Mkuu matajir kama mimi huwa hatupimwi kwa machoIsije ikawa kama mambo ya dokta L. Shika, yono wanalia saiz, sasa na wewe usije mliza dada wa watu.
Ka nakuona utavomwambia " baby naona gari la BMW litapendeza zaidi "" hahahaaa, vyuma vimekaza bt wanaume mnajifanya hamtaki kuacha kujitutumua, mwenzio yuko central saiz anahesabu chawa.
MtagKichwa Kichafu bebi njoo huku
Basi vizuri mkuu nitakutafuta kesho nami unisaidieHata leo nimesaidia mkuu
Thank youHakuna shida mkuu usijar kabisa mimi ni mtu mwema sana
Yaani hata baada ya kuona mkoko uliaandaliwa kwa mshiki wako bado umeshindwa kutia neno kabisa? Au yule hunter keshakumalizia mahali nini?
Hahaha hapa kwa kweli sitii neno, ni bora baiskeli uliyonayo kuliko gari uliyoahidiwaYaani hata baada ya kuona mkoko uliaandaliwa kwa mshiki wako bado umeshindwa kutia neno kabisa? Au yule hunter keshakumalizia mahali nini?