Ukishinda hiki kishawishi ulichokisema hapa, ambacho wana ndoa wote hupitia, basi ndoa yako inadumu hadi kifo. Hata ukioa miss world, lazima ndoa yako itapitia hatua hii. Na hapo sasa ndio kuna tofauti kati ya mume na mwanaume au mke na mwanamke.
Mpaka Sasa ivi thread za majanga ya ndoa nilizosoma humu Ni Kama 28364684.. na asilimia 95 zimepostiwa na Wanaume.
Kwa utafiti huu na kwa kutumia principle ya loss and profit and balance sheet In a Petty cash book naomba nifike kwenye conclusion Kama ifuatavyo hapo chini
"Ndoa Ni kwa ajili ya Mwanamke.. waliosemaga ndoa ndoano hawakukosea.. Mwanaume Ni Kama samaki na Chambo Ni hicho kilicho katikati ya miguu ya mkeo.. ukinaswa umepatwa"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.