Angyelile99
Member
- Oct 9, 2023
- 12
- 7
Jamani kama kunamtu anaweza nisaidia kuingia kwenye kampuni la Pepsi ama coca kufanya kazi yeyotee.
Naomba anisaidie.
Binafsi nimejaribu mara kadhaa nimeshindwa.
Niko Mbeya Iwambi
Naomba anisaidie.
Binafsi nimejaribu mara kadhaa nimeshindwa.
Niko Mbeya Iwambi