Nikubali kuwa na huyu binti?

Nikubali kuwa na huyu binti?

Rudisha hiyo sim kwa mamaako mara moja..... Ile home work ya somo la kugawanya umeshafanya? Na table ya tisa umekariri yote? Kesho usisahau kubeba fagio na maji ya kumwagia maua ni zam ya mwl frank
Nsharuhusu mapovu ,uwanja wako mkuu......
 
Nani alimuacha mwenzake tuanzie hapo.maana inaonenyesha kama ulpigwa kibut mkuu
 
Ulimuacha kwa sbb zako unazozijua mwenyewe, kwa nini usijishauri kwa sbb zako unazozijua mwenyewe. Ni sawa na kwenda kwa padri kuungama ukifka unamwambia niungamishe dhambi zako unazijua mwenyewe.
 
Ulimuacha kwa sbb zako unazozijua mwenyewe, kwa nini usijishauri kwa sbb zako unazozijua mwenyewe. Ni sawa na kwenda kwa padri kuungama ukifka unamwambia niungamishe dhambi zako unazijua mwenyewe.
Mkuu, toa ushauri wako sio kuzunguka....
 
Simu yake nimeipokea na akanipa hi tu..maana ninadra kupigiwa simu na mtu ambaye mmeachana naye mda mrefu.
kwa hiyo kukupigia ndio anataka kurudisha mahusiano? ebu kua bwana kama umehamua kumwaga mmwage mazima simu sio issue
 
Mkuu kwani hiyo kichwa ishatulia tayari, angalia mapenzi yasijekuwa utumwa kwako tena
 
Hivi matibabu ya kutuliza kichwa huko mirembe ni miezi minne tu? je kichwa chako kimekwisha tulia?
 
Back
Top Bottom