NGOSWE.120
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 219
- 234
- Thread starter
- #21
Well said, ila tambua dunia ina mambo mengi. Ndio maana hata mimi imenishangaza sana, mwisho nikaamua kuuliza nyie wajuzi wa haya mambo ili mnipe ushauri wenu. Otherwise nakushukuru kwa mawazo yako. ASANTEam Too young to hold this! How old are you? With that so called your gf? Aisee huu mchezo ni wa zamani sana! Duuh! Pole kijana! Mnadanganyana! Acheni kupotezeana muda!