Mimi ni msichana na Miaka 25,Nilikua na mpenzi wangu ambae nampenda saana tumesaidiana mambo mengi sanaa,kwa sasa tuna Miaka saba kwenye mahusiano kwetu mi tuna hali ngumu kidogo alinisomesha Chuo hadi nikamaliza.
Nilipoumwa aliniuguza japo kua ana mapungufu yake ni mtu wa michepuko ila hua anakiri na kuomba msamahaa namsamehe imekua mara nyingi najua anachepuka kama mara kumi hivi,maisha yakaenda tukapta mtoto mmoja wa kiume, na tunaishi wote sasa kwa furaha sana.
Sasa anataka tufunge Ndoa,tatizo linakuja yeye ni Mkristo mimi ni Muislam nilielelewa mazingira ya Dini,nampenda sana yeye pia naipenda dini yangu( uislamu) nifanye nini
Na pia wazaziwangu hawapendi tunavyoishi wanataka nirudi nyumbani mi naona kazi kumuacha nampenda sana na amekua mtu mwema kwangu pia natamani mtoto alelewe na wazazo wote wawili naombeni busara zenu niko njia panda.
Nilipoumwa aliniuguza japo kua ana mapungufu yake ni mtu wa michepuko ila hua anakiri na kuomba msamahaa namsamehe imekua mara nyingi najua anachepuka kama mara kumi hivi,maisha yakaenda tukapta mtoto mmoja wa kiume, na tunaishi wote sasa kwa furaha sana.
Sasa anataka tufunge Ndoa,tatizo linakuja yeye ni Mkristo mimi ni Muislam nilielelewa mazingira ya Dini,nampenda sana yeye pia naipenda dini yangu( uislamu) nifanye nini
Na pia wazaziwangu hawapendi tunavyoishi wanataka nirudi nyumbani mi naona kazi kumuacha nampenda sana na amekua mtu mwema kwangu pia natamani mtoto alelewe na wazazo wote wawili naombeni busara zenu niko njia panda.