Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Okay Fanya ulinganifu wa superiority ya Arusha na Mwanza from their recent cities budget in comparison.
Mwanza
Madiwani wapitisha bajeti
Baraza la madiwani la Halmashauri ya jiji la MWANZA limepitisha makadirio ya mapato na matumizi ya shilingi Bilioni 87 katika mwaka wa fedha wa 2016/2017
Madiwani wapitisha bajeti - TBC.go.tz
Arusha
bajeti ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ya Halimasahauri ya jiji la Arusha hatimaye jambo hilo limewekwa hadharani ambapo kiasi cha shilingi bilioni 109 zimepitishwa na baraza la madiwani kwa ajili ya kuanza kutekeleza mipango ya kimaendeleo.
CHAGUO LA MSOMI | UNLIMITED NEWS
Sasa nikupa range ya cash budget deposits in hand ya hizo halmashauri mbili unaweza kuhama Mwanza .
Out of topicNaona umeamua kuja na ID mpya ili uanze ubishi upya... Kufungua tu umevamia hapa na hivyo vipost 10 vyote umevitolea hapa... Tunawaendesha mpaka unacreate ID nyingi nyingi...
Kwakuwa unasema tuleta official report za majiji basi mimi bila hiyana naendelea kuwakong'ota.. Sasa mlikuwa mmejificha kwenye Jiji.. Nawapa hii, tafuteni kichaka kingine cha kujificha.. Property Tax na Land Rent Jiji la Arusha limeizidi Mwanza.. Still mnasema Jiji la Arusha ni dogo na Mwanza ni kubwa...Hzo facts za fisadi kuu zpo too general mi nimebase kwenye hii miji miwili...ye amekrupuka na mapato kwa njia ya kodi na akaja na conclusion kuwa jiji la Mwanza si lolote....fact zake zipo sahihi but nimemwambia anipe takwimu za majiji na miji ktk contribution ya kodi....naamini akileta utaona minimal difference kat ya Chuga na mwanza (as cities) ukitoka nje ya mji Wa Mwanza hakuna chchte kinachobeba mkoa, zile wilaya choka mbaya sana...hata ukiunganisha na geita bado hal ni tete cse geita pale ni GGM tuu...but ukitoka nje ya Chuga pale mjini utakuta vyanzo kibao.. ..hvyo mi nahtaji hzo data za miji na majiji...!!!! TRA wanatakiwa watupe uchanganuzi huu pia
Wametaka data za Majiji... Nimewawekea hapo Property Tax na Land Rent waliokuwa wanapigia kelele jana wamegalagazwa.. Ingawa ni ya mwaka wa fedha 2012/13Duh alafu kama ulikua kwenye akili yangu.
Fake ids Fake mindset
Umekimbilia kwenye vimini hahahaha.Arusha Directory:Wataka kuona vimini vya vimini (min-miniskirts)? Nenda Picnic, stress free zone.
NBS ni Taasis inayofanya kazi kwa weledi.. Na kwa taarifa yako tu mwaka jana ilitungwa sheria bungeni ili serikali iwe inatumia tafiti za NBS kwenye shughuli zake.. Kama ulisikia mswada wa Takwimu. Kwahiyo NBS usilinganishe na hao Twaweza wala usilinganishe na blah blah zako humu..Data hata sisi tunaweza kukusanya na kufanya tafiti. Ukishindwa unalinganisha kwa macho hapo utagundua mwanza ipo juu. Kila mtu na mwalimu wake. Ndiyo maana twaweza walikuja na data zao zikawa hazikubaliki kipindi cha uchaguzi unafikiri wakuchunguza. Bebe nang'ho.
Atleast you have come with articles that I wanted to post. Now they can see the difference.Baraza la madiwani la Halmashauri ya jiji la MWANZA limepitisha makadirio ya mapato na matumizi ya shilingi Bilioni 87 katika mwaka wa fedha wa 2016/2017 huku Halmashauri ya manispaa ya ILEMELA nayo ikipitisha bajeti ya shilingi Bilioni 54.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakati wa vikao vya mabaraza hayo, madiwani wa jiji la MWANZA pamoja na Manispaa ya ILEMELA wametaka kuimarishwa kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani ili kuwezesha kutekelezeka kwa bajeti hizo.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya ILEMELA, RENATUS MULUNGA ametaka uwajibikaji pamoja na uadilifu katika ukusanyaji wa mapato ya ndani ya shilingi BILIONI NANE ili kuwezesha bajeti hiyo kutekelezeka.
Aidha suala la kutengwa kwa shilingi MILLIONI MIA SITA kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika shule za sekondari limepingwa vikali na madiwani wa jiji la MWANZA.
amacus Butunga
02 March 2016
Uliombwa urekebishe?? Kuna aliyerekebisha zaidi yako au unafikiri wengine hawakuona??
Mbona wewe ulivyokuja kuomba kukopeshwa laki mbili humu hakuna aliyekupigia kelele?? Huko mtaani huishi na watu au wanaokuzunguka wote ni choka mbaya??
Nahitaji mkopo wa dharura
Wewe mbona wale wale unakumbuka post zako page za kwanza ulikuwa unapost porojo za ukabila na ukanda tu.NBS ni Taasis inayofanya kazi kwa weledi.. Na kwa taarifa yako tu mwaka jana ilitungwa sheria bungeni ili serikali iwe inatumia tafiti za NBS kwenye shughuli zake.. Kama ulisikia mswada wa Takwimu. Kwahiyo NBS usilinganishe na hao Twaweza wala usilinganishe na blah blah zako humu..
Swala kama haujui si unyamaze tu au uulize kwani nimeshindwa na Mimi kuleta ya arumeru hapa hatuongelei region we are talking about city council hata ya Arusha ni ya wilaya ya Arusha tu.Baraza la madiwani la Halmashauri ya jiji la MWANZA limepitisha makadirio ya mapato na matumizi ya shilingi Bilioni 87 katika mwaka wa fedha wa 2016/2017 huku Halmashauri ya manispaa ya ILEMELA nayo ikipitisha bajeti ya shilingi Bilioni 54.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakati wa vikao vya mabaraza hayo, madiwani wa jiji la MWANZA pamoja na Manispaa ya ILEMELA wametaka kuimarishwa kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani ili kuwezesha kutekelezeka kwa bajeti hizo.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya ILEMELA, RENATUS MULUNGA ametaka uwajibikaji pamoja na uadilifu katika ukusanyaji wa mapato ya ndani ya shilingi BILIONI NANE ili kuwezesha bajeti hiyo kutekelezeka.
Aidha suala la kutengwa kwa shilingi MILLIONI MIA SITA kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika shule za sekondari limepingwa vikali na madiwani wa jiji la MWANZA.
amacus Butunga
02 March 2016
Tofauti iko hapa.. Si blah blah, hizi ni officialAtleast you have come with articles that I wanted to post. Now they can see the difference.
I'm done with you... Unaomba laki 2 mitandaoni????Imepenya hiyo, povu linatoka mpaka umeanza fukunyuku na kutoka nje ya mada. Kwani saccos zimeanzishwa kwa sababu gani babu😀
Wewe mbona wale wale unakumbuka post zako page za kwanza ulikuwa unapost porojo za ukabila na ukanda tu.
Kama kawaida yetu tumewapiga double kabisa kwenye cumulative outcome alafu wanasema mapato yetu ni mbugani tu!!!,Wametaka data za Majiji... Nimewawekea hapo Property Tax na Land Rent waliokuwa wanapigia kelele jana wamegalagazwa.. Ingawa ni ya mwaka wa fedha 2012/13
Imagine MTU hajui hata tofauti ya jiji na mkoa hajui hata Mwanza city council inahusika na maeneo gani!!!!
Mkuu labda na wewe hujaelewa, swali jiji la arusha linaindwa na manispaa ngapi? Na je unajua jiji la mwanza linaundwa na manispaa ngapi?.Swala kama haujui si unyamaze tu au uulize kwani nimeshindwa na Mimi kuleta ya arumeru hapa hatuongelei region we are talking about city hata ya Arusha ni ya wilaya ya Arusha tu.
Kaa kimya au uliza uelimishwe au rudi darasani.
Naona unataka kuforce tulinganishe manispaa ya nyamagana na jiji la arusha sasa.Swala kama haujui si unyamaze tu au uulize kwani nimeshindwa na Mimi kuleta ya arumeru hapa hatuongelei region we are talking about city council hata ya Arusha ni ya wilaya ya Arusha tu.
Kaa kimya au uliza uelimishwe au rudi darasani.