ataanza hv..mama tama unajua ktk pitapita yangu nje nime...mh! NimetiaWewe fikiri kuhusu POSSIBLE na IMPOSSIBLE things.......Hivi wewe kweli umemaliza chuo au ulidisco.....Hilo la kumwambia mkewe ni IMPOSSIBLE THINGS haiwezekani naapia vile.
Just follow ur' heart and u ar' fine,haya mengine ni maneno tu!
Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.
kuna muda nadhani haupaswi kuusikiliza moyo na kukipa kila kinachohitaji.Jamani ni mkristo ila swala si ndoa bali mapenzi, na huwezi uchagulia moyo yupi wa kumpenda
Ungejiheshimu ungebeba wame za watu acha kukoromea watu wanakuambia ukweli zinduka we mwana dada.Nashindwa kuelewa lipi linakufanya ung'ang'anie mume wa mtu jamani?Jiamini hata kama una sura kama mama Anna Mkapa una stahili kupata chako cha peke yako dia.Take a chill pill dude i respect you
Habari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.
Sasa kama umesoma miaka hiyo minne ndo hicho ulichokiandika ulichoelimishwa huko chuoni unaposema ki ukweli dia umecheza chini ya kiwango dhamani yako sio bei nafuu kiasi hicho cha kuanza maisha na mtu/mume wa kuiba.Dada white nilishagraduate ila sikusoma hiyo university uliyoitaja acha kupaka matope vyuo vya watu stick kwenye mada ni vyuo kibao vinatoa degree za 4 years
huyu nae anahitaji kuvuliwa magamba,ukisikia kichwa cha mwendawazimu ndo hiki we unaparamia mme wa mtu na kutua mizigo yote na kumsahau mpenzi wake kweli inaingia akilini?:shut-mouth::shut-mouth:Nyinyi mabest wa ukweli hebu kujeni huku muone viloja vya mwanakwenu akijifaragua na kujidai kisa Penzi la Mume wa mtu...ana hashuo la shombo la samaki, maana naona anataka aparwe magamba huyu!!
snowhite, BADILI TABIA, Kongosho, Paloma, Raiza, Smile, Asnam , neggirl, happiness win, Kaunga, gfsonwin,
Mkuu i'm suprised!Leo unazungumzia ahera?Hivi hii ni moja ya wilaya za mkoa wa Moro eeeh!
Jamani ni mkristo ila swala si ndoa bali mapenzi, na huwezi uchagulia moyo yupi wa kumpenda