Habari wana jukwaa, nimefurahishwa na taarifa za msanii wangu pendwa ndugu Mh. JOSEPH HAULE maarufu kama Prof Jay.
Nimesikia tetesi kuwa anasumbuliwa na Figo, nikiwa kama kijana mpenda mapinduzi na mpenda maendeleo na pia mpenzi wa muziki niko tayari kumsaidia moja kati ya figo yangu ili kamanda arudi kwenye mapambano.
Ndugu na jamaa wake tafadhali tuwasiliane kwa ajili ya mipango , Ahsante nawasilisha
Ombi kwa JF tafadhali msifute post hii
Nimesikia tetesi kuwa anasumbuliwa na Figo, nikiwa kama kijana mpenda mapinduzi na mpenda maendeleo na pia mpenzi wa muziki niko tayari kumsaidia moja kati ya figo yangu ili kamanda arudi kwenye mapambano.
Ndugu na jamaa wake tafadhali tuwasiliane kwa ajili ya mipango , Ahsante nawasilisha
Ombi kwa JF tafadhali msifute post hii