souljah meditater
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,146
- 2,094
kiki tu dizaini team zake hazimpi shavu kama zamani
Unajua nini.............Kwani huyu aliyeuzuria miss Tanzania ni Wema yupi .....?
Watu hata hawaangalii tarehe.Gazeti kama la 31st Oct -03rd Nov 2014.....
Wee ndio umeangalia vibaya. Au hata Millard Ayo naye kakosea kuliweka?Watu hata hawaangalii tarehe.
Haya, sawa.Wee ndio umeangalia vibaya. Au hata Millard Ayo naye kakosea kuliweka?
haha nilitaka niwaamishe raia kwenye reliDuh! Lugha hii tabu sana.
Hapo ndo utajua kwa nini kwenye movie za Nigeria wazee wote huvaa kofia nyekundu za Man U
Yah hilo gazeti la miaka hiyo mkuu hujakosea kabisaGazeti kama la 31st Oct -03rd Nov 2014.....
Angalieni tarehe ya gazeti. Ni la November 2014 kama nimeona vizuri. Ova !