Nikwel security ya Blackbery ni bora kuliko I Phone?

Nikwel security ya Blackbery ni bora kuliko I Phone?

mt.j

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2014
Posts
284
Reaction score
280
Kwa Ufaham Wangu Najua Blackbery Walikuwa Wakiongoza Kwa Mda Mrefu Katik Security Kwa Sasa Tuna Aminishwa Na I Phone Kweny I Cloud Kuwa Ndo Ina Ubora Zaid Katka Ulnzi Je Ni Kwel Kwamb Blackbry Wamezidiwa Na Kupokonywa Sifa Hyo!
 
Kwa Ufaham Wangu Najua Blackbery Walikuwa Wakiongoza Kwa Mda Mrefu Katik Security Kwa Sasa Tuna Aminishwa Na I Phone Kweny I Cloud Kuwa Ndo Ina Ubora Zaid Katka Ulnzi Je Ni Kwel Kwamb Blackbry Wamezidiwa Na Kupokonywa Sifa Hyo!

inaitwa iPhone mkuu ilikua zamani ila kwa sasa iPhone ndo simu ngumu zaidi Kudukuliwa.
 
Kwa Ufaham Wangu Najua Blackbery Walikuwa Wakiongoza Kwa Mda Mrefu Katik Security Kwa Sasa Tuna Aminishwa Na I Phone Kweny I Cloud Kuwa Ndo Ina Ubora Zaid Katka Ulnzi Je Ni Kwel Kwamb Blackbry Wamezidiwa Na Kupokonywa Sifa Hyo!

swali lako lipo general sana, unamaanisha security ya nini? ila kukujibu hivyo hivyo kigeneral sasa hivi blackberry anatumia android hivyo kupata security kama ile ya bb za zamani sahau.
 
Na ndio sababu inayomfanya rais wa Marekani mpaka leo kutumia blackberry badala ya iPhone!
 
Na ndio sababu inayomfanya rais wa Marekani mpaka leo kutumia blackberry badala ya iPhone!

Siyo kweli Obama katengenezewa simu maalum kama ilivyo gari lake la Cadillac japo siyo magari mazuri ni special tuu kwake na kuwekewa vitu vya bei kubwa kwa sababu ya ulinzi wake hivyo hivyo hata Blackberry yake.
 
swali lako lipo general sana, unamaanisha security ya nini? ila kukujibu hivyo hivyo kigeneral sasa hivi blackberry anatumia android hivyo kupata security kama ile ya bb za zamani sahau.


Mkuu natafuta hiyo bb yenye inatumia android..nipe mifano...Nazipenda bb lakini app store(bb world) yake naionaga kama haina enough apps
 
Mkuu natafuta hiyo bb yenye inatumia android..nipe mifano...Nazipenda bb lakini app store(bb world) yake naionaga kama haina enough apps

so far imetoka blackberry priv.

ila hata hio bb yako unaweza ukaweka store ya android kama amazon app store au 1mobile market then ukaweza tumia apps za android
 
Na ndio sababu inayomfanya rais wa Marekani mpaka leo kutumia blackberry badala ya iPhone!

Hapa Ndo Nilpo Kuwa Napatafuta Hli Ndo Lilifanya Niulze Hli Swal, Licha Ya Kuwa Bb,wanatmia Android Kwa Sasa Je N Ngumu Kuwa Hacked Maana Wana Bb Protect?
 
Baada ya kuhamia iphone nahisi kupumzika sasa 🤓🤓🤓
 
Hapa Ndo Nilpo Kuwa Napatafuta Hli Ndo Lilifanya Niulze Hli Swal, Licha Ya Kuwa Bb,wanatmia Android Kwa Sasa Je N Ngumu Kuwa Hacked Maana Wana Bb Protect?

Android haiwezi kuwa safe, the way ilivyotengenezwa hakuna namna ya kuifanya iwe safe hadi google mwenyewe aamue
 
Android haiwezi kuwa safe, the way ilivyotengenezwa hakuna namna ya kuifanya iwe safe hadi google mwenyewe aamue

Android 5.0 and above unaweza kufanya encryption ya data zote mbona. Na pia Kama umeinstall Xposed modules kuna module nina tumia inaitwa Xprivacy ina control what application have access to for example kama autaki Facebook kuaccess gallery yako unaweza set na kuendesha.
 

Attachments

  • Screenshot_2015-11-15-13-06-13.png
    Screenshot_2015-11-15-13-06-13.png
    27.4 KB · Views: 272
windows phone ndio simu ngumu sasa hivi kuzihack, iphone hadi kusideload apps unaweza.

hata windows phone unaweza kujailbreak...ila iclowd ya iPhone naona ni next level...mmmh ila sjajua mleta mada anamaana ya sequrity IPI?
 
hata windows phone unaweza kujailbreak...ila iclowd ya iPhone naona ni next level...mmmh ila sjajua mleta mada anamaana ya sequrity IPI?

Tufundishe basi huko kujailbreak,

Ukitoa developer unlock (ambayo inafanywa na microsoft wenyewe) sijaona njia nyengine ya kuichakachua windows phone
 
Android 5.0 and above unaweza kufanya encryption ya data zote mbona. Na pia Kama umeinstall Xposed modules kuna module nina tumia inaitwa Xprivacy ina control what application have access to for example kama autaki Facebook kuaccess gallery yako unaweza set na kuendesha.
Am not sure hio tool yako ina power kiasi gani ila android ni very complicated sababu app ikiwa na administrator power sidhani kama itashindwa kudisable hiko kitu.

Malware wengi wa android wanabypass security za android na hata ant virus sababu tu wana admin power.

Test mwenyewe eka app yoyote yenye power ya admin (kuhakiki nenda setting then security then device administrator ) ikishakaa jaribu kublock vitendo vyake
 
Tufundishe basi huko kujailbreak,

Ukitoa developer unlock (ambayo inafanywa na microsoft wenyewe) sijaona njia nyengine ya kuichakachua windows phone

jailbreak iliwezekana kwa lumia 710 kwa kutumia app moja hivi inayo husika na mambo ya network hii ikafanya developer mmoja jina nimesahau wa xda developer kuweza kutumia hiiyo app kuingia katika system file kwa ujanja wake akatengeza registry editor ambayo inatumia mgongo wa hiyo app ili kuedity system..iliwezekana kwa lumia 710 pekee zilizobaki zote ikashindikana..lakini nikizungumzia icloud lock ni ngumu kutoa kuliko lock za kawaida hizi za akina lumia..kunamtu hapa ofic alilock lumia 535 nikaweza kuunlock kwa kuhard reset kwa kutumia combination keys ..na pia kuna blackberry playbook ililokiwa kwa BlackBerry id simple nikaitoa kwa kukosea makusudi Mara 10 then inajifactory reset yenyewe...sasa tukija apple hii latest iOS ni ngumu kutoa kama imelokiwa na apple id.
 
jailbreak iliwezekana kwa lumia 710 kwa kutumia app moja hivi inayo husika na mambo ya network hii ikafanya developer mmoja jina nimesahau wa xda developer kuweza kutumia hiiyo app kuingia katika system file kwa ujanja wake akatengeza registry editor ambayo inatumia mgongo wa hiyo app ili kuedity system..iliwezekana kwa lumia 710 pekee zilizobaki zote ikashindikana..lakini nikizungumzia icloud lock ni ngumu kutoa kuliko lock za kawaida hizi za akina lumia..kunamtu hapa ofic alilock lumia 535 nikaweza kuunlock kwa kuhard reset kwa kutumia combination keys ..na pia kuna blackberry playbook ililokiwa kwa BlackBerry id simple nikaitoa kwa kukosea makusudi Mara 10 then inajifactory reset yenyewe...sasa tukija apple hii latest iOS ni ngumu kutoa kama imelokiwa na apple id.

hio lumia 710 ni ya zamani sana ni sawa na mtu aje na iPhone 3gs halafu aseme haina security.

pia kufanya hard reset then kusema simu haina security seems huelewi usemalo sababu mtu ambae anajali data zake na security kitu cha kwanza ataomba ufanye hard reset kuliko kuona kilicho ndani ya simu.

na ukifikiri ant theft ni security feature kubwa pia upo wrong sababu naweza iba simu nikaangalia ninachotaka kuona na icloud ikiwepo, then nikimaliza haja zangu naitekeleza tu simu.

wp kuitwa most secured os sio Mimi au Microsoft wenyewe Bali ni hackers mbali mbali na security researcher

Windows Phone security is top notch, says Kaspersky

Under Attack: An interview with a hacker | What Mobile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom