Niko njia panda ya kona kali

Niko njia panda ya kona kali

bid2015

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
306
Reaction score
59
Nina miaka 27, nafanya kazi mkoa fulani Hivi karibuni nilipata mchumba wa kipare nikaamua nimuoe lkn kwa bahati mbaya au nzuri nishindwa kumuelewa kwasababu
1) ni mvivu sana nilienda kwake yaani hata kunifuria nguo hapana wala kunipikia
2) anamfanyakazi wa ndani kumbuka yuko pekee yake
3) kunipa penzi mpaka purukushani yaani ni bao moja tena la shida
alikuja kwangu hali ikawa hivi
A) hakugusa chombo hata siku moja
B) hakupika hata siku moja
C) hakudeki hata siku moja
D) hakunifulia hata siku moja
N.B ananiambia hawezi kujibembeleza kwa mtu coz ataonekana sio msomi.. yeye ni bank officer na anafanyia kazi mkoani kwetu means home kwetu anapajua kipato changu ni mara tatu yake yy salary yake ni laki 7 kwa vyovyote nampita mbaaali na pia home tuko vzr kuwazidi wao sana.
sasa nashindwa kuelewa huyu dada kwann yuko hivi yaani mm pamoja na hela nazopata na KUWA MWANAUME naishi pekee yangu
Je huyu mdada anafaa kuwa mke? nishaurini waungwana
 
Nina miaka 27, nafanya kazi mkoa fulani Hivi karibuni nilipata mchumba wa kipare nikaamua nimuoe lkn kwa bahati mbaya au nzuri nishindwa kumuelewa kwasababu
1) ni mvivu sana nilienda kwake yaani hata kunifuria nguo hapana wala kunipikia
2) anamfanyakazi wa ndani kumbuka yuko pekee yake
3) kunipa penzi mpaka purukushani yaani ni bao moja tena la shida
alikuja kwangu hali ikawa hivi
A) hakugusa chombo hata siku moja
B) hakupika hata siku moja
C) hakudeki hata siku moja
D) hakunifulia hata siku moja
N.B ananiambia hawezi kujibembeleza kwa mtu coz ataonekana sio msomi.. yeye ni bank officer na anafanyia kazi mkoani kwetu means home kwetu anapajua kipato changu ni mara tatu yake yy salary yake ni laki 7 kwa vyovyote nampita mbaaali na pia home tuko vzr kuwazidi wao sana.
sasa nashindwa kuelewa huyu dada kwann yuko hivi yaani mm pamoja na hela nazopata na KUWA MWANAUME naishi pekee yangu
Je huyu mdada anafaa kuwa mke? nishaurini waungwana
naombeni msaada wenu wa ushauri ndugu yenu
 
Mh... nachanganya na zangu...
 
Kwa nini wapenzi mnashindwa kuzungumza?
Hapo mimi ndio nashindwa kabisa kuelewa, kwa nini ukose uhuru na mpenzi wako, ongea nae mweleze nini unapenda na kitu gani ungependa akufanyie wewe kama mpenzi wake..! Ukiona hamuendi sawa, kila mtu achukue ustaarabu wake..!
 
kuna wengine ukiongea nao wanabadilika,na kuna wengine huwa ndio tabia zao.ki ukweli huyo dada ni mvivu. watu mwanzo mwanzo huficha makucha yao.kama utaweza kuwa nae na hayo uyaone ni kama mapungufu yake sawa,ila mazuri yake aliyokuwa nayo ni yepi?linganisha na amua uamuzi utakaokufaa mwenyewe
 
POLE,,, Sasa ukimuoa alafu ikatokea house made kaondoka gafla na awe na mtoto mdogo c ndo itakua balaa!!!!!!!!!!

But anyway,, labda anaogopa kujishughulisha kabla ya ndoa isije kutokea mkaachana akajutia mda wake buree,, pengine aliwahi kumfulia mwingine b4 na athari zake anazijua
 
eeeeeeeeeeh!...ngoja kwanza ngoojaaaaa

UMESEMA KABILA GANIII????:A S 39:
 
bid2015 Huyo mdada ni mzuri kwani ameamua kuwa muwazi kwako na kuonyesha vile alivyo ili usijesema sikujua mimi!ukitaka kujua kama anafaa kuwa mke em anza kuchunguza majukumu anayopaswa kuyatimiza mwanamke kama mke ndani ya ndoa kwenye biblia na kutoka kwa tu mbalimbali waliokwisha oa,kama anazo basi afaa kuwa mke na kama hana basi huyo ni spending material na si wife material na so what nexxt?aonaye msiba unakuja huinama nakujificha kwa hiyo mapemaaaa shtuka washa taa nyekundu kichwani ikimbie ningejua ambayo huja when it's too late to turn back the time!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
ni poooouuwaaaa........hivi huyu jamaa kaamua kutusema kabisaaaaaa.....eti tunatonga thia thia.......
hebu kamwulize tena huyo jamaaa.....
hivi amesema kabila ganiiiiiiiiiiiii?....................INAHUUUUUUUUUUUU?!ni kabila au 'alivyo ndivyo alivyo'?
 
Nina miaka 27, nafanya kazi mkoa fulani Hivi karibuni nilipata mchumba wa kipare nikaamua nimuoe lkn kwa bahati mbaya au nzuri nishindwa kumuelewa kwasababu
1) ni mvivu sana nilienda kwake yaani hata kunifuria nguo hapana wala kunipikia
2) anamfanyakazi wa ndani kumbuka yuko pekee yake
3) kunipa penzi mpaka purukushani yaani ni bao moja tena la shida
alikuja kwangu hali ikawa hivi
A) hakugusa chombo hata siku moja
B) hakupika hata siku moja
C) hakudeki hata siku moja
D) hakunifulia hata siku moja
N.B ananiambia hawezi kujibembeleza kwa mtu coz ataonekana sio msomi.. yeye ni bank officer na anafanyia kazi mkoani kwetu means home kwetu anapajua kipato changu ni mara tatu yake yy salary yake ni laki 7 kwa vyovyote nampita mbaaali na pia home tuko vzr kuwazidi wao sana.
sasa nashindwa kuelewa huyu dada kwann yuko hivi yaani mm pamoja na hela nazopata na KUWA MWANAUME naishi pekee yangu
Je huyu mdada anafaa kuwa mke? nishaurini waungwana

Acha unyanyapaa wewe, kwani ukiwa na mshahara mkubwa na kwenu mna kipato ndo akunyenyekee???badilisha atitute yako kijana....
 
Hakufai maana hajakupenda ipasavyo. Swala la kazi yawezekana malezi tu, au anakupima au anajiona sana na kufikiria kuwa kufanya kazi za nyumbani msomi ni sawa na kuingilia idara ya housegirl. Siku moja nilikusoma gazeti moja la Zimbabwe, mke wa rais Mugabe ana watoto wa kiume na wa kike. Alikuwa anaeleza maisha familia yake. Nilivutiwa aliposema yeye watoto wake wote wa kiume na wa kike anawafundisha kufanya kazi za nyumbani ikiwa ni pamoja na kupika! Anasema kuna wafanyakazi wengi Ikulu lakini ili kuwaandaa watoto wake na maisha yao ya baadaye anahakikisha hawakai tu ila wanafanya kazi zote za nyumbani. Anadia kwa njia hiyo watakuwa wake/waume bora wenye kuwajibika na kwa waume watakuwa wenye kuwajali wake zao kwa kuwa wanajua uzito wa kazi za nyummani. Mke wa rais huyo! Je mkeo ana hali nzuri zaidi ya mke wa rais anayepiga deki, kufagia nje, kupika, kufua na kufyeka nyasi nje ya nyumba? Kazi kwako.
 
Back
Top Bottom