Nikopesheni hela jamani

Nikopesheni hela jamani

Aisee pole..na usiku wa kuamkia ahadi ya kulipa deni unavyokuwaga mfupi kwa mdaiwa, sasaivi jogoo linawika.
 
Unalipa kila mwezi Tsh150,000 au kodi ya mwezi ni Tsh5,000,,pole sana,kwa ushauri ungesema uko wapi ili wenyeji wakufuate wajue kama una sifa ya kukopa
 
tatizo mnaishi na wenye nyumba wenu kwa maigizo...

kwani ukimwambia mtu umekwama kodi utamlipa mwez ujao anakufukuza??

mbona binafsi kodi nishapitiliza mara nyingi napokwama na nimeshailipa mapema mara nyingi napozifumania na mwenye nyumba anaelewa...

ishini na watu vizuri.. onyeshen maisha yenu halisi.. sio kuishi kwa maigizo na usaniii

Doh, inategemea. Kuna wenye nyumba wengine ni vimeo sana ujue..
 
Vipi tena ticha.......mbona tarehe za kike hizi.......au.....namna gani vipi.......?......
 
Mwenye nyumba ananidai kodi jamani na hela sina kwa sasa kuna jamaa nlimukopesha nae mambo hayajakaa vzr. Naomben ndugu zangu mnikopeshe laki na nusu ntarudisha ijumaa ya wiki lijalo

dah pole
 
Pole sana ila nikushauri tu angalia mara mbili uhusiano wako na mwenye nyumba, haiwezekani ashindwe kukuvumilia siku chache(hata mwezi). Kama tatizo sio wewe basi huyo jamaa atakuwa sio mtu mzuri. Laki na nusu ni ngumu kidogo kupata nakushauri utafute hata 50 tu umpe na umuomba asubiri upate hela.
 
Back
Top Bottom