Niko huru eti no ban,why!!

Niko huru eti no ban,why!!

nyundo2017

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2017
Posts
1,437
Reaction score
861
Haya jf mmeniungulia kutoka kifungoni je kum-ban member pasipo kumpa haki ya kujua kosa lake na kupewa haki ya kusikilizwaaaaa??

Hiyo siyo demokrasia ni mabavu mkijisikia tu au mkiwa na hasira zenu huko mnamban mtu tena utakuta mnachelea tu,shit!!
 
Hivi huwa mnafanya nini mpaka mnapata ban?!
 
Haya jf mmeniungulia kutoka kifungoni je kum-ban member pasipo kumpa haki ya kujua kosa lake na kupewa haki ya kusikilizwaaaaa??

Hiyo siyo demokrasia ni mabavu mkijisikia tu au mkiwa na hasira zenu huko mnamban mtu tena utakuta mnachelea tu,shit!!
Keep a low profile, you will be in for it again soon!
 
Yani kosa ulitende, alafu bado unaomba kujua sababu we mwenyewe, hizi taratibu mkazitafute sehemu husika. Otherwise tutakuwa tunaendelea kujaza yasiyofaa.
 
Back
Top Bottom