KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Mkuu huyu ajui tu hata huku bongo kuna kuvamiwa kuna kutekwa au kutaka kufanyiwa uhalifu mtu anajilinda Kama anahuo ujuzi..Kutokana na Utulivu uliopo nchini kwetu inaonekana haina faida, ila kwa nchi zenye vurugu ni faida