Nikola Tesla vs Albert Einstein: The Ether & the Birth of the New Physics

Hapo unamzungumzia intelligent (brilliant) na Genius Albert Einstein alikuwa ni Genius huku Nikola Tesla alikuwa ni Intelligent (brilliant) leo huwezi kulinganisha hawa watu wawili kwani katika kushindanisha vitu kuna utaratibu ni lazima ufatwe ikiwamo vitu vinavyoshindanishwa ni lazima vilingane au kufanana ktk utendaji kazi au uwezo wa vitu hvyo lazima huwe ktk level sawa au moja Albert Einstein alikuwa ni mwana fizikia ( physicist) huku Nikola Tesla alikuwa ni mhandisi wa umeme (electrical engineer) so ni vitu tofauti sana kumfananisha mhandishi wa umeme na Genius utakuwa hutendi haki kwani mtu yeyote anaweza kuwa mhandishi wa umeme lakini si kila mtu anaweza kuwa Genius
Mkuu bas wewe utakuwa wrong somewhere...U Genius wa Einstein ni mdogo sana kufikia ule wa Tesla...Einstein amekuwa praised sana na media tangu 2005. Mara nyingine Einstein andaiwa ati kumzidi Newton? Kitu ambacho sivyo! Ukiangalia vitu alivyo raise Einstein ni theoretical base san wakati vya Tesla hapa dhnia ilipo 99% ya tech ni Tesla...yaan in short watu wanasema bila Mtoe Tesla na findings zake halafu tuish kwa theory za Einstein kitu ambacho hakiwezekani ila ukimtoa Einstein kwa findings za Tesla tunaishi. Einstein is so overrated lkn sio kama alivyo.
 
Hapo unamzungumzia intelligent (brilliant) na Genius Albert Einstein alikuwa ni Genius huku Nikola Tesla alikuwa ni Intelligent (brilliant) leo huwezi kulinganisha hawa watu wawili kwani katika kushindanisha vitu kuna utaratibu ni lazima ufatwe ikiwamo vitu vinavyoshindanishwa ni lazima vilingane au kufanana ktk utendaji kazi au uwezo wa vitu hvyo lazima huwe ktk level sawa au moja Albert Einstein alikuwa ni mwana fizikia ( physicist) huku Nikola Tesla alikuwa ni mhandisi wa umeme (electrical engineer) so ni vitu tofauti sana kumfananisha mhandishi wa umeme na Genius utakuwa hutendi haki kwani mtu yeyote anaweza kuwa mhandishi wa umeme lakini si kila mtu anaweza kuwa Genius pia hawa wote walikuwa wanafanya kazi na shuguli tofauti kabisa Albert Einstein alikuwa anadeal na (Matter, Energy, Time, Space, Motion, Gravity na Photons) huku Nikola Tesla alikuwa anadeal na (Technology na Science)
issue ni kwamba kwanini Tesla alikataa alikuwa anajaribu kupinga uvumbuzi wa Einstein
 
Ivi Albert Einstein si ndo alitengeneza atomic bomb au,..!?
Hapan Einstein kipindi anaenda US alikuta tayari wanaunda Atomic bomb la kumpiga Japan. Walikuwa wanapata shida sana hasa ni kias gani kinahitajika katika bom kupiga eneo flani? Ni mass ya Nuclei kias gani inahtajk? Wanatumia njia ngumu kujua uwezo wa bomu. Lkn Einstein aliwapa simple theoretical formula kuwa E=mc^2 inaweza kupredict everything about an atomic bomb ila hakugundua bomb bali alicontribute kama hivyo tu
 
Tesla alikuwa anafanya practical zake za high power frequency yaan alikuwa akiraise an electricity about millions of voltages. Siku

Pillar ya Einstein relativity ni light...i mean Einstein anaamini hakuna kiendacho na speed kubwa zaid ya mwanga. But Tesla alikuwa anavuna umeme kutoka angani sio solar yaan free energy from the space via an antenna na gari la Tesla lilitumia antena as source of energy na sio mafuta kwani aling'oa injini ya petrol na kuweka motor (hapo utajua kwanini baada ya Tesla kufa, FBI hawa release paper na findings za Tesla jiulze..walisha zificha). Kipindi Tesla anafnya high power frequencies experiments aliclaim kudetect Rays zenye speed mara 1000 yamwanga...Leo hii utaona kuna vitu vinaitwa Tachyons hivi vinakadiriwa kuwa na speed mara 1000 ya ile ya mwanga so vina agree na Tesla...wakati mwanga ndo limit ya relativity ya Einstein. Hapa palikuwa ni moja ya disagreement btn these two men.
 
Nikola Tesla and Albert Einstein were two of the greatest scientists of all time, but they often worked in opposition to each other rather than together in cooperation.

Einstein’s theory of relativity required the belief that there are no speeds faster than the speed of light, which is 186,300 miles per second, but Tesla’s scientific work disagreed with Einstein’s hypothesis. Theories have been challenged and refuted over the years, and that has certainly been the case with Einstein’s theory of relativity, but, thus far, that theory still stands among mainstream scientists. An example of a theory that was supposedly “proven” was the belief that it was impossible to fly a heavier-than -air machine, but that belief is proven wrong thousands of times every day.

Scalar waves are another interesting phenomenon. Such waves sometimes called Tesla Waves or Longitudinal Waves are capable of penetrating any solid object, and are believed to travel faster than light. This faster than light disagreement is but one of the many disagreements between Tesla and Einstein. Tesla also differed with Einstein and the quantum physicists in his view of the structure of the elementary particles and the possible consequences caused by the smashing of atoms. To Tesla, the Theory of Relativity was just “a mass of error and deceptive ideas violently opposed to the teachings of great men of science of the past and even to common sense”.

Tesla and Einstein both contributed much to society, but if they had worked together in a more cooperative manner one can only imagine what they would have accomplished. Tesla understood ether theory a lot better than Einstein did, but Tesla also did not truly understand the ramifications of Einstein’s famous equation E=mc2.

Undoubtedly, the most intriguing disagreement between Tesla and Einstein was whether or not anything can travel faster than light.


Faster Than Light! from the Tesla Universe Article Collection

Nickola Tesla’s Scalar Waves - what are Scalar Waves? | Life Energy

Martin_Hill_Ortiz
Asee
 
Tesla alikuwa anafanya practical zake za high power frequency yaan alikuwa akiraise an electricity about millions of voltages. Siku

Pillar ya Einstein relativity ni light...i mean Einstein anaamini hakuna kiendacho na speed kubwa zaid ya mwanga. But Tesla alikuwa anavuna umeme kutoka angani sio solar yaan free energy from the space via an antenna na gari la Tesla lilitumia antena as source of energy na sio mafuta kwani aling'oa injini ya petrol na kuweka motor (hapo utajua kwanini baada ya Tesla kufa, FBI hawa release paper na findings za Tesla jiulze..walisha zificha). Kipindi Tesla anafnya high power frequencies experiments aliclaim kudetect Rays zenye speed mara 1000 yamwanga...Leo hii utaona kuna vitu vinaitwa Tachyons hivi vinakadiriwa kuwa na speed mara 1000 ya ile ya mwanga so vina agree na Tesla...wakati mwanga ndo limit ya relativity ya Einstein. Hapa palikuwa ni moja ya disagreement btn these two men.

Mimi naona kama hizo Tachyons ni hpothetical or rather imaginary, kwamba Tesla ali-imagine the existence of Tachyons. Einstein ali-prove kwa theory kwamba nothing is faster than light. This is not a belief but rather, a proved theory since 1905
 
Mimi naona kama hizo Tachyons ni hpothetical or rather imaginary, kwamba Tesla ali-imagine the existence of Tachyons. Einstein ali-prove kwa theory kwamba nothing is faster than light. This is not a belief but rather, a proved theory since 1905
Tesla aliziona akiwa anaf.anya experiments bt Einstein theory ndio ulitoa limit...speed za tachyons zikiwa practically measured bas Theory za Einstein zitaenda Museum
 
Mkuu bas wewe utakuwa wrong somewhere...U Genius wa Einstein ni mdogo sana kufikia ule wa Tesla...Einstein amekuwa praised sana na media tangu 2005. Mara nyingine Einstein andaiwa ati kumzidi Newton? Kitu ambacho sivyo! Ukiangalia vitu alivyo raise Einstein ni theoretical base san wakati vya Tesla hapa dhnia ilipo 99% ya tech ni Tesla...yaan in short watu wanasema bila Mtoe Tesla na findings zake halafu tuish kwa theory za Einstein kitu ambacho hakiwezekani ila ukimtoa Einstein kwa findings za Tesla tunaishi. Einstein is so overrated lkn sio kama alivyo.

Nitajaribu kutumia layman language as much as I can kwa kuwa najua si wasomaji wote walisoma advanced physics.

Mkuu hebu naomba nichangie kidogo kwenye hii topic. Nimesoma post yako hii na moja hapo juu kuna vitu napenda kuchangia kidogo. Kwanza ile Tachnyon amabyo umeizungumzia hapo juu kwamba inakwenda kasi kuliko speed of light is not true. Because Tachyon is only hypothetical particle.To be a proper scientist you can not use something which is hypothetical.
Kwanza nianze na Tesla kukataa space curvature. He was a brilliant scientist,lakini he was inventor first more than anything else. Yeye kupinga curvature of gravity hakunishangazi kwa kuwa general thoory of relativity. Nakuwekea experiment moja kati ya nyingi zilizo prove space curvature. "
May 4, 2011: Einstein was right again. There is a space-time vortex around Earth, and its shape precisely matches the predictions of Einstein's theory of gravity.

Researchers confirmed these points at a press conference today at NASA headquarters where they announced the long-awaited results of Gravity Probe B (GP-B).

"The space-time around Earth appears to be distorted just as general relativity predicts," says Stanford University physicist Francis Everitt, principal investigator of the Gravity Probe B mission." Ukihitaji link nitakupatia.

Kuhusu kutoweza kuishi bila Tesla in a way is going to be hard but on the other hand let me share with you few things to show you that we actually live in Albert Einstein world.
--photoelectric effect made possible the eventual invention of television cameras. And the remotes that control them. Also, it’s why digital cameras work.
--Compact disc and DVD players use lasers, which Einstein first theorized in 1917 in advancing his work on the photoelectric and photovoltaic effects. We have lasers in every supermarket checkout lane too.
CT scan in hospitals relay solely on special theory of relativity and quantum theory.
Before Einstein paper in 1905,scientist didn't believe in atom,in 1905 he put last nail on coffin on that.
Newton huwezi kabisa kumlinganisha na Einstein,hata kidogo.
-----Newton was able to explain for the first time why the Moon stays in orbit around Earth. To this day, we use Newton’s math to predict the trajectory of a softball toss or of astronauts landing on the Moon. In fact, all everyday observations of gravity on Earth and in the heavens can be explained quite precisely with Newton’s theory.---But Einstein did go beyond that. Ngoja niache tu hapo kama ilivyo.
Kuhusu atomic bomb,Einstein alikuwa theoretical physicist aliandika ile formula ila ni watu wachache sana walioweza kuelewa. Katika wawili ambao walikuwa Manhattan project ni Leo Szilard huyu ni mwamanafunzi wa Einstein na Enrico Fermi.
Einstein alichofanya ni kuandika barua kwa FDR kumueleza uwezekano wa hilo bomu na kwa nini ni vyema wakilipata wamarekani kabla ya wajerumani.
Ngoja niishie hapo kwa sasa nitaendelea baadae. Mwenye kuweza kukosoa akosoea na mwenye kuweza kuongeza afanye hivyo.
 
Tesla aliziona akiwa anaf.anya experiments bt Einstein theory ndio ulitoa limit...speed za tachyons zikiwa practically measured bas Theory za Einstein zitaenda Museum
Large hedron collider walijaribu kupima neutrino na haziweza kwenda more than speed of light. Huwezi pima vitu ambavyo ni theoretical
 
Tesla aliziona akiwa anaf.anya experiments bt Einstein theory ndio ulitoa limit...speed za tachyons zikiwa practically measured bas Theory za Einstein zitaenda Museum
Angalau commendable source tu ya hizo Gossips? Maana kitu ambacho hakijawa verified experimentally ni gossips! Juzi juzi tu wamejaribu wakadhani wamedetect particles ambazo zinaenda spidi zaidi ya mwanga walipokuja kuangalia energy spectrum wakagundu kuwa iko sawa na ile ya mwanga kwa hiyo wakaomba msamaha kuwa walikosea. Sasa hizi Tachyons ziwe mpaka leo hazijawa detected na utalaamu wetu wote huu kwa kipindi hiki, na kwa Sayansi ya leo?
 
Angalau commendable source tu ya hizo Gossips? Maana kitu ambacho hakijawa verified experimentally ni gossips! Juzi juzi tu wamejaribu wakadhani wamedetect particles ambazo zinaenda spidi zaidi ya mwanga walipokuja kuangalia energy spectrum wakagundu kuwa iko sawa na ile ya mwanga kwa hiyo wakaomba msamaha kuwa walikosea. Sasa hizi Tachyons ziwe mpaka leo hazijawa detected na utalaamu wetu wote huu kwa kipindi hiki, na kwa Sayansi ya leo?
Tesla aliziona akiwa anaf.anya experiments bt Einstein theory ndio ulitoa limit...speed za tachyons zikiwa practically measured bas Theory za Einstein zitaenda Museum

When you get down to it, there are really only two theories in the running for the title of “The Most Precisely Tested Theory in the History of Science”: relativity and quantum mechanics, specifically quantum electro-dynamics (QED). Both theories predict tiny shifts in quantities that are well known from other theories– the rate of ticking of a clock, or the energy difference between two states of an atom– and in both cases, those predictions have withstood a huge battery of experimental tests. There is no question that both general relativity and QED are correct theories, at least within their well-understood limits.
 
2ff1ae916bc82cfc128e502702c7c226.jpg
388d3a71813e612ae2f805814a14f2cb.jpg
 
Nikola Tesla anashindanishwa na Thomas Edison na wakina Marconi...
Huyu Einstein amekuwepo wakati wakina Tesla wameshamuwekea vianzia vingi tu.
Wakati Tesla ni babu huyu Einstein alikuwa kijana mdogo tu...
 
Tesla aliziona akiwa anaf.anya experiments bt Einstein theory ndio ulitoa limit...speed za tachyons zikiwa practically measured bas Theory za Einstein zitaenda Museum

Ila kwa kweli nimesoma hapa kuhusu huyu jamaa halafu nikachoka. Remote control ameanza kutumia 1898. anaendesha Boat kwa remote control mwaka 1898 watu wakawa wanasema kuna kitu ameficha kwenye boat ndiyo kinachoiendesha. Mimi hapa kwetu mimeishangaa kwa mara ya kwanza mwaka 1986.

Nikola Tesla - Wikipedia
 
Back
Top Bottom