Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,144
Una faa kwa matumizi ya aina zote ni pm
hahahahahahahaKwa jinsi watu walivyo-vurugwa hawakawii kukutongoza badala ya kukupa ushauri.
Yah Ni kweliNilikuwa siriazi kumsaidia mkuu,sina hizo kabisa.
Hapa atapoteza attention yake kuna commnet za kila aina.
Ila maadamu haidhuru basi hamna neno.
Anaye takiwa kujufanya uwe normal ni boy wako yuapaswa akuweke uwe addicted na kit kungine cha kuangalia kupoteza tym na Co pornSasa iko hivi, mimi ni msichana mwezi wa kumi inshwallah natimiza miaka 19 kamili. Mimi nimeanza kuangalia porn tokea niko na miaka 13. Sasa ikafika kipindi nikiangalia hizi porn za jinsia tofauti hata msisimuko nakua Sina. Nikaamia kwa gay porn. Kuna kipindi nilitaka kuacha ila nakuwa naacha kwa muda halafu najikuta nimerudi tena kulekule. Nataka kuacha kabisa lakini nashindwa. Mimi ni wa kawaida tu nina mpenzi wangu sishiriki mapenzi ya jinsia moja lakini mi hivyo niko addicted na hizo videos. Sipendi hii tabia lakini nashindwa kuacha. Nifanye nini ili niache? Naomba tu msinitukane maana nyie hamchelewagi.
Alisikika akisema mlevi mmojaMtoto mzuri my name is my name Fanya kuja pm huku kumejaa malaghai hawawezi kushauri kitu watakuziaki tu kuna mwenzako alikuwa na tatizo kama lako nikamsaidia
Fanya kuja haraka pm roho inaniuma sana natamani kulia kwa Hali unayoipitia mamaa
Jitaid utatokana ukiona siku haziendi basi nenda wewZa wanaume kwa wanaume
Nafasi gani mkuu ?Huyu jamaa hapa uliyomshukuru na kumuuliza swali ana nafasi kubwa sana
Alisikika akisema mlevi mmoja
😃😃😃 Ok sawaUnatakiwa umalizie akisema "maneno ya busara " umeskia mwanadada @Meeyah
Iwapo unatumia nguvu ndogo kuacha tabia fulani kuna tatizo lolote? Sikutumia nguvu kuachana na pombe, sikutumia nguvu kuacha uzinzi.Nguvu ya kuacha tabia inabidi iwe kubwa sana kuliko nguvu ya kuiepuka tabia ambayo haujaianza.
Asili mia 98% ya tabia ambazo tunajishauri kama tufanye au tusifanye basi mara nyingi tabia hizo tunakuja kuzijutia mbeleni na huwa tunapamvana kuziwacha.
Naomba kama sijaeleweka sehemu niulizwe...
Iwapo unatumia nguvu ndogo kuacha tabia fulani kuna tatizo lolote? Sikutumia nguvu kuachana na pombe, sikutumia nguvu kuacha uzinzi.
Mi nafikiri ni suala la maamuzi au maturity ya ubongo.
Miaka 19 na gay porn dunia inakwenda haraka sana hivi tz hawa watu wasaikolojia wapo kweli maana tuna matatizo mengi ya saikolojiaSasa iko hivi, mimi ni msichana mwezi wa kumi inshwallah natimiza miaka 19 kamili. Mimi nimeanza kuangalia porn tokea niko na miaka 13. Sasa ikafika kipindi nikiangalia hizi porn za jinsia tofauti hata msisimuko nakua Sina. Nikaamia kwa gay porn. Kuna kipindi nilitaka kuacha ila nakuwa naacha kwa muda halafu najikuta nimerudi tena kulekule. Nataka kuacha kabisa lakini nashindwa. Mimi ni wa kawaida tu nina mpenzi wangu sishiriki mapenzi ya jinsia moja lakini mi hivyo niko addicted na hizo videos. Sipendi hii tabia lakini nashindwa kuacha. Nifanye nini ili niache? Naomba tu msinitukane maana nyie hamchelewagi.
Una dalili za kuhamishia huduma kwenye 071Sasa iko hivi, mimi ni msichana mwezi wa kumi inshwallah natimiza miaka 19 kamili. Mimi nimeanza kuangalia porn tokea niko na miaka 13. Sasa ikafika kipindi nikiangalia hizi porn za jinsia tofauti hata msisimuko nakua Sina. Nikaamia kwa gay porn. Kuna kipindi nilitaka kuacha ila nakuwa naacha kwa muda halafu najikuta nimerudi tena kulekule. Nataka kuacha kabisa lakini nashindwa. Mimi ni wa kawaida tu nina mpenzi wangu sishiriki mapenzi ya jinsia moja lakini mi hivyo niko addicted na hizo videos. Sipendi hii tabia lakini nashindwa kuacha. Nifanye nini ili niache? Naomba tu msinitukane maana nyie hamchelewagi.