Nikiwaza sana naona ni halali watu weusi kubaguliwa

Afu ajabu watu wenye maono kama sisi ndo hatupati madaraka yani mimi nikipata madaraka Tanzania nahisi itakuwa kama kwa watu weupe

MUNGU NISAIDIE

Mkuu madaraka ni kama kilevi,ukiyapata unalewa na hautokumbuka uliyoahidi.
Kwani uyu mzee wetu alisemaje kuhusu mikopo? Sasa hivi anafanya nini?
 
kila siku naimba roho nyeusi haiwez kuwa nyeupe!mweupe atabaki na roho yake nyeupe tu milele!hii africa wallah mzungu arudi tu
ukicheki mitaaa ya kipindi cha ukoloni hadi raha ilivyopangika. weusi wamekuja wamechafua miji yote. unakumbuka hadithi ya Brown ashika tama? Brown angekuja Afrika ya weusi leo angecheka hadi machozi.
 
Ndio Maana Hata Trump Alishasema Kwamba: (KUNA KILA SABABU YA BARA LA AFRICA KUTAWALIWA TENA KIKOLONI). Ila Ajabu Ni Kwamba Tukiambiwa Ukweli Tunanuna.
 
McKan: Tom come back. I told u i wants to resume slave trade and you disagreed. See, blacks are ready by themselves.

Tom: Sh******t
 
Ma
MatMatatizo yetu waafrika yapo penye damu ndio maana ukienda Kenya Uganda Zambia Congo matatizo yanafanana sijui viongozi wetu wamesoma chuo kimoja na mkufunzi mmoja kawa fundisha wote maana sio kwa ulafi walionao u mimi umewazidi mpaka kichefuchefu .
 
Ndio Maana Hata Trump Alishasema Kwamba: (KUNA KILA SABABU YA BARA LA AFRICA KUTAWALIWA TENA KIKOLONI). Ila Ajabu Ni Kwamba Tukiambiwa Ukweli Tunanuna.
hahahahaa, mtu akiambiwa ukweli kisha akanuna ujue hajakomaa kiakili.
 
kweli kabisa mpaka huruma aise tatizo kubwa waafrika muda mwingi unapotelea kwenye mambo ya siasa na dini ndiyo maana umasikini bado ni tatizo mpaka sasa.
 
Tatizo la Africa s
Up viongoz ni raia viongoz ni matokeo ya jamii yenyewe msisingzie viongoz
 
Ukifanikiwa kuwa na kitu kinachotakiwa.....NIDHAMU( DISCIPLINE).....

Utafanikiwa mambo mengi sana maishani mwako......

Utafungua milango mingi sana ya neema kwenye maisha yako.....,

NIDHAMU ndio muongozo mkuu wa maisha ya mwanadamu...unaompeleka kwenye kilele cha mafanikio.....

Bila ya NIDHAMU huwezi kufanikiwa jambo lolote lile......

Kitu pekee....kinachotuweka mbali sisi watu weusi na watu weupe ni NIDHAMU......na hili jambo wao hufundishwa tangu wakiwa wadogo.....

Sisi watu weusi hatuna NIDHAMU katika jambo lolote lile.......
Hasa rasilimali MUDA....ambao ndio chanzo cha mafanikio yoyote na ustawi wa jambo lolote......

Sisi watu weusi tunaishi kwa kuwa tupo hai....na tunapata chakula......lakini hatuna nidhamu ya hicho chakula wala muda......
 
Waafrika akili tunayo ila tumo kifungoni, naam kifungo cha tabia. Tàbia ina Nguvu kuliko akili. Lakini sioni kama kuna Muafrika anabaguliwa, kilichopo ni kuwa Muafrika anajibagua mwenyewe kwa kutoendana na mazingira ya kizungu.
 
Waafrika akili tunayo ila tumo kifungoni, naam kifungo cha tabia. Tàbia ina Nguvu kuliko akili. Lakini sioni kama kuna Muafrika anabaguliwa, kilichopo ni kuwa Muafrika anajibagua mwenyewe kwa kutoendana na mazingira ya kizungu.

Mpaka hicho kifungo kiishe ni muda mrefu sana.
 
Sure...liko tatizo..kubwa mno
 
Background yetu ilikuwa mbovu,,,babu zetu hawakutuandalia maisha,,kielimu,,kimpango,,wala kimkakati,,baadae tukatawaliwa na Wazungu na walikuwa smart kwamba waliweza kuweka mipango madhubuti ya kutufanya (vibarua,,soko na eneo la malighafi rahisi) hata kizazi cha tatu na cha nne...hatuna mfumo wetu wa elimu,,wala hatuna elimu inayotusaidia kuzalisha bidhaa za thamani,,labda madaktari tu ndo wenye matumizi yanayoendana na elimu walioipata.Babu zetu wametuangusha sana.Hakuna laana zaidi ya sisi kuwa na kiwango kidogo cha matumizi ya akili zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…