Niko njia panda ushaurii wenu tafadhari

Niko njia panda ushaurii wenu tafadhari

UISLAMU unakataza mwanamke wa kiislamu kuolewq na mkristo HAIFAI muogope MUNGU hata kama huyo mtu n mwema ila hlo jambo ni haramu kila dn ina mipaka yake.
 
Kulipa fadhila sio upendo halisi

Hauna zile cheche za mahaba/mapendo

Ila anawaza alipptoka anashukuru na kushikamana......na ndio.unapozaa upendo wa "siwezi kumuacha alinisaidia sana"


kulipa fadhila si ndo kupenda pia? ama?
 
double standards za wazazi wa kibongo, toto linagegedwa lakini kwa sababu jamaa anamsomesha ni sawa, sasa motto kashapata elimu ndio wanaona kosa motto wao kuishi na mwanaume. this is wat is wrong with tz society, kitu kibaya kikifanywa na motto wa mwengine lakini wako aaah unaona sawa. labda nisiwe mzazi ila ujinga huo sijui wa gal frend boy frend au kugegedana kabla ya ndoa motto wangu ajue kabisa mie baba yake ndio nitakuwa wa kwanza kumchinja for bringing shame to the family name.
 
Mim ni msichana mwenye miaka 25,nilikua na mpenzi wangu ambae nampenda saana tumesaidiana mambo mengiii sanaa,,kwa sasa tuna miaka saba kwenye mahusiano,,kwetu mi tuna hali ngumu kidogo alinisomesha chuo hadi nikamaliza,,nilipoumwa aliniuguza japo kua ana mapungufu yake ni mtu wa michepuko ila hua anakiri na kuomba msamahaa namsamehe imekua mara nyingi najua anachepuka kama mara kumi hivi,,,,maisha yakaenda tukapta mtot mmoja wa kiume, na tunaishi wote sasa kwa furaha sana nasasa anataka tufunge ndoa,, tatizo linakuja ye n mkristo m n muislam nilielelewa mazingira ya dini,nampenda sana yeye pia naipenda dini yangu( uislamu) nifanye nini? Na pia wazaziwangu hawapendi tunavyoishi wanataka nirudi nyumbani mi naona kazi kumuacha nampenda sana na amekua mtu mwema kwangu,,,,pia natamani mtot alelewena wazazo wote wawili naombeni busara zenu niko njia panda.
Mpendwa ee Labda ushauri huu mzuri kwako...
Wee Bint yaonesha ulivyo kuwa kigori/mwari ulikuwa Mrembo... Na huyo Njemba alijuwa kutumia silaha zake (fedha)kufanikisha muradi/matakwa yake!!! Sasa umri wako unaelekea Mama Salama....... Kama fadhila na utu basi ushalipa zamani na ziada ( Maisha uliyompa,mtoto,kuwatoroka wazazi,nk ) Hivyo usifanye kosa lingine ..... Na usiuze imani yako kwa thamai nyepesi..... Tafakari kutomuudhi MwenyeEnzi Mungu " kwani kesha kupa chance ya kwanza na hii ya pili ni
ushindi wake Muumba " Sasa Binti wa wazee wema ushakula raha..... rudi kwenye asili na raadhi zako na Allaah ni mwingi wa maghafira (misamaha) na Rehema.
 
Kama wazazi wako watakuoa bas rudi kwenu, isitoshe mwanamke uwa hana dini so nenda upande wa mme wako mfunge ndoa mulee mtoto wenu.
 
Kulipa fadhila sio upendo halisi

Hauna zile cheche za mahaba/mapendo

Ila anawaza alipptoka anashukuru na kushikamana......na ndio.unapozaa upendo wa "siwezi kumuacha alinisaidia sana"

interesting
uknipa idea nikawa milionea nikikwambia 'siwezi kukuacha'
utahisi nakupenda au ndo haya haya ?lol
 
UISLAMU unakataza mwanamke wa kiislamu kuolewq na mkristo HAIFAI muogope MUNGU hata kama huyo mtu n mwema ila hlo jambo ni haramu kila dn ina mipaka yake.

Miafrika kama ww ni buree kabisaa..!! Unashindwa kupata mahusiano bora na maisha ya furaha kisa dini walioleta wangese tu kama wewe..!! Hivi inakuaje unakua na akili kama hii???

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hautaishi na wazazi wako wala hautaishi na mtu yotote humu ndani. Sisi binadamu wote tunatafuta furaha katika maisha yetu.. Dunia sio ngumu kiivyo kama unavyotaka wewe iwe.. Binadamu sisi ni wanafiki tunaangaliaga swala moja tena la kipuuzi tunaingiza dini ila mengine tunashirikiana na shetani..!! Ina maana gani ukaolewa na muislam muovu/mchafu usiyempenda ukamuacha mkristo unayempenda and vice versa??

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
teammichepuko mmh pole it turns the mood off...kama unampenda fanya unaloona kwako ni sawa komaa tu wazazi waelewe
 
Miafrika kama ww ni buree kabisaa..!! Unashindwa kupata mahusiano bora na maisha ya furaha kisa dini walioleta wangese tu kama wewe..!! Hivi inakuaje unakua na akili kama hii???

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

akaishi kaburini huko hatachanganyikana na dini zingine pambafff
 
Yani kuna comments humu zimenifunga mdomo.
Haya dada, kuna pumba na mchele vyote umewekewa.
Ushindwe wewe tu kupembua.
 
Kama ni muislam unahitaji toba ya kweli kwa sababu hayo uloyafanya kuzaa nje ya ndoa, kuwapinga wazazi wako, na mengine ni makosa makubwa. Kama kweli unaupenda uislam na unauamini kuwa ndio dini sahihi msilimishe na huyo mtu wako kama akupenda kweli atasilimu. Any way ushahidi wa kipi unakipenda Zaidi kati ya dini yako na mwanamme utaonekana katika uamuzi utakaochukua.
Akili kichwani mwako

Nilitegemea umshauri binti afuate dini ya mmewe....

Mwanaume kufuata matakwa ya mwanamke ni uhayawani na upumbavu.

Bora kila mmoja abaki na dini yake na kama laa haiwezekani.... ndoa na ifariki dunia.
 
Eti "naipenda dini yangu" acha kujichetua, unataka kutuambia umejua kuwa huyo jamaa yako ni mkristo baada ya kutaka kukuoa!!!!? Kama jibu ni la, basi ujue gegedo la kikristo linanoga, hamia kwa Yesu kuna raha zaidi ya hilo gegedo unalolipenda.
 
Dah hatari kwanza wewe sio tena muislam umesharitadi umezaa na unaendelea kua kimada sheria ya kislam ukatwe kichwa au upingwe mawe ambo mahufira na msamaha kwa mola wako dunia ni pakupita mtoto wa like hana ruhusa ya kuolewa na MTU c dini moja ruhusa hiyo wamepewa wanaume wa kislam kuoa wanawake wakristo ushauri wangu achana na jamaa hakuna mapenzi hapo wasikize wazee wako
 
Hongera kwanza kwa kumpata mtu unayempenda, japo sijui kama sasa yeye anakupenda kama alivyokupenda awali.

Michepuko ni ashirio la upendo kupungua. Kwanza lifanyie kazi hilo kama mke. Ndoa hujengwa na mke. Usiruhusu aendelee kuchepuka bila kufahamu sababu, ufahamu sababu zake, kisha utibu hilo ili abaki wa kwako tu. Ukiachia hilo likaendelea hata upendo wako kwake baadaye utapungua, na mwisho mtavunja familia yenu changa inayoanza. Msaidie mwenzio ili ndoa yenu idumu. Mungu awabariki na watoto wenu mtakaowapata zaidi.

Kuhusu dini sio kizuizi cha ndoa: ndoa ni muunganiko wa wawili wa jinsia tofauti, yaani mke na mme, kwa hiari yao bila shuruti ya mtu yeyote. Ina maana hata wazazi hawapaswi kuwa kizuio ya ndoa yenu, hasa katika hilo la imani.
 
Back
Top Bottom