Niko njia panda ushaurii wenu tafadhari

Niko njia panda ushaurii wenu tafadhari

Dah hatari kwanza wewe sio tena muislam umesharitadi umezaa na unaendelea kua kimada sheria ya kislam ukatwe kichwa au upingwe mawe ambo mahufira na msamaha kwa mola wako dunia ni pakupita mtoto wa like hana ruhusa ya kuolewa na MTU c dini moja ruhusa hiyo wamepewa wanaume wa kislam kuoa wanawake wakristo ushauri wangu achana na jamaa hakuna mapenzi hapo wasikize wazee wako

Cc Faiza Foxy
 
dah strori yako imenisikitisha sana...pole sana...nikwambie mtoto mzuri wakati mwingine kuna wazazi ambao maisha ambayo hawakuishi wao wanatamani watoto wao ndo wayaishi ni compensatory mechanism na uselfish kidogo hku waishidwa kuua wakati ni tofauti...so hapo unatakiwa uuamue kwa nguvu zako mwenyewe wao watakuelewa baadae.. na usikubali kupoteza mapenzi na malezi mazuri ya mtoto wenu kwasababu y dini ...na na na
 
Nilikua nasoma upepo...
1. Kwa kua unaipenda dini yako achana nae, utapata wa dini yako mtaoana.
2. Kama unampenda yeye suala la kumbadilisha dini sahau, maana hata yeye anaipenda dini yake ndio maana leo upo njia panda. Sio busara kumshawishi yeye afanye kitu ambacho wewe haupo tayari kufanya
3. Kuhusu ubaya wa kufunga ndoa na mtu asie dini yako jiulize
•mlishazini
•mna mtoto
•ungekua katika mazingira ya kufuata dini kiukweli kabisa ungeshakua marehemu, kuna mtu kasema ulistahili kupigwa mawe ufe. Huko umarehemuni sijui ungechaguaje.


Jipime mwenyewe ujiongeze.
 
Mim ni msichana mwenye miaka 25,nilikua na mpenzi wangu ambae nampenda saana tumesaidiana mambo mengiii sanaa,,kwa sasa tuna miaka saba kwenye mahusiano,,kwetu mi tuna hali ngumu kidogo alinisomesha chuo hadi nikamaliza,,nilipoumwa aliniuguza japo kua ana mapungufu yake ni mtu wa michepuko ila hua anakiri na kuomba msamahaa namsamehe imekua mara nyingi najua anachepuka kama mara kumi hivi,,,,maisha yakaenda tukapta mtot mmoja wa kiume, na tunaishi wote sasa kwa furaha sana nasasa anataka tufunge ndoa,, tatizo linakuja ye n mkristo m n muislam nilielelewa mazingira ya dini,nampenda sana yeye pia naipenda dini yangu( uislamu) nifanye nini? Na pia wazaziwangu hawapendi tunavyoishi wanataka nirudi nyumbani mi naona kazi kumuacha nampenda sana na amekua mtu mwema kwangu,,,,pia natamani mtot alelewena wazazo wote wawili naombeni busara zenu niko njia panda.

Wew nawe ni mzigo....na mpaka hapo wew ni mtumwa wa fikra...yaan upo upo tuuu, una elea elea tuu!

Miaka saba mnahusiana, tofauti zenu ulizijua na wazaz wako walizijua, mtoto mmezaa, bado hamjafunga ndoa...kikwazo ni wew na msimamo wako na wazaz wako ni dini...kweli!!! Mwanaume wako ni wa michepuko mara kumi umejua na umevumilia...Kama tatzo ni dini..mbona huondoki????

Mwanaume wako ataoa karibuni...ila hatakuoa wewe. Ww utaolewa na dini yako. Huko anakochepuka mara kumi ndo anaweka mambo yake sawa...na sababu ya nsingi ya kuchepuka...anayo. Nijuavyo mm, mwanamke kwenye suala la mapenz na ndoa...hanaga dini. Yeye hufuata aendako bwana. Ameku*tongo*za, amekuposa,amekuchukua kwake, amekupa mimba....ayo yote umekubali....mizengwe sada yatoka wapi??? UNAPIGWA CHINI.

HABARI KAMA YAKO....INANIHUSU. Ucje ukawa ndo wew afu tena nakoment mm. Mwishoni nataka kukuposa tukafunge ndoa kanisani....wew unaniambia oooh wazaz wangu ni ma-alwatan, mara ooh sisi waislam ni mwiko kubadili dini wazaz watanitenga, kwani sasa utaishi nao milele??? Haya mimba hiyo, umezaa, nakuulza utayari wako kwenda kanisani...unasema kama vp tufunge ndoa serikalini...mim sitaki...na wew hutaki kamisani.

Haya sasa, taka yangu na taka yako...IPI NI TAKATAKA??? Nimesema poa, sikuoi ila nitalea mwanangu, nakuchukua mpaka kwetu, nakutambulisha kwa wazazi wangu..wanamtambua mtoto...wanakushauri ufuate ya mume kama uko radhi...unasema nop! Napata safar kikaz...huko nakosa mawasiliano nawe miaka mitatu. Narudi nakuta umenuna...nakubembeleza...unanielewa. Nakuomba mambo, unanipa, nakuuliza tena twende church wasema nop. Mwanangu unempa jina la kiislamu na la ukoo umempa la babako...kisa miaka mitatu nimekutelekeza....na vile nimesema sifungi ndoa ya kiislam/ kiserikali ndo tafsiri nitamchukua mtoto nikuache na wew umri umesonga.

KWA NINI UNAFANYA MAMBO ASIYOTAKIWA KUFANYA MTU MWENY AKILI TIMAMU KAMA WEWE??? Kwa nn kunizungulusha zungulusha mfano wa pia??? Kwa nn unanitega...wakati wajua mm nategua mitego yote na ndio maana nikakupata na kuwa nawe hadi leo??? Kwa nin huwezi kunifuata tena kama mwanzo.??? Kwa nn unakaa mkao huo wa hatari kwako...mguu mmoja ndani, mmoja nnje???

KAMA SI WEW TULI-SHARE...Fanya fasta mwambie akuoe muishi kwa dhiki na faraja. Fuata dini yake utakuwa salama na mwenye furaha. Mpende moja kwa moja...na siyo nusu nusu na nusu unawaachia wenzako. Unawaita wenzako michepuko....na wew ni mchepuko coz hajakuoa. Hamia airtel dadangu...uinusuru furaha ya maisha yako mafupi yalobaki. ALONIFANYI VISA KAMA VYAKO....MIM NILIPIGA CHINI YEYE NA MWANANGU. Mwenyw alidai ana kazi yake..hashindwi kulea..na kwamba mwanangu atakuja kwangu akiwa na ndevu kama KANUMBA. MM naitwa Halelluya....halafu mwanangu anaitwa Athunani...bila ridhaa yangu.....

SIKUSUBIRI USHAURI...NILIMPIGA CHINI. Na sirudi nyuma. Na wew unaelekea huko...NJIA NI MBILI TUUU, CHAGUA MOJA ILIYO SALAMA NA YA KUKUFAA.
 
Ss hutaki ndoa na wakat tayar usha zaa nae mtampa tabu mtoto ilo ilobdi mliwaze mapema sana na wazaz hawana nafasi kubwa sana ya maamuz kuliko ww ambaye ni mtu mzima pia unajua lip zur na baya but muoae tuuu mambo ya dini ni imani tuuu muokoe mwanao kama unampenda
 
Hongera kwanza kwa kumpata mtu unayempenda, japo sijui kama sasa yeye anakupenda kama alivyokupenda awali.

Michepuko ni ashirio la upendo kupungua. Kwanza lifanyie kazi hilo kama mke. Ndoa hujengwa na mke. Usiruhusu aendelee kuchepuka bila kufahamu sababu, ufahamu sababu zake, kisha utibu hilo ili abaki wa kwako tu. Ukiachia hilo likaendelea hata upendo wako kwake baadaye utapungua, na mwisho mtavunja familia yenu changa inayoanza. Msaidie mwenzio ili ndoa yenu idumu. Mungu awabariki na watoto wenu mtakaowapata zaidi.

Kuhusu dini sio kizuizi cha ndoa: ndoa ni muunganiko wa wawili wa jinsia tofauti, yaani mke na mme, kwa hiari yao bila shuruti ya mtu yeyote. Ina maana hata wazazi hawapaswi kuwa kizuio ya ndoa yenu, hasa katika hilo la imani.

Ndoa hujengwa na mme na mke!
 
Wako Walio Poteza Maisha Yao Kwa Ajili Ya Uislamu. Je? Wew Uko Teyar Kuacha Din Yako Kwa Ajil Ya Kuolewa Na Huyo Unaedhan Unampenda? Unazan Bila Yeye Hutaish Dunia N Maisha Mafup Maisha Marefu Yanakuja Baada Ya Kufa Omba Mungu Akupe Yule Alie Kuandkia Na Kama Ndo Huyo Bas Amlete Kwa Din Yako.Watch Out
 
nilifikiri utasema tatizo ni hiyo michepuko yake kumbe michepuko haikusumbui. Miaka yote 7 hukujua kama ana dini tofauti au hukujua kama mtaishia kuwa mke na mume au au? Sasa na kuzaa mmeshazaa na mnaishi wote. Sasa tatizo ni dini kweli au tatizo ni wazazi kutomkubali huyo mkwe? Miaka 25 ushakuwa na mtu miaka 7 ina maana ulianza at 18. We bado ni mdogo sana na hukujipa fursa ya kuijua dunia. Kufunga ndoa na bazazi ni kujibebesha gunia la misumari ila sikutishi. Kutokuwa na baraka za wazazi pia ni mzigo mwingine lakini linazungumzika. Hilo la dini sioni mashiko maana kuna kuwa na dini na kushika dini. We una dini kwa hiyo kafungeni ndoa ya kiserikali uendelee na dini yako. Halafu wazazi wako wanataka urudi nyumbani ili jamaa kama ni kukuposa akukute kwenu, au wanataka urudi nyumbani kwa sababu kwa hekma zao wanaona unateketea? Kwa mimi niliyekutangulia umri na uzoefu kama ningekuwa wewe ningewasilikiza wazazi.
 
ila ungetakiwa uone hicho kikwazo tokea mwanzo... sasa fuata dini ya mumeo au funga ndoa serikalini ... ila kinachokusumbua wewe ni sherehe kwamba ndugu hawatakuja... muhimu ni wewe na yeye kukubaliana hao mashahidi waje wasije maisha lazima yaende
 
Wew nawe ni mzigo....na mpaka hapo wew ni mtumwa wa fikra...yaan upo upo tuuu, una elea elea tuu!

Miaka saba mnahusiana, tofauti zenu ulizijua na wazaz wako walizijua, mtoto mmezaa, bado hamjafunga ndoa...kikwazo ni wew na msimamo wako na wazaz wako ni dini...kweli!!! Mwanaume wako ni wa michepuko mara kumi umejua na umevumilia...Kama tatzo ni dini..mbona huondoki????

Mwanaume wako ataoa karibuni...ila hatakuoa wewe. Ww utaolewa na dini yako. Huko anakochepuka mara kumi ndo anaweka mambo yake sawa...na sababu ya nsingi ya kuchepuka...anayo. Nijuavyo mm, mwanamke kwenye suala la mapenz na ndoa...hanaga dini. Yeye hufuata aendako bwana. Ameku*tongo*za, amekuposa,amekuchukua kwake, amekupa mimba....ayo yote umekubali....mizengwe sada yatoka wapi??? UNAPIGWA CHINI.

HABARI KAMA YAKO....INANIHUSU. Ucje ukawa ndo wew afu tena nakoment mm. Mwishoni nataka kukuposa tukafunge ndoa kanisani....wew unaniambia oooh wazaz wangu ni ma-alwatan, mara ooh sisi waislam ni mwiko kubadili dini wazaz watanitenga, kwani sasa utaishi nao milele??? Haya mimba hiyo, umezaa, nakuulza utayari wako kwenda kanisani...unasema kama vp tufunge ndoa serikalini...mim sitaki...na wew hutaki kamisani.

Haya sasa, taka yangu na taka yako...IPI NI TAKATAKA??? Nimesema poa, sikuoi ila nitalea mwanangu, nakuchukua mpaka kwetu, nakutambulisha kwa wazazi wangu..wanamtambua mtoto...wanakushauri ufuate ya mume kama uko radhi...unasema nop! Napata safar kikaz...huko nakosa mawasiliano nawe miaka mitatu. Narudi nakuta umenuna...nakubembeleza...unanielewa. Nakuomba mambo, unanipa, nakuuliza tena twende church wasema nop. Mwanangu unempa jina la kiislamu na la ukoo umempa la babako...kisa miaka mitatu nimekutelekeza....na vile nimesema sifungi ndoa ya kiislam/ kiserikali ndo tafsiri nitamchukua mtoto nikuache na wew umri umesonga.

KWA NINI UNAFANYA MAMBO ASIYOTAKIWA KUFANYA MTU MWENY AKILI TIMAMU KAMA WEWE??? Kwa nn kunizungulusha zungulusha mfano wa pia??? Kwa nn unanitega...wakati wajua mm nategua mitego yote na ndio maana nikakupata na kuwa nawe hadi leo??? Kwa nin huwezi kunifuata tena kama mwanzo.??? Kwa nn unakaa mkao huo wa hatari kwako...mguu mmoja ndani, mmoja nnje???

KAMA SI WEW TULI-SHARE...Fanya fasta mwambie akuoe muishi kwa dhiki na faraja. Fuata dini yake utakuwa salama na mwenye furaha. Mpende moja kwa moja...na siyo nusu nusu na nusu unawaachia wenzako. Unawaita wenzako michepuko....na wew ni mchepuko coz hajakuoa. Hamia airtel dadangu...uinusuru furaha ya maisha yako mafupi yalobaki. ALONIFANYI VISA KAMA VYAKO....MIM NILIPIGA CHINI YEYE NA MWANANGU. Mwenyw alidai ana kazi yake..hashindwi kulea..na kwamba mwanangu atakuja kwangu akiwa na ndevu kama KANUMBA. MM naitwa Halelluya....halafu mwanangu anaitwa Athunani...bila ridhaa yangu.....

SIKUSUBIRI USHAURI...NILIMPIGA CHINI. Na sirudi nyuma. Na wew unaelekea huko...NJIA NI MBILI TUUU, CHAGUA MOJA ILIYO SALAMA NA YA KUKUFAA.

halloooooo duh Appuch umeongea mpaka imeingia kumoyo.... mimi ukishanitongoza nikaona tunaongea kiarabu na kiinglish hata kama nilikupenda hata uwe na pesa napiga chini nasepa .. ni tatizo badae.. mapenzi moto mto mwanzoni unaweza toa ahadi hata ya kutelekeza familia we acha tu lakini yakishafika sa nane mchana yanaanza kupoa watu tunaanza kuona tofauti zetu ni maumivu ya kichwa .... duh unauvumilivu pia
 
Jiulize swali hili, 'je niko tayari kuolewa naye hata kama michepuko hii anayoifanya itaendelea'. kama tabia alizonazo sasa umeshibana nazo usitegemee utambadirisha kirahisi ukiisha olewa naye.
 
halloooooo duh Appuch umeongea mpaka imeingia kumoyo.... mimi ukishanitongoza nikaona tunaongea kiarabu na kiinglish hata kama nilikupenda hata uwe na pesa napiga chini nasepa .. ni tatizo badae.. mapenzi moto mto mwanzoni unaweza toa ahadi hata ya kutelekeza familia we acha tu lakini yakishafika sa nane mchana yanaanza kupoa watu tunaanza kuona tofauti zetu ni maumivu ya kichwa .... duh unauvumilivu pia

maana yake ni kwamba kuvunja ndoa ni process ndefu, na mapenzi huwa hayawi motomoto siku zote. Fikiri kabla ya kuchukua hatua
 
maana yake ni kwamba kuvunja ndoa ni process ndefu, na mapenzi huwa hayawi motomoto siku zote. Fikiri kabla ya kuchukua hatua

nikuambie rafiki kinachomsumbua binti ni kuvaa shela kukaa high table sasa akifikiria wazazi wake ni vigumu kwenda kwenye hiyo sherehe ndiyo ina mpa mawazo.. huyu mrembo kadata kwa chalii mpaka kumfuma na michepuko yumo tu aiseee,,, sema ndiyo hivyo tena ila pia kuna wazazi kama akili zao zimeshikiliwa
 
hao wazazi nao watakuwa wa ajabu, mbona ada zilipokuwa zikilipwa na watu wanamuuguza binti hawakuuliza!
 
Hayo uloyaeleza hapa ndo mazingira ya dini? kuishi na mtu mkazini mpaka mkazaa mtoto? ndo kupenda dini yako hivyo? kama umelelewa katika mzingira ya dini ni kwa nn usijue kuwa unaoyafanya nikinyume na misingi ya dini?

Nikuambie tu mtu aliyelelewa katika mazingra ya dini hathubutu hata kufkiria kuyafanya hayo uloyafanya wewe. Huipedi dini yako hata alama na ndo maana umefikia hatua uliyopo sasa. Kama unaipenda kweli dini yako fanya tauba yakweli, ujute na uazimie kutokurejea makosa uliyoyatenda.
 
ila ungetakiwa uone hicho kikwazo tokea mwanzo... sasa fuata dini ya mumeo au funga ndoa serikalini ... ila kinachokusumbua wewe ni sherehe kwamba ndugu hawatakuja... muhimu ni wewe na yeye kukubaliana hao mashahidi waje wasije maisha lazima yaende

Nimeipenda hii yako. Tunasafiri pamoja kifikra. NAFURAHI.
 
halloooooo duh Appuch umeongea mpaka imeingia kumoyo.... mimi ukishanitongoza nikaona tunaongea kiarabu na kiinglish hata kama nilikupenda hata uwe na pesa napiga chini nasepa .. ni tatizo badae.. mapenzi moto mto mwanzoni unaweza toa ahadi hata ya kutelekeza familia we acha tu lakini yakishafika sa nane mchana yanaanza kupoa watu tunaanza kuona tofauti zetu ni maumivu ya kichwa .... duh unauvumilivu pia

Aaah, miss chaga! Amini kama unaishi kwa hii dunia, na maisha yako ni mteremko hata hujakutana na kindumbwe ndumbwe, basii bado songombingo lako liko mbele lina kusubiri. Ukichelewa sana kupata vikwazo vya maisha ungali chipukizi.....ndio matokeo ya ufooo-saro, ndo kujinyonga, ndo kunywa sumu, ndo kuuwa mtu...ndio kwenda jela na kusahaulika. KUTOKANA NA VIKWAZO NA VISA vya maisha mchanganyikooo, ndo niko imara hivi sasa. SINA PRESHA.

Basi tu humu kwa sasa nazipekua post za wakuu na kuchangia kama nikivutiwa kufanya ivo. Nikiweka post za visa nilivokutana navyo...vya kimapenz...very interesting, utasema "toba!"...yamenikuta mzee mwenzangu sina changu, cjui nikae chini nilie...kwa visa visa!

Post zangu nikizitoa uzisome....na hakika zitakutafakarisha, na mwisho utasema oouph! Ee Mungu weeeh! HATA IVO NINA IMANI MOYO WAKO NI SUPPER. Xo, hakitaharibika kitu. Stay tuned..next week nitadondosha post moja tutafakari pamoja. Kama vp nitaiweka rasmi hiyo niliyo ichomekea humu...sababu ya kufanana kwake. Asent miss chaga!
 
Back
Top Bottom