Niko nasikiliza nyimbo zao bora zilizowatambulisha nimegundua kuna tofauti kubwa mno; Sijui kiliwakumba nini vichwani hawa waimbaji siyo bure

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,397
Niko hapa nasikiliza nyimbo mbalimbali za kidunia na kidini!

Aisee nyimbo kama za Twenty percent ukisikiliza una feel kabisa ubunifu waziwazi, pia nyimbo kama za prof. J, Wagosi wa kaya, Mwinjuma muumini na wasanij wengine wengi unaona kabisa kuna kitu kilifanyika! (Wasanii na maproducer)

Nimesikiliza pia nyimbo za kina Bahati Bukuku na Rose Mhando n.k aisee hawa wadada walijua kuimba kwakweli!

Ni karibu miaka 15 sasa lakini ukisikia VOCAL, sebene na Ujumbe unaona kuna kitu!
Kama ni sebene unalifeel, kama ni vocal unaifeel, kama ni ujumbe unaufeel hata unaweza kutoa machozi!

Kiufupi nyimbo zote walizotunga wasanii utawala wa Mkapa, na kikwete ziko Super sana! na hakuna anaejiuliza kimetokea nini sasa!

SIJUI WASANII HAWA WALIPATWA NA NINI KICHWANI! Kuna kitu si BURE! kama siyo kulogwa ni madawa!
Kama siyo madawa Basi ni anasa za kidunia zimewatoa kwenye mstari! Kama siyo anasa basi Maproducer wamekuwa feki au kwa ujumla usimamizi wa maadili umepotea!
 
Sasa hivi wanaimba ngono tuu sijui mchomeke ilame akiinama
Inama izame, paka mate itelekeze!

Watoto wanauliza Daddy iteleze nini unakosa cha kujibu!

Mara pap Rose mhando anaonekana anatafta Danga la kizungu mtandaoni hadi unawaza huyu kaona kusubili kubebwa na Mungu akaonje utamu wa Yesu ni shida hadi anataka kubebwa na danga kweli?
 
Inama izame, paka mate itelekeze!
Watoto wanauliza Daddy iteleze nini unakosa cha kujibu!
Mara pap Rose mhando anaonekana anatafta Danga la kizungu mtandaoni hadi unawaza huyu kaona kusubili kubebwa na Mungu akaonje utamu wa Yesu ni shida hadi anataka kubebwa na danga kweli?
😂😂😂😂
 
Au shida watoa habari wamekuwa wakiijaza jamii matusi zaidi ? Watangazaji sampuli ya mwijaku, mpoki , baba levo n.k?
TCRA je wanasimamia vyema?
 
Wamekuta wanzao wamewaandalia njia wanashindwa kuendeleza ubora.Waige mifano ya Wakongo wanavyozidi kuwapa heshima aaliowaandalia mazingira yao ya sasa.Muangalie Koffii Olomide.Muangalie Fally Ipupa.Tazama Werrason.Rudi kwa Franco Lwambo Lwanzo Makiadi.Jumlisha.
 
Wamekuta wanzao wamewaandalia njia wanashindwa kuendeleza ubora.Waige mifano ya Wakongo wanavyozidi kuwapa heshima aaliowaandalia mazingira yao ya sasa.Muangalie Koffii Olomide.Muangalie Fally Ipupa.Tazama Werrason.Rudi kwa Franco Lwambo Lwanzo Makiadi.Jumlisha.
Pepe kale! Hahah wenge music na Yondo sister
 
Niko hapa nasikiliza nyimbo mbalimbali za kidunia na kidini!

Aisee nyimbo kama za Twenty percent ukisikiliza una feel kabisa ubunifu waziwazi, pia nyimbo kama za prof. J, Wagosi wa kaya, Mwinjuma muumini na wasanij wengine wengi unaona kabisa kuna kitu kilifanyika! (Wasanii na maproducer)

Nimesikiliza pia nyimbo za kina Bahati Bukuku na Rose Mhando n.k aisee hawa wadada walijua kuimba kwakweli!

Ni karibu miaka 15 sasa lakini ukisikia VOCAL, sebene na Ujumbe unaona kuna kitu!
Kama ni sebene unalifeel, kama ni vocal unaifeel, kama ni ujumbe unaufeel hata unaweza kutoa machozi!

Kiufupi nyimbo zote walizotunga wasanii utawala wa Mkapa, na kikwete ziko Super sana! na hakuna anaejiuliza kimetokea nini sasa!

SIJUI WASANII HAWA WALIPATWA NA NINI KICHWANI! Kuna kitu si BURE! kama siyo kulogwa ni madawa!
Kama siyo madawa Basi ni anasa za kidunia zimewatoa kwenye mstari! Kama siyo anasa basi Maproducer wamekuwa feki au kwa ujumla usimamizi wa maadili umepotea!
Kweli kabisa ukisikiliza nyimbo zao unaweza sema hawa sio wao
Mkuki moyoni
Mtazamo

Na nyimbo za jeby marehemu Dah
 
Huyu Rose mhando, bahati bukuku ukisikiliza nyimbo zao za zaman unaweza kuokoka
Kabisa unaacha kabisa dhambi, hususani ule wimbo wa ajali ya treni Dodoma alijua kuiimba, mhando naye alipoimba "WAMAMA WA LEO"
 
Back
Top Bottom