naona unaanza kutaman hahaahaa!mtu angeweka tuone namna wanavyotumia lips zao kuongea .. ukute wanasauti nyororo na maneno yanatooka kwa upole ,.. nikae kimya wanabahati sikuwa mwanaume
mkuu nenda ila kile kiota chako atakukata dushenaona unaanza kutaman hahaahaa!
Mkuu hapa najipanga kuelekea huko siwez kupitwa na ofa hii,
Tutawaachia wazee mana vijana hamtupendi siku hizi. Wacha twende Eritrea upepo unakovuma..Sasa mkienda huko na sisi huku je.........?....
hahahaa! Kiota mbona kilisambaratika zaman sana. Kilikuwa na wivu sana, sasa hivi natafuta kingne huko eritreamkuu nenda ila kile kiota chako atakukata dushe
Hivi ni Mkuu ndio yule jamaa anayesema hakuna Ukimwi unaopatikana kwa ku sex ???Hapa sasa ndo napomkumbuka mkuu DECEPTION na hoja zake, maana starehe ya sisi wabongo ni migegeduano ambayo inaongeza idadi ya vizazi kitu kinachowakela mataifa ya magharibi, Tz tutasubiri sana na hofu ya Uwepo wa ngoma, safe journey PAGAN katika kuungana na Idea za DECEPTION.
tabia mbaya .. kiota bwana naye anamkwara .. haya safari njema ufike salama unitumie kapichahahahaa! Kiota mbona kilisambaratika zaman sana. Kilikuwa na wivu sana, sasa hivi natafuta kingne huko eritrea
Mama yangu mbavu zangu miemtu angeweka tuone namna wanavyotumia lips zao kuongea .. ukute wanasauti nyororo na maneno yanatooka kwa upole ,.. nikae kimya wanabahati sikuwa mwanaume
kiota alikuwa mpaka kero' kila namba inayoingia lazma aulize nani aaghrrrr!tabia mbaya .. kiota bwana naye anamkwara .. haya safari njema ufike salama unitumie kapicha
Ticket kwenda na kurudi ni kiasi ganiHiyo nchi hutaweza kuishi, nimepita hapo. Unachoweza 'kuokoto' mtoto mmoja na kurudi nae Bongo, maana wanapenda kweli kuondoka nchini humo, lakini hawana namna tu.
Ukija nae bongo uwe vizuri. Vinginevyo utakuwa umewaletea wenye nazoHiyo nchi hutaweza kuishi, nimepita hapo. Unachoweza 'kuokoto' mtoto mmoja na kurudi nae Bongo, maana wanapenda kweli kuondoka nchini humo, lakini hawana namna tu.
Ticket kwenda na kurudi ni kiasi gani
mistaki kwenda,...nataka niongeze knowledge2 mkuuuuuuUkishafika Eritrea utaelewa. Safari yake ndefu kweli ndege ni hadi Misri ndo unapata ya kuunganisha. Ingawa nasikia Ethiopia Airline nao wapo njiani kuanza kwenda huko.
Alikupenda sana may be ha ha ha pole sipat picha dili zilivuokuwa zinaruka hewankiota alikuwa mpaka kero' kila namba inayoingia lazma aulize nani aaghrrrr!
Sasa hivi ni mwendo wa kupekua tu hadi eritrea,
Ticket kwenda na kurudi ni kiasi gani