gonjwa hili la corona ,in short mimi ni mhanga wa hili gonjwa la corona japo now nimepona na nipo japo afya bado haijakawa sawa 100% mia kama zamani lakini nahisi nimeushinda.

Ndugu zangu ngojeni niwaambie kitu .kwanza huu ugonjwa hauna dawa sasa wala kinga hivyo basi tahadhari ni muhimu sanaa kuchukua ,nikumbushie tu kuwa kufuata njia ya wataalamu ni bora zaidi katika kujikinga na kuchukua tahadhari na kujikinga mwenyewe pia niwatoe hofu kuwa msiwe na hofu huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine tatizo lake ni moja linakuwahisha kaburini mapema .

Sasa basii niende kwe lengo langu nachotaka kusema ndugu zangu ni kwamba mazingira yetu ya kiafrica hata uvae barakoa siku nzima na ujipake sanatizer mwili mzima masaa24 hakika huwezi ikimbia corona kwa movement zetu za kila siku zinatufanya to meet na watu wanaojali na wasiojali na bahatu mbaya sheria kipofu au hakuna kabisa kudhibiti jambo hilo .

Sasa basi ukitaka upambane na korono fuata masharti yote ya wataalamu wa afya kama kunawa mikono na kadharika ila usisahau KUFANYA CHECKUP YA MWILI WAKO KILA MARA KWA MAGONJWA MBALI MBALI ikiwezekana kama unawezo kwenye scanner na yaribu hayo magonjwa hata kama hujisikii kuumwa chocchote au hauna dalili wewe corona haitokusumbua corona ukiipata inatafuta pale kwenye weakness ndani ya mwili wako ndo inakaa hapo sasa ndo utakoma nayo yani kwa mfano : kama una matatizo ya moyo ndo hali hiyo inakuwa shida zaidi na lazima ikuondoe nini cha kufanya sasa?

Kwa wake wenye matatizo ya afya chukueni tahadhari mara mia ya wale wazima unless umekwisha.ndo maana corona inaua zaidi wazee kuliko vijana coz kinga yao ipo chini .

SOMO:tuimarishe kinga kwa mavyakula na madawa yanoelekezwa na wataalamu check up za mara kwa mara na kujitibu hakika utakufa siku zinefika sio kwa corona kizembezembe.

Nawatakia weekend njema.



Sent using Jamii Forums mobile app
umetumia nn asee hebu share watu wajue
 
umetumia nini na nini mkuu maanahata mimi niko kwenye matibabu mkuu
kaka kula vyakula vyenye alkaline kubwa maana hapo lengo ni kuweka mazingira ya mwili sawa na mwili ili uweze kujikinga na mazingira ya makamasi kutengenezwa mwilini naimani itakusaidia kaka

Na mazoezi kwa sana na usiwe na msongo sana wa mawazo

pia jaribu kutafuta majani flani hivi wanaita iyombo inasaidia nimeijaribu kuitumia japo sina huo ugonjwa ila imeondoa mafua kabisa natamani uitumie na itasaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kaka kula vyakula vyenye alkaline kubwa maana hapo lengo ni kuweka mazingira ya mwili sawa na mwili ili uweze kujikinga na mazingira ya makamasi kutengenezwa mwilini naimani itakusaidia kaka

Na mazoezi kwa sana na usiwe na msongo sana wa mawazo

pia jaribu kutafuta majani flani hivi wanaita iyombo inasaidia nimeijaribu kuitumia japo sina huo ugonjwa ila imeondoa mafua kabisa natamani uitumie na itasaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
so vitu kama limao na machunga ni muhimu eh.... huo mti ntaupata wapi niko dar
 
na pia tumia vitu kama vitungu swaumu maji ya moto kunywa kila unaposikia maumivu ya kichwa juice ya stapheli ndimu ni nzuri zaidi ya limao kwasababu ina alkalinity kubwa ikiwa imebadilishwa mwilini kuliko limao japo sisi watu wengi wanapendelea limao

ika jaribu tena yale majani ya iyombo ukiyapata yatasaidia kama ni gonjwa la mafua
umetumia nini na nini mkuu maanahata mimi niko kwenye matibabu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom