Niliacha kazi bila kupata termination letter napataje Mafao ya michango ya NSSF?

Niliacha kazi bila kupata termination letter napataje Mafao ya michango ya NSSF?

Mnyuke Jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2021
Posts
4,500
Reaction score
6,458
Naomba niende kwenye swali moja kwa moja, Mtu alikuwa ni mwanachama wa uchangiaji katika mfuko wa Nssf na alikuwa ameajiriwa katika sekta binafsi na katika kazi ambayo ni non-skilled labor or non-proffesional job

Na ana michango yake ya zaidi ya miezi 20,ila kwasababu zilizopo nje ya uwezo wake alishindwa kuendelea na kazi na alikosa hata muda wa kuomba kuachishwa kazi kazini kwake ili aweze kupewa termination letter itakayomsaidia kwenda kuchukua mafao yake nssf
Ila baada ya miaka 2 kupita ndo anahitaji kwenda kuchukua mafao yake huko nssf.

Ni aina gani ya mafao ambayo anapaswa kwenda kuchukua na anapaswa kufuata utaratibu upi?
 
Naomba niende kwenye swali moja kwa moja,Mtu alikuwa ni mwanachama wa uchangiaji katika mfuko wa Nssf na alikuwa ameajiriwa katika sekta binafsi na katika kazi ambayo ni non-skilled labor or non-proffesional job na ana michango yake ya zaidi ya miezi 20,ila kwasababu zilizopo nje ya uwezo wake alishindwa kuendelea na kazi na alikosa hata muda wa kuomba kuachishwa kazi kazini kwake ili aweze kupewa termination letter itakayomsaidia kwenda kuchukua mafao yake nssf ila baada ya miaka 2 kupita ndo anahitaji kwenda kuchukua mafao yake huko nssf.
Ni aina gani ya mafao ambayo anapaswa kwenda kuchukua na anapaswa kufuata utaratibu upi?
Habari!
Kama alikuwa ni kibarua na ana barua ya kuachishwa kazi aende ofisi ya NSSF na barua ya kuachishwa kazi.
Pale atapewa form atazipeka kwa mwajiri wake,mwajiri akizijaza,atazirudisha tena NSSF.
Kama kila kitu kipo sawa ndani ya siku 7 za kazi ataingiziwa Fedha kwenye akaunti yake aliyoiandika kwenye form.
NSSF wameboresha sana mfumo wa malipo ya mafao.
 
Anaweza kudai Fao la Kuacha Kazi (Withdrawal Benefit) kutoka NSSF.
  1. Sifa:
    • Ameacha kazi kwa zaidi ya miezi 18.
    • Ana zaidi ya miezi 12 ya michango.
    • Hana ajira mpya.
    • Ana umri chini ya miaka 55.
  2. Kama hana termination letter:
    • Atengeneze hati ya kiapo (affidavit) kwa wakili.
    • Aandike barua ya maelezo binafsi.
  3. Nyaraka muhimu kwenda nazo NSSF:
    • Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
    • Namba ya NSSF
    • Barua ya maelezo
    • Taarifa ya benki
    • Picha 2 za pasipoti
  4. Hatua:
    • Aende ofisi ya NSSF.
    • Ajaze fomu ya kudai mafao.
    • Asubiri uthibitisho na malipo.
 
Iwe itakavyokuwa lazima akakutane uso kwa uso na mwajiri wake ili ampe barua ya termination.

Ukiona unakaribia kulala mbele hakikisha unavyo hivyo vitu hata kwa ku forgeries kabla uondoke.

Na kama uliharibu watahakikisha wamekula sambamba na wewe.
Madam unamaanisha mwajiri analala na wewe mbere?
 
Anaweza kudai Fao la Kuacha Kazi (Withdrawal Benefit) kutoka NSSF.
  1. Sifa:
    • Ameacha kazi kwa zaidi ya miezi 18.
    • Ana zaidi ya miezi 12 ya michango.
    • Hana ajira mpya.
    • Ana umri chini ya miaka 55.
  2. Kama hana termination letter:
    • Atengeneze hati ya kiapo (affidavit) kwa wakili.
    • Aandike barua ya maelezo binafsi.
  3. Nyaraka muhimu kwenda nazo NSSF:
    • Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
    • Namba ya NSSF
    • Barua ya maelezo
    • Taarifa ya benki
    • Picha 2 za pasipoti
  4. Hatua:
    • Aende ofisi ya NSSF.
    • Ajaze fomu ya kudai mafao.
    • Asubiri uthibitisho na malipo.
Kama hana termination letter atengeneze hati ya kiapo kwa wakili.Je,kiapo kitakuwa kina husiana na nini?
 
Anaweza kudai Fao la Kuacha Kazi (Withdrawal Benefit) kutoka NSSF.
  1. Sifa:
    • Ameacha kazi kwa zaidi ya miezi 18.
    • Ana zaidi ya miezi 12 ya michango.
    • Hana ajira mpya.
    • Ana umri chini ya miaka 55.
  2. Kama hana termination letter:
    • Atengeneze hati ya kiapo (affidavit) kwa wakili.
    • Aandike barua ya maelezo binafsi.
  3. Nyaraka muhimu kwenda nazo NSSF:
    • Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
    • Namba ya NSSF
    • Barua ya maelezo
    • Taarifa ya benki
    • Picha 2 za pasipoti
  4. Hatua:
    • Aende ofisi ya NSSF.
    • Ajaze fomu ya kudai mafao.
    • Asubiri uthibitisho na malipo.
Kama hana termination letter atengeneze hati ya kiapo kwa wakili inayohusiana na nini
Anaweza kudai Fao la Kuacha Kazi (Withdrawal Benefit) kutoka NSSF.
  1. Sifa:
    • Ameacha kazi kwa zaidi ya miezi 18.
    • Ana zaidi ya miezi 12 ya michango.
    • Hana ajira mpya.
    • Ana umri chini ya miaka 55.
  2. Kama hana termination letter:
    • Atengeneze hati ya kiapo (affidavit) kwa wakili.
    • Aandike barua ya maelezo binafsi.
  3. Nyaraka muhimu kwenda nazo NSSF:
    • Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
    • Namba ya NSSF
    • Barua ya maelezo
    • Taarifa ya benki
    • Picha 2 za pasipoti
  4. Hatua:
    • Aende ofisi ya NSSF.
    • Ajaze fomu ya kudai mafao.
    • Asubiri uthibitisho na malipo.
Nashukuru kwa haya maelezo ila hili fao ndo nimelisikia leo
 
Ongea na HR wako vizuri, mueleze uliyopitia, mwambie uhitaji wako wa sasa.. atakusaidia..

Mradi hukuondoka vibaya, ila hata kama ni vibaya ni haki yako
 
Iwe itakavyokuwa lazima akakutane uso kwa uso na mwajiri wake ili ampe barua ya termination.

Ukiona unakaribia kulala mbele hakikisha unavyo hivyo vitu hata kwa ku forgeries kabla uondoke.

Na kama uliharibu watahakikisha wamekula sambamba na wewe.
😅😅😅
Haya maelezo yako nimecheka sana
 
Anaweza kudai Fao la Kuacha Kazi (Withdrawal Benefit) kutoka NSSF.
  1. Sifa:
    • Ameacha kazi kwa zaidi ya miezi 18.
    • Ana zaidi ya miezi 12 ya michango.
    • Hana ajira mpya.
    • Ana umri chini ya miaka 55.
  2. Kama hana termination letter:
    • Atengeneze hati ya kiapo (affidavit) kwa wakili.
    • Aandike barua ya maelezo binafsi.
  3. Nyaraka muhimu kwenda nazo NSSF:
    • Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
    • Namba ya NSSF
    • Barua ya maelezo
    • Taarifa ya benki
    • Picha 2 za pasipoti
  4. Hatua:
    • Aende ofisi ya NSSF.
    • Ajaze fomu ya kudai mafao.
    • Asubiri uthibitisho na malipo.
Pia nilifikiri kuna benefits hizi hapa tu
Screenshot_20250601_030325_Chrome.jpg
 
Anaweza kudai Fao la Kuacha Kazi (Withdrawal Benefit) kutoka NSSF.
  1. Sifa:
    • Ameacha kazi kwa zaidi ya miezi 18.
    • Ana zaidi ya miezi 12 ya michango.
    • Hana ajira mpya.
    • Ana umri chini ya miaka 55.
  2. Kama hana termination letter:
    • Atengeneze hati ya kiapo (affidavit) kwa wakili.
    • Aandike barua ya maelezo binafsi.
  3. Nyaraka muhimu kwenda nazo NSSF:
    • Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
    • Namba ya NSSF
    • Barua ya maelezo
    • Taarifa ya benki
    • Picha 2 za pasipoti
  4. Hatua:
    • Aende ofisi ya NSSF.
    • Ajaze fomu ya kudai mafao.
    • Asubiri uthibitisho na malipo.
Kiongozi niaje?? Kama sina kitambulisho cha NIDA ila namba ninayo vipi naweza kuhudumiwa??
 
Maana nimeona wanasema wanataka na copy ya kitambulisho cha NIDA..
Na kama nimeishia form 4 na ni unskilled watanipa mpunga wangu wote??
 
Anaweza kudai Fao la Kuacha Kazi (Withdrawal Benefit) kutoka NSSF.
  1. Sifa:
    • Ameacha kazi kwa zaidi ya miezi 18.
    • Ana zaidi ya miezi 12 ya michango.
    • Hana ajira mpya.
    • Ana umri chini ya miaka 55.
  2. Kama hana termination letter:
    • Atengeneze hati ya kiapo (affidavit) kwa wakili.
    • Aandike barua ya maelezo binafsi.
  3. Nyaraka muhimu kwenda nazo NSSF:
    • Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
    • Namba ya NSSF
    • Barua ya maelezo
    • Taarifa ya benki
    • Picha 2 za pasipoti
  4. Hatua:
    • Aende ofisi ya NSSF.
    • Ajaze fomu ya kudai mafao.
    • Asubiri uthibitisho na malipo.
Mkuu taarifa ya benki u mean kadi ya benki au
 
Anaweza kudai Fao la Kuacha Kazi (Withdrawal Benefit) kutoka NSSF.
  1. Sifa:
    • Ameacha kazi kwa zaidi ya miezi 18.
    • Ana zaidi ya miezi 12 ya michango.
    • Hana ajira mpya.
    • Ana umri chini ya miaka 55.
  2. Kama hana termination letter:
    • Atengeneze hati ya kiapo (affidavit) kwa wakili.
    • Aandike barua ya maelezo binafsi.
  3. Nyaraka muhimu kwenda nazo NSSF:
    • Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
    • Namba ya NSSF
    • Barua ya maelezo
    • Taarifa ya benki
    • Picha 2 za pasipoti
  4. Hatua:
    • Aende ofisi ya NSSF.
    • Ajaze fomu ya kudai mafao.
    • Asubiri uthibitisho na malipo.
Mkuu asante Kwa huu ufafanuzi, binafsi Nina swali la ziada, je endapo mwajiriwa ameachishwa kazi, kisha akachagua kuendelea kuchangia michango yake kama mwajiri binafsi ( self employed) mtu huyu endapo atasitisha uchangiaji Kwa sababu zozote, utaratibu wa kupata mafao yake ukoje?
 
Back
Top Bottom