STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,260
Sasa kwanini makampuni mengine yasijaribu kuweka ulinzi kama wa iCloud ili bidhaa zao ziwe bora zaidi?ni kweli though sio wote. kuna watu wananunua iphone na kuamua kuachana na security kisha wakajailbreak simu zao wawe na uhuru.
wapo watu wanaotaka security hasa maeneo ya enterprise kwenye makampuni wao wanataka security zaidi kuliko uhuru.
na kuna wengine (majority) hata hawajui security ni nini wao wananunua tu iphone kama status. akiwa anamiliki iphone anaskia raha
mi nahisi hiko ndo moja ya kitu muhimu wateja wanachohitaji..