Kama hii habari ni uzushi basi Wema ana haki ya kulisue hili gazeti!
Halafu na yeye ale wapi?Kama hii habari ni uzushi basi Wema ana haki ya kulisue hili gazeti!
Sina hamu na magazeti ya udaku waliwahi andika johari yu hoi taaban kitandan hawezi nyanyuka wala kuongea jaman huwez amin gazeti la siku hiyohiyo nikamuona johar mbeya yuko anachukua kadi ya ccm mbeya ana afya yake tele niliacha kusoma udaku mimiLeo au sasa hivi?
Haya magazeti uchwara bila kina wema hawaendi chooni watoto wao
hahaha si alianzisha undugu nao yeye mwenyewe kwa kuenda kuwahonga ili wampaishe? avumilieAkifanya hivyo itakula kwake maana magazeti ya udaku yakisusa kuandika habari zake atasahaulika.
Uliacha wewe mmoja lakini hawa jamaa wana audience kubwa sana na wenyewewe wanafurahia hilo.Sina hamu na magazeti ya udaku waliwahi andika johari yu hoi taaban kitandan hawezi nyanyuka wala kuongea jaman huwez amin gazeti la siku hiyohiyo nikamuona johar mbeya yuko anachukua kadi ya ccm mbeya ana afya yake tele niliacha kusoma udaku mimi
nimeipenda hiyo story ya king majuto
Chama la watuhumiwaKaribu CHADEMA wema