Nikubali kuwa na huyu binti?

Nikubali kuwa na huyu binti?

Sababu ya kumuacha unazijua wewe tu, Basi na uamuzi wa either kurudiana au lah uwe nao wewe tu.
 
Natamani ningekuwa nna uwezo wa kufuta baadhi ya thread kama hizi ili niwe nawasaidia mods maana utumbo umezidi humu
 
Si ungeacha hata kuandika Uzi kama hutaki kuweka sababu hapa.
 
Fanya vile moyo wako unataka we nduo unamjua huyo binti
 
Samahani, poleni na majukumu wakuu na sitaki kuwachosha, naomba nielekee kwenye mada moja kwa moja.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kipindi fulani, nikaamua kuachana naye kwasababu ninazojua mimi tu, naniweza kumwandikia message " aniache nitulize kichwa changu" maana nilihisi mapenzi ni utumwa kwangu.

Imepita four months ameamua kunipigia simu, vipi wakuu nikubali au mnasemaje? Naombeni ushauri (bubbles are allowed).
Ogopa sana mapenzi pasua kichwa yani utakoma sana

Achana nae huyo hakufai
 
Samahani, poleni na majukumu wakuu na sitaki kuwachosha, naomba nielekee kwenye mada moja kwa moja.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kipindi fulani, nikaamua kuachana naye kwasababu ninazojua mimi tu, naniweza kumwandikia message " aniache nitulize kichwa changu" maana nilihisi mapenzi ni utumwa kwangu.

Imepita four months ameamua kunipigia simu, vipi wakuu nikubali au mnasemaje? Naombeni ushauri (bubbles are allowed).
midterm mnafanya lini? ulikuwa wa ngapi safari hii?
 
Back
Top Bottom