Nikubali kuwa na huyu binti?

Nikubali kuwa na huyu binti?

Hakuchukiii, ila anakuona "just a friend". Sio kila anayekupigia simu anakuwa na hisia na wewe..!! Acha utoto..!! Ina maana wewe wanaokupigia simu wote wana hisia na wewe..??
Naona kama haulewi vile,...acha niishie hapo
 
Kama ulimwacha kwa sababu zako unamuomba nani ushauri sasa? Si,ushauriane na sababu zako!!!
 
Rudisha hiyo sim kwa mamaako mara moja..... Ile home work ya somo la kugawanya umeshafanya? Na table ya tisa umekariri yote? Kesho usisahau kubeba fagio na maji ya kumwagia maua ni zam ya mwl frank
 
Katika mapenzi kunakitu kinaitwa 'uendawazimu wa mapenzi'
Haujasikia mtu anamfukuza mpenzi wake kwa kashifa na kipondo juu, lakini baada ya sikumbili tatu unakuta wamerudiana na wanapendana kuliko mwanzo!
Sasa watu 'dizaini' hiyo ndiyo wewe, unatutikisia kiberiti.
Kwenye penzi ni kwamba uamzi wa kulivunja ni wa kwako binafsina halihitaji ushauri.
Suala lenu ukilitoa hadharani maana yake unataka suluhu.
Mtu mwenye busara zake hata adhihirishe kabisa kuwa mmoja ananyanyasika,kamwe hawezi kutoa ushauri wa kuvunja, bali atajitahidi kusuluhisha.
Dosari ama malalamiko yahusuyo mapenzi yatolewayo hadharani huwa ni kwa ajili ya usuluhishi tu.... Wigwaga au wigagwa nyanda?
 
Samahani , poleni na majukumu wakuu na sitaki kuwachosha,naomba nielekee kwenye mada moja kwa moja.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kipindi fulani, nikaamua kuachana naye kwasababu ninazojua mm tu, naniweza kumwandia message " aniache nitulize kichwa changu" maana nilihisi mapenzi ni utumwa kwangu.Imepita four months ameamua kunipigia simu, vipi wakuu nikubali au mnasemaje? ..naombeni ushauri (bubbles are allowed).
Mwache arudi kila mmoja utayempata ana matundu saba hutampata wa tofauti wote ni walewale
 
Katika mapenzi kunakitu kinaitwa 'uendawazimu wa mapenzi'
Haujasikia mtu anamfukuza mpenzi wake kwa kashifa na kipondo juu, lakini baada ya sikumbili tatu unakuta wamerudiana na wanapendana kuliko mwanzo!
Sasa watu 'dizaini' hiyo ndiyo wewe, unatutikisia kiberiti.
Kwenye penzi ni kwamba uamzi wa kulivunja ni wa kwako binafsina halihitaji ushauri.
Suala lenu ukilitoa hadharani maana yake unataka suluhu.
Mtu mwenye busara zake hata adhihirishe kabisa kuwa mmoja ananyanyasika,kamwe hawezi kutoa ushauri wa kuvunja, bali atajitahidi kusuluhisha.
Dosari ama malalamiko yahusuyo mapenzi yatolewayo hadharani huwa ni kwa ajili ya usuluhishi tu.... Wigwaga au wigagwa nyanda?
Hongera uwezo wako umeishia hapo...
 
Back
Top Bottom