Nikola Tesla vs Albert Einstein: The Ether & the Birth of the New Physics

Nikola Tesla anashindanishwa na Thomas Edison na wakina Marconi...
Huyu Einstein amekuwepo wakati wakina Tesla wameshamuwekea vianzia vingi tu.
Wakati Tesla ni babu huyu Einstein alikuwa kijana mdogo tu...
Mkuu naomba nikukosoe kidogo. Tesla na Einstein walikuwepo wakati mmoja
Tesla July 10, 1856----January 7, 1943
Einstein March 14, 1879----April 18, 1955
Pili hebu niambie theory hata moja ya Tesla ambayo Einstein ametumia kama foundation yake.
 
Ila kwa kweli nimesoma hapa kuhusu huyu jamaa halafu nikachoka. Remote control ameanza kutumia 1898. anaendesha Boat kwa remote control mwaka 1898 watu wakawa wanasema kuna kitu ameficha kwenye boat ndiyo kinachoiendesha. Mimi hapa kwetu mimeishangaa kwa mara ya kwanza mwaka 1986.

Nikola Tesla - Wikipedia
Mkuu jiulze kwanini Tesla hakupewa noble prize besides na kugundua many practible things in the history of human kind.

Alafu tena jiulze ni kwann FBI walichukua kazi za tesla na kuzificha mpka leo ?

Ilibidi kikao cha wanasayansi kikakaa kuwa kwanin Tesla hajaheshimiwa....yani hadi Einstein ana Nobel prize Tesla hana ? Wakati kila kitu alicho gundua Tesla 20 yrs later Einstein anakuja kutungia theory yake eg Laser.

Basi vichwa vilikaa na vikasema kwakua SI unit ya magnetic field ni Webber per meter spuare bas
1Tesla= Webber/m^2

Napo bado Great thinkers wanadoubt kwanini Tesla hajaheshimiwa ila watunga theories aameheshimiwa?



Angalia hapa
ebdfa9cadf99d76e24c0768c35c8bd1e.jpg
 
Mkuu naomba nikukosoe kidogo. Tesla na Einstein walikuwepo wakati mmoja
Tesla July 10, 1856----January 7, 1943
Einstein March 14, 1879----April 18, 1955
Pili hebu niambie theory hata moja ya Tesla ambayo Einstein ametumia kama foundation yake.
Tesla ni mkubwa ki umri
 
TESLA NDO KILA KITU ROBERT EINSTEIN ALIKUWA WAKISIASA ZAIDI.TESLA ALIKUJAKUSAIDIA DUNIA NA INVESTIONS ZAKE ILA CAPITALIST WAKAMUONA THREAT NANDO KISA CHA KUMPOTEZA JAMAA NA KUMUHUISHA ALBERT KAMA NDO MTU MWENYE AKILI KULIKO WOTE KUPATA KUTOKEA.
 
Tesla ni mkubwa ki umri
elewa content,waliishi wakati mmoja.Suala la nani mkubwa hata mtoto wa darasa la pili anaweza kutaja hasw baada ya mimi kukuwekea umri wa wote hapo juu. Kama wewe ulivyo hai leo na mimi pia nipo lakini tuna umri tofauti.
 
elewa content,waliishi wakati mmoja.Suala la nani mkubwa hata mtoto wa darasa la pili anaweza kutaja hasw baada ya mimi kukuwekea umri wa wote hapo juu. Kama wewe ulivyo hai leo na mimi pia nipo lakini tuna umri tofauti.
Ukubwa wa Tesla kiumri that meas aligundua vitu nyuma kabla Einstein hajanza ....so you may think your self who studied on the shoulders of another?

Yaani ni sawa na ukute nimegundua Kinyonga wewe utengenezee maelezo kuwa kinyonga huwa anabadili rangi ukimpiga
 
Nikola Tesla alifichwa sana na media kwasababu hakuwa mzaliwa wa Marekani pamoja na kuwa alikuwa na uraia wa USA....

Huyu Albert E.. Kabebwa sana na midea hawezi kumfikia hata robo ya mdudu Tesla.... Tesla hakuwa binadamu wa kawaida... Mama yake alizaa na Alliance akazaliwa huyo mdudu Tesla... Mambo mengi sana yanayo mhusu tesla yamefichwa kapuni
 
Ukubwa wa Tesla kiumri that meas aligundua vitu nyuma kabla Einstein hajanza ....so you may think your self who studied on the shoulders of another?

Yaani ni sawa na ukute nimegundua Kinyonga wewe utengenezee maelezo kuwa kinyonga huwa anabadili rangi ukimpiga
Niambie tu theory gani ya Tesla amabyo Einstein aliitumia kama foundation yake ?
 
Niambie tu theory gani ya Tesla amabyo Einstein aliitumia kama foundation yake ?
Tesla alikuwa anatengeneza incandescence lump ambayo hutumia gaseous Tesla alicheza na maneon tubes tangu enzi....coincedence na Jinsi Laser inavo oparate as a stimulated of particles of heated gaseous matter like Neon ambayo inadaiwa Einstein aliipredict kwenye Photoelecteic emission yake.
 
Tesla alikuwa anatengeneza incandescence lump ambayo hutumia gaseous Tesla alicheza na maneon tubes tangu enzi....coincedence na Jinsi Laser inavo oparate as a stimulated of particles of heated gaseous matter like Neon ambayo inadaiwa Einstein aliipredict kwenye Photoelecteic emission yake.
Wewe unaongelea watu tofauti. Tesla ni Inventor kama nilivyokupa somo hapo juu na sidhani kama una physics theory hata moja ya Tesla,Einstein alikuwa physicists. Vitu tofauti sana hapo.
Mfano,yeye alishughulika sana na umeme AC lakini alitumia kazi za wengine kama wakina michael faraday,Galvani,Ohm etc etc. Hakugundua umeme ila invention yake ndo ilisababisha tutumie AC power vs DC power.
 
Jambazi, phill, smigo4u hapa hatuangalii nani mkali kati ya Nikola Tesla au Albert Einstein ila tunaangalia kwanini Tesla alikataa theory ya Einstein
Yeah alikataa ni matter ya view yake .
Tesla alianzisha theory iitwjayo Dynamic Theory of gravity ambayo ndani yako ilikubaliana na ga Newton kwamba bodies in the universe are held together by a force wich relates to their mass and inversely proportional to the spuares of the distance between them.

Tesla Dynamic theory of gravity haikuwa pewa couvarage kama Einstein theory...me sijuw kwanin...ila FBI wanahusika...Tesla alidai Einstein relativity is like a bugger to whom great men takes for a king.

.......continue
 
Kwa kuwa alikuwa haielewi. Na hakuwa peke yake kati ya watu wasioielewa.
Hahaha mkuu Einstein is a Genius among of Geniuses but the world know whose beyond Einstein know it or explore the secrets behind it.
 
Kwa kuwa alikuwa haielewi. Na hakuwa peke yake kati ya watu wasioielewa.
watu wanakimbilia kusema Tesla mkali wakati mada inahusu kitu kingine yani watu wanjibu tofauti na mada
 
Back
Top Bottom