Niko njia panda

Niko njia panda

katlego

Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
29
Reaction score
11
Habari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.
 
Habari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.
Majibu yangu hayo kwenye red,kila la kheri
 
Habari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.
Aisee ! uanmenda sana ehee!
Lakini unajisiikiaje
 
Kwa hiyo swali lako ama kumwambia ukweli ur boyfriend or not?kama swali ndo hilo,then mwambie tu usimpotezee muda mtoto wa mwanamke mwenzio! Huyo mume wa mtu ni mkristo au mwislamu?maana kama ni mkristo mamaa,jua huna chako hapo zaidi ya kudowea bwana/mume wa mwenzio!
Angalizo; usije kuomba tena ushauri/kutafuta mume baadae,maana huyo sio mume wako!
Natamani kukuambia hakufai huyo tafute mume wako peke yako bt ndo hivo tena ushanifunga gavana ya mdomo na ushauri!
 
Eti, wandugu naombeni ushauri, na huku hutaki kumuacha huyu mume wa mtu.Sasa unaomba ushauri gani?
Anyway, huyo mtoto wa kiume mwambie ukweli tu kwamba humfai kwa kuwa uko na mume wa mtu.kama ana akili atakushukuru kwa kumnusuru kifo huko unakoendelea "kupangusa".kama hataamini, then kwa akili yako nzuri, "wapanguse wote wawili" at the same time.!Poor katlego!
 
Last edited by a moderator:
Jamani ni mkristo ila swala si ndoa bali mapenzi, na huwezi uchagulia moyo yupi wa kumpenda
 
Huyo mpenzi wangu hayupo nchini kwasasa hivo siyo kwamba nawachanganya
 
Usemayo ni sahihi BAK nimejaribu kuushinda moyo but nimeshindwa
 
Acha ushetani we mwanamke si vyema kuendekeza nyege zako hadi kupelekea kuvunja ndoa za mwenzio pili hebu jichukulie wewe ni yule mkewe wa huyo mzinifu mwenzako ungejisikiaje? Mi nahisi unaugua utahira wa mapenzi kwa kuendekeza nyeg,e zako.KAMA KWELI WE UNAVUTIA NA ELIMU HUWEZI KUNG'ANG 'ANIA MUME WA MTU NDO NYIE MNAOTUFANYA TUONEKANE SISI WANAWAKE HATUNA AKILI KILA SIKU.
 
Usemayo ni sahihi BAK nimejaribu kuushinda moyo but nimeshindwa

Sasa kama umejaribu na umeshindwa unasubiri nini_fuata moyo wako,..ukilazimisha utakuta umeunyonga mwili na roho inakwenda kuzimu moja kwa moja.
 
acha ushetani we mwanamke si vyema kuendekeza nyege zako hadi kupelekea kuvunja ndoa za mwenzio pili hebu jichukulie wewe ni yule mkewe wa huyo mzinifu mwenzako ungejisikiaje? Mi nahisi unaugua utahira wa mapenzi kwa kuendekeza nyeg,e zako.kama kweli we unavutia na elimu huwezi kung'ang 'ania mume wa mtu ndo nyie mnaotufanya tuonekane sisi wanawake hatuna akili kila siku.

mmmmmmh.......!
 
Jamani ni mkristo ila swala si ndoa bali mapenzi, na huwezi uchagulia moyo yupi wa kumpenda

Kweli siku hizi shetani ana nguvu sana, ila usisahau kua mke wake wa halali akijua dunia inaweza isiwe sahemu salama ya kuishi kwako.
 
mwambie ukweli mwanaume wa watu, atafute mtu mwaminifu bse ww ni msaliti.
Huyo mume wa mtu ucyetaka kumuacha sasa utamuacha baadae yakishakufika ya kukufika.
Nikuulize swali 1..unadhan mume wa mtu atajickiaje akijua mkewe anacheat? Jiulize halafu muulize huyo kipenz mpya. Majibu yake yatakupa uamuzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom