Niko njia panda

Niko njia panda

mchemsho

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
3,230
Reaction score
936
Hi All,
Mwenzenu yamenikuta, niliyempenda kwa miaka mingi hatimaye amekataliwa na wazazi na ndugu zangu, kisa ni tofauti ya kidini baina yangu na mpenzi wangu huyo wa kike, licha ya yeye mwenyewe kuwa wazi na kunihakikishia kwamba atabadilil dini , still haiawashawishi wazazi na baadhi ya ndugu zangu. hoja kubwa ni kwamba hawa wadada ambao wanatoka islam na kuhamia ukristo huwa mbeleni wanabadilika sana, mi sina uhakika na hilo but msimamo wa wazazi ndio huo na sioni dalili ya kubadilika, ni binti ambaye ninampenda sana, mno yani. nawaza je niwapuuze wazazi nikae naye hata bila ndoa? au nimpe mimba halafu niwatege wazazi? bado sijamwambia kama nyumbani kwetu wamemkataa. help plse. (nitarudi jukwaani kesho jioni). Usiku Mwema.
 
Your parents knows-quoted.
Binafsi sipendi kukumbana na intereligious marriage. Kwa sababu ukiingia kwenye imani kufuata mwenza, siku mapenzi yakichuja hicho kitendo kitawasumbua haswaa. Fuata moyo wako baba. Lakini ujiandae kukabiliana na suala lako.
 
Kwani we unawaolea wazazi wako?kalaghabaho!

Hajijui anataka nini,, kuufurahisha moyo wake au wazazi wake....msingi mkubwa hapa ni mapenzi,,,, kama yapo ya kweli...aufuate moyo wake...
 
Kwani we unawaolea wazazi wako?kalaghabaho!

Munkari kumbuka wazazi ndio wamenilea wamegharimia masomo yangu...ni washauri haswaa, but katila hili nipo njiapanda kiukweli
 
Last edited by a moderator:
Hi All,
Mwenzenu yamenikuta, niliyempenda kwa miaka mingi hatimaye amekataliwa na wazazi na ndugu zangu, kisa ni tofauti ya kidini baina yangu na mpenzi wangu huyo wa kike, licha ya yeye mwenyewe kuwa wazi na kunihakikishia kwamba atabadilil dini , still haiawashawishi wazazi na baadhi ya ndugu zangu. hoja kubwa ni kwamba hawa wadada ambao wanatoka islam na kuhamia ukristo huwa mbeleni wanabadilika sana, mi sina uhakika na hilo but msimamo wa wazazi ndio huo na sioni dalili ya kubadilika, ni binti ambaye ninampenda sana, mno yani. nawaza je niwapuuze wazazi nikae naye hata bila ndoa? au nimpe mimba halafu niwatege wazazi? bado sijamwambia kama nyumbani kwetu wamemkataa. help plse. (nitarudi jukwaani kesho jioni). Usiku Mwema.
Pole sana lakini nadhani wewe mwenyewe hujui moyo wako ukubali nini.Wazazi au Mpenzi,na vile vile ni bora ukamuelewesha mpenzi wako ukweli akajipanga kuliko kukaa kimnya,na jaribu kuwaeleza wazazi wako kilicho ndani ya moyo wako na wapi mme toka na huyo bint,ikiwa wamekuelewa sawa la hawajakuelewa ni bora umueleze huyo bint ili ajue atafute ustarabu wake,na kumpa mimba huyo bint sio sababu ya wazazi wako kukubaliana na ombi lako ila ndio utatibua zaidi itaonyesha wazi kua umefanya kusudi sasa hapo sijui itakua unawaheshimu mamuzi yao au unawalazimisha.
 
Anabadili dini ili aolewe na wewe au kwa sababu anaipenda na ameiona kweli???

Think again...ni heri mkaoane kiserikali kuliko kuanza kudanganyana na mambo ya imani.

Nadhani hata mimi mwanangu akiniambia anataka kuolewa (say na Mhindu) na yeye anataka kubadili dini nitakataa. Simply because hiyo conviction ya kuwa Hindu ameipata baada ya kumpata huyo mwanaume. Say mmeachana, will she go back? Msicheze na imani nyie madogo...ni heri kila mtu abaki na dini yake ila mkubaliane malezi na makuzi ya watoto kabla hamjaoana!

In other words nasema, naungana na wazazi wako kupinga uhusiano wenu!!!!


Find someone else or else kafungeni ndoa serikalini.
 
^^
Jibu ni rahisi,,wao watabadilika kutegemea msimamo wenu,hakuna mzazi anaemkana mtoto wa damu yake.
^^
 
Huyo gf wako kwanza hana msimamo ktkt hicho anachokiamini kwa mantiki hiyo hata anavyobadili kuja kwako vilevile sio kwasababu ameamini ktk ukristo yote anafanya kwa ajili yako

kabla hujamuoa anahitaji mafundisho kwanza maana am afraid kesho na keshokutwa mkikwaruzana kwake sio tatizo kuhamia kwingine
 
^^
Jibu ni rahisi,,wao watabadilika kutegemea msimamo wenu,hakuna mzazi anaemkana mtoto wa damu yake.
^^[/QUOTNdugu kama una experience ya hii issue hata kwa Jirani? is it often happening?
 
Hi All,
Mwenzenu yamenikuta, niliyempenda kwa miaka mingi hatimaye amekataliwa na wazazi na ndugu zangu, kisa ni tofauti ya kidini baina yangu na mpenzi wangu huyo wa kike, licha ya yeye mwenyewe kuwa wazi na kunihakikishia kwamba atabadilil dini , still haiawashawishi wazazi na baadhi ya ndugu zangu. hoja kubwa ni kwamba hawa wadada ambao wanatoka islam na kuhamia ukristo huwa mbeleni wanabadilika sana, mi sina uhakika na hilo but msimamo wa wazazi ndio huo na sioni dalili ya kubadilika, ni binti ambaye ninampenda sana, mno yani. nawaza je niwapuuze wazazi nikae naye hata bila ndoa? au nimpe mimba halafu niwatege wazazi? bado sijamwambia kama nyumbani kwetu wamemkataa. help plse. (nitarudi jukwaani kesho jioni). Usiku Mwema.
Kama amekubali kumuacha Mungu wake (kubadili dini) unadhani atashindwa kukuacha wewe huko siku mbele?
 
nataka kuepuka majuto baadae ndio mana nimekuja hapa
 
Hi All,
Mwenzenu yamenikuta, niliyempenda kwa miaka mingi hatimaye amekataliwa na wazazi na ndugu zangu, kisa ni tofauti ya kidini baina yangu na mpenzi wangu huyo wa kike, licha ya yeye mwenyewe kuwa wazi na kunihakikishia kwamba atabadilil dini , still haiawashawishi wazazi na baadhi ya ndugu zangu. hoja kubwa ni kwamba hawa wadada ambao wanatoka islam na kuhamia ukristo huwa mbeleni wanabadilika sana, mi sina uhakika na hilo but msimamo wa wazazi ndio huo na sioni dalili ya kubadilika, ni binti ambaye ninampenda sana, mno yani. nawaza je niwapuuze wazazi nikae naye hata bila ndoa? au nimpe mimba halafu niwatege wazazi? bado sijamwambia kama nyumbani kwetu wamemkataa. help plse. (nitarudi jukwaani kesho jioni). Usiku Mwema.

Kama unampenda kweli badili wewe dini, kwanini umbadili yeye?
 
Back
Top Bottom