ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,252
- 8,341
Umeona eeh..... bro ana bahati kweli bahati mbaya ni sumu aliyoahidiwa na wife?, nadhani akipita hapa akaona huu uzi, lazima ajiandae kwa sumu
Housegirl alikuzimikia
kama anavokuzimikia dada msafishaji wa ofisini kwenu, yule mwenye umbo
dogodogo.
Inaonesha una bahati nao.