akaishi kaburini huko hatachanganyikana na dini zingine pambafff
Nilitegemea umshauri binti afuate dini ya mmewe....
Mwanaume kufuata matakwa ya mwanamke ni uhayawani na upumbavu.
Bora kila mmoja abaki na dini yake na kama laa haiwezekani.... ndoa na ifariki dunia.
Mim ni msichana mwenye miaka 25,nilikua na mpenzi wangu ambae nampenda saana tumesaidiana mambo mengiii sanaa,,kwa sasa tuna miaka saba kwenye mahusiano,,kwetu mi tuna hali ngumu kidogo alinisomesha chuo hadi nikamaliza,,nilipoumwa aliniuguza japo kua ana mapungufu yake ni mtu wa michepuko ila hua anakiri na kuomba msamahaa namsamehe imekua mara nyingi najua anachepuka kama mara kumi hivi,,,,maisha yakaenda tukapta mtot mmoja wa kiume, na tunaishi wote sasa kwa furaha sana nasasa anataka tufunge ndoa,, tatizo linakuja ye n mkristo m n muislam nilielelewa mazingira ya dini,nampenda sana yeye pia naipenda dini yangu( uislamu) nifanye nini? Na pia wazaziwangu hawapendi tunavyoishi wanataka nirudi nyumbani mi naona kazi kumuacha nampenda sana na amekua mtu mwema kwangu,,,,pia natamani mtot alelewena wazazo wote wawili naombeni busara zenu niko njia panda.
UISLAMU unakataza mwanamke wa kiislamu kuolewq na mkristo HAIFAI muogope MUNGU hata kama huyo mtu n mwema ila hlo jambo ni haramu kila dn ina mipaka yake.
Hii ni ajabu,kwa hiyo wakati jamaa anakukamua hadi kukuzalisha wazazi walikua hawaoni? Au dini yako inaruhusu kukamuliwa hadi kuzalizwa na mtu yoyote ila sio ndoa?
Kwenye kuolewa na asie muislam ni dhambi,ila kukulala na kukuzalisha sio dhambi.
Mbona wazazi wako hawakukukataza wakati umeanza nae au kwa kua alikua anakupa pesa unawapelekea,anakusomesha,analisha familia hawakuona kama ni mkristo,sasa baada ya kuona umemaliza masomo na wao kula hela ya jamaa vya kutosha ndio wanagundua sio muislam.
Huu ni ujinga wa hali ya juu sana.
Kama ni muislam unahitaji toba ya kweli kwa sababu hayo uloyafanya kuzaa nje ya ndoa, kuwapinga wazazi wako, na mengine ni makosa makubwa. Kama kweli unaupenda uislam na unauamini kuwa ndio dini sahihi msilimishe na huyo mtu wako kama akupenda kweli atasilimu. Any way ushahidi wa kipi unakipenda Zaidi kati ya dini yako na mwanamme utaonekana katika uamuzi utakaochukua.
Akili kichwani mwako
UISLAMU unakataza mwanamke wa kiislamu kuolewq na mkristo HAIFAI muogope MUNGU hata kama huyo mtu n mwema ila hlo jambo ni haramu kila dn ina mipaka yake.