Samahani mwenye andiko hili. Nimeyakuza maandishi ili nisome kwa urahisi. Kwa wengine "mnaoposti threads" zenu tafadhali jitahidini kukuza maandishi ili kutusaidia sisi tunaopata shida kusoma maandishi madogo.
nimeifanyia kazi mkuu,
Kama ni kweli basi watu wanasaka asee...
Kwa 10m unauziwa mke wa mtu? Tena kavu...
Au labda huyu prisca wala hakua mke wa jamaa....walikufix tu..