🤣 🤣 🤣 siku hizi kuna njia za kisasa nunua Drone zile za Iran, one way droneUnadhani ni mgombea yupi anastahili kutupiwa radi??
Mgombea atakayetajwa na wengi ndiye nitamtupia hiyo radi.
Huyu hagombei urais mwaka huuMembe
😂 😂 😂 😂 labda hataki mambo ya mauchunguzi wa hayo madroni yalitoka wapi na yalitengenezwa nchi gani, yeye ni kitu pwaaaa mara moja tunazika alafu tunamuachia Mungu kazi yake haina makosa.🤣 🤣 🤣 siku hizi kuna njia za kisasa nunua Drone zile za Iran, one way drone
Ila radi ikitengenezwa maabara UTAIKUBALI na KUITUKUZA.Wenzenu wamefika mars.
Nyie bado mnapanda miti ya mibuyu kuficha malue lue
Usisahau kwamba ni Mkuu wa machifuUnadhani ni mgombea yupi anastahili kutupiwa radi??
Mgombea atakayetajwa na wengi ndiye nitamtupia hiyo radi.
Zile drone ni balaa🤣 🤣 🤣 siku hizi kuna njia za kisasa nunua Drone zile za Iran, one way drone
Njia unayotumia tu si halali macho mwa MunguUnadhani ni mgombea yupi anastahili kutupiwa radi??
Mgombea atakayetajwa na wengi ndiye nitamtupia hiyo radi.
Ni yule wanaotoka nchi moja.Wa Chauma
Huyu hagombei urais mwaka huu
Yule wa UDPUnadhani ni mgombea yupi anastahili kutupiwa radi??
Mgombea atakayetajwa na wengi ndiye nitamtupia hiyo radi.
Tamasha la mziki la buure hakuna kiingilio, na usafiri wa dezo upo pia!