Nikiwa Rais wa Tanzania umri wa kustaafu kwa hiari itakuwa miaka 38 na 40 kwa lazima

Kweli bangi inadhuru. Ni watu wangapi wenye masters na PhD umri chini ya 38?

Hoja zako ni nyepesi hazina mashiko.

Unajua inachukua muda gani kutoka uhakimu mpaka ujaji? Askari wa kawaida mpaka Jenerali? Kusoma mpaka uwe daktari bingwa mbobevu ie super specialist?

MUNGU AKUHURUMIE
hii hoja ni dhaifu sana, nimeishi uingereza kuna watu wana PHD wengi tu wana umri wa miaka 26/27/28; specialist wengi tu 28/29
Kwa Tanzania, mfumo Wa ajira ndiyo chanzo kikuu cha watu kupata PhD uzeeni, kwanza wanachelewa kuajiliwa, pili wengi wao wanasoma ukubwani ili kuongeza kima cha mshahara na mafao ! ndiyo maana PHD nyingi bongo hazina impact kwenye uchumi Wa taifa, kwasabu nyingi ni za wachumia tumbo! kwenye utawala Wangu nitakomesha hilo! ajira watu watapata siku ya mahafali watapewa barua ya kuriport kituo cha kazi; miaka ya elimu msingi miaka 6 tu, na watoto wataanza na miaka 5 au 6 la kwanza.
Pia NOTE; wale ma specialist wenye uwezo kiutendaji nitawaretain kwa kibari maalum toka IKULU,
Watu wanaopinga wazo langu wengi wao wanajitathimin na kuona utendaji wao ulivyo duni nje ya serikali maisha hawana;
 
Hamsin na 45 ndio safi inapunguza uoga Wa kuishi bila kazi na kungoja kufa tu, lakini ukiwa na 45 unapambana na maisha yoyote ukiwa na mguvu, Mbona wachezaji Wa mpira ustaafu kwa umri Wa 40
ndipo ushangae na wewe! humu wengi kinachowasumbua uoga,mazoea na ubinafsi!
 
Tuondolee mawazo yako ya kidicteta hapa. Nani alikuambia rais anatunga sheria peke yake?
Hizi fikira za kudhani kuwa rais anaweza kuamua lolote ziko sana hapa Tz. Ni fikra za kijinga na uzwazwa. Hivi mnajua madhara ya kumuachia mtu mamlaka ya kuamua Kila kitu?
kapitie Uzi tena! hujaelewa kitu ukakoment! kuna mswada utapelekwa bungeni, lakini kwasabu nitakuwa rais nitatumia mkono Wangu kuhakiksha hilo linapita kuwa sheria!
Na nitawanyoosha kwelikweli watumishi wazembe! labda nisiwe rais 2025!..
 
Bado ninafasi kubwa yakuja kuwa rais wa JMT, hata nikikosa nitahakikisha namshauri rais kwa udi na uvumba upelekwe mswada wa kubadili umri wa kustaafu.
watumishi wote taasisi na mashirika ya umma mtalazimika kustaafu kazi mkiwa na umri wa miaka 38 kwa hiari na 40 kwa lazima, Ili mkajiajili kwasababu elimu, ujuzi na mtaji vyote mtakuwa navyo.

Kwa faida zifuatazo:
  1. Ili kuwafanya wanachi kuwa active wawapo kazini
  2. Ili kuwapisha kizazi kipya!
  3. Ili kuwaandaa watumishi kujiajili kwasababu tayali wanakuwa na mitaji
  4. Kuwafanya watumishi wasimamie na kuandaa Sera nzuri kwa wafanyabiashara.
  5. Kulifanya taifa liwe la wabunifu na wachapakazi kwelikweli
  6. kuimalisha mahusiano mazuri kati ya watumishi na wafanya biashara!
  7. Kutengeneza kizazi kisichokuwa tegemezi
  8. kupunguza uwezekano wa watumishi ambao siyo waaminifu kuendelea kulitia taifa hasara
  9. mazingira bora kwa watu wote
  10. kuifanya nchi yetu kuigwa na mataifa mengine .
Hakuna kinachoshindikana;

Note; Watumishi wenye sifa maalum tu! ambao watathibitika kuhitaji kwa ubora wao majina yao yatapewa kibari maalum kutoka ikulu, ndiyo watakaoendelea hadi miaka 50 kwa kibari maalum cha miaka mitano mitano 45/50(special task employees)

Nakaribisha maswali !!!!
Pole sana;

Kwanza hata ukipunguza umri wa kustaafu hayo matatizo unayotaja hayasababishwi na umri wa kustaafu yana sababishwa na akili kama za kwako.Akili za kuona wengine wanafaidi sana na kuumia kwa sababu hio.Pole kwa kupoteza muda wako kufikiria ujinga kama huu.Umri wa kustaafu unapangwa kwa kutumia vigezo vingi kimoja ni dependency ratio,life expectancy,youth unemployment rate.Kwa maana hio ni kwamba sio wivu wala kijicho kinachoamua umri wa kustaafu ni mahesabu.Na kwa uzoefu wa muda mrefu umri wa kustaafu unaofaa globally ni kati ya 50 hadi 70 so hesabu zako zikiweza kulenga 40 wakati watu wengine mpaka miaka 40 bado wanawategemea baba zao wenye miaka 70 kama kina Le Kibamiaz sijui utawasaidieje.
 
Ili ku balance... umri wa kuajiriwa uweke uwe kuanzia miaka 10+

Kwa sababu sasa legal age ya kuajiriwa ni kuanzia 18+


Cc: mahondaw
 
Pole sana;

.Umri wa kustaafu unapangwa kwa kutumia vigezo vingi kimoja na dependancy ratio,life expectancy,youth unemployment rate.umri wa kustaafu unaofaa globally ni kati ya 50 hadi 70 so hesabu zako zikiweza kulenga 40 wakati watu wengine mpaka miaka 40 bado wanawategemea baba zao wenye miaka 70 kama kina Le Kibamiaz sijui utawasaidieje.
Ulichosema hapo juu; ndicho nilichokisema sababu ktk sababu zangu kwenye Uzi Wangu!
labda kwasababu niliandika kwa kiswahili!
kiwango cha wasio na ajira ni kikubwa, kiwango cha wategemez ni kikubwa sana; kwahiyo tukipunguza mda Wa ajira, watu wengi wataajiliwa, kwanza watakao sitaafu mapema watakuwa wana uwezo Wa kuanzisha fursa nyingi zitakazo ajiri wenzao!
Ukitaka kunielewa usitumie role models ya watu kama LEMUTUZ Kuhalalisha ujinga!
lemutuz hata angeishi miaka 600 atabaki kuwa lemutuz yule yule .
Huko ulaya mtoto akifikisha miaka 18 kisheria mzazi anaruhusiwa kumfukuza nyumbani akajitegemee! huko China mtumishi anaesaini mradi unaoitia hasara serikali ananyongwa bongo tunabembelezana ndiyo maana miradi kama ya mwendokasi pale jangwani inajengwa kwa hasara!
Mambo kama hayo kwenye utawala Wangu nitawanyooosha kwelikweli!
 
Sasa kama umri wa kustaafu utakua miaka 38 je huuo myi atakua ameajiliwa akiwa na miaka mingapi? Atakua amemaliza shule/chuo akiwa na miaka mingapi?
Yeye mtoa mada ameangalia upande mmoja wa shilingi na ameandika kishabiki tu.
Inaonekana ametoka chuo halaf amekaa mtaani muda mrefu bila kazi ndio amewaza vitu Kama hivyo.
Sasa Kuna watu wengine huwa wanapata kazi Wana umri wa miaka 35 na wengine wanapata kazi kwenye umri wa miaka 40.
Kwa hyo watu kama hawa wafanye kazi miaka 3 tu halaf wastaafu itakuwa ndio wamefanya nini?
Na hasara nyingine ambayo nimeiona itakuwa ofisi moja inabadilishwa watendaji mara kwa mara maana kila mwaka kutakuwa na nyomi la watu wanaostaafu na wanaoingia kitu ambacho kitaharibu ufanisi wa ofisi na pia upotevu na wizi utakuwa mwingi maana ikitokea mistake hutojua ameifanya huyu wa Sasa au amefanya aliyestaafu jana na juzi.
Very hopeless opinion ever!
 
Yeye mtoa mada ameangalia upande mmoja wa shilingi na ameandika kishabiki tu.
Inaonekana ametoka chuo halaf amekaa mtaani muda mrefu bila kazi ndio amewaza vitu Kama hivyo.
Sasa Kuna watu wengine huwa wanapata kazi Wana umri wa miaka 35 na wengine wanapata kazi kwenye umri wa miaka 40.
Kwa hyo watu kama hawa wafanye kazi miaka 3 tu halaf wastaafu itakuwa ndio wamefanya nini?
Na hasara nyingine ambayo nimeiona itakuwa ofisi moja inabadilishwa watendaji mara kwa mara maana kila mwaka kutakuwa na nyomi la watu wanaostaafu na wanaoingia kitu ambacho kitaharibu ufanisi wa ofisi na pia upotevu na wizi utakuwa mwingi maana ikitokea mistake hutojua ameifanya huyu wa Sasa au amefanya aliyestaafu jana na juzi.
Very hopeless opinion ever!
Ulitakiwa uniambie hao waliokaa ofisini hadi miaka 70/60 wamefanya nini!
Unataka watu wakae ofisini mtu aizoee kama shambani kwake?
Watu watasoma mapema, nimesema la kwanza watoto wataanza na miaka 5/6 halafu msingi ni miaka 6 tu, ukimaliza form four chuo, certificate na kuendelea, ajira siku ya mahafali unapatiwa post kwenda kuriport kazi! 20/ 22 /23 wenye degrees wataajiliwa
 
Bado ninafasi kubwa yakuja kuwa rais wa JMT, hata nikikosa nitahakikisha namshauri rais kwa udi na uvumba upelekwe mswada wa kubadili umri wa kustaafu.
watumishi wote taasisi na mashirika ya umma mtalazimika kustaafu kazi mkiwa na umri wa miaka 38 kwa hiari na 40 kwa lazima, Ili mkajiajili kwasababu elimu, ujuzi na mtaji vyote mtakuwa navyo.

Kwa faida zifuatazo:
  1. Ili kuwafanya wanachi kuwa active wawapo kazini
  2. Ili kuwapisha kizazi kipya!
  3. Ili kuwaandaa watumishi kujiajili kwasababu tayali wanakuwa na mitaji
  4. Kuwafanya watumishi wasimamie na kuandaa Sera nzuri kwa wafanyabiashara.
  5. Kulifanya taifa liwe la wabunifu na wachapakazi kwelikweli
  6. kuimalisha mahusiano mazuri kati ya watumishi na wafanya biashara!
  7. Kutengeneza kizazi kisichokuwa tegemezi
  8. kupunguza uwezekano wa watumishi ambao siyo waaminifu kuendelea kulitia taifa hasara
  9. mazingira bora kwa watu wote
  10. kuifanya nchi yetu kuigwa na mataifa mengine .
Hakuna kinachoshindikana;

Note; Watumishi wenye sifa maalum tu! ambao watathibitika kuhitaji kwa ubora wao majina yao yatapewa kibari maalum kutoka ikulu, ndiyo watakaoendelea hadi miaka 50 kwa kibari maalum cha miaka mitano mitano 45/50(special task employees)

Nakaribisha maswali !!!!
Wazo lako ni nzuri kwani nia yako ni kila mhitimu kozi fulani apate ajira. Lakini lina mapungufu: KWANZA, nakubaliana na Elimu bila Malipo (Darasa la kwanza hadi Kidato cha nne). PILI, baada ya kidato cha nne, kidato cha tano au chuo hapo sasa mzazi analipa ada, kwa kidato cha tano ada ni nafuu lakini chuo in kuanzia milioni 3 kwenda juu kwa mwaka ukiachia vyuo vya ualimu. Wavyou wanasoma miaka mitatu jumla milioni 9 anatoa mzazi tena atasitaafu akifika 40!!. TATU, wa kidato cha sita akimaliza anaomba mkopo LOAN BOARD wa milioni 12. Akimaliza chou ana miaka 30 mkopo atalipa kwa muda gani? Kwa aliyepata kazi? Je ambaye ajapata kazi akiajiriwa na 35 na baadaye 40 asitaafu? SHIDA NI LOAN BOARD.
 
Ulitakiwa uniambie hao waliokaa ofisini hadi miaka 70/60 wamefanya nini!
Unataka watu wakae ofisini mtu aizoee kama shambani kwake?
Watu watasoma mapema, nimesema la kwanza watoto wataanza na miaka 5/6 halafu msingi ni miaka 6 tu, ukimaliza form four chuo, certificate na kuendelea, ajira siku ya mahafali unapatiwa post kwenda kuriport kazi! 20/ 22 /23 wenye degrees wataajiliwa
Na pia inabidi ujiulize hao waliokaa hadi miaka 60 wameshindwa kuanzisha biashara na wanaishi kimaskini je hao wa kustaafu na miaka 40 watasave kiasi gani Cha maana Cha kuweza kuanzisha investment.
Na ukisema watu wanazoea sana ofisi dawa sio kuwastaafisha ndio maana Kuna baadhi ya mashirika ya umma wafanyakazi huwa wanaamishwa mara kwa mara mikoa ili wasizoee mazingira ya ofisi moja.
 
Ulichosema hapo juu; ndicho nilichokisema sababu ktk sababu zangu kwenye Uzi Wangu!
labda kwasababu niliandika kwa kiswahili!
kiwango cha wasio na ajira ni kikubwa, kiwango cha wategemez ni kikubwa sana; kwahiyo tukipunguza mda Wa ajira, watu wengi wataajiliwa, kwanza watakao sitaafu mapema watakuwa wana uwezo Wa kuanzisha fursa nyingi zitakazo ajiri wenzao!
Ukitaka kunielewa usitumie role models ya watu kama LEMUTUZ Kuhalalisha ujinga!
lemutuz hata angeishi miaka 600 atabaki kuwa lemutuz yule yule .
Huko ulaya mtoto akifikisha miaka 18 kisheria mzazi anaruhusiwa kumfukuza nyumbani akajitegemee! huko China mtumishi anaesaini mradi unaoitia hasara serikali ananyongwa bongo tunabembelezana ndiyo maana miradi kama ya mwendokasi pale jangwani inajengwa kwa hasara!
Mambo kama hayo kwenye utawala Wangu nitawanyooosha kwelikweli!
Wewe unfahamu maana ya utegemezi?Ukimstaafisha mtu unamfanya anakuwa tegemezi.Kustaafisha watu hakuongezi nafasi za ajira kwa nama yoyote bali wastaafu wanakuwa wategemezi wanaopaswa kulipwa pensheni n.k.Pili ukosefu wa ajira unaweza ukaongezeka maradufu kwani hakuna uhakika kwamba wastaafu wote watahitaji nafasi zao kuzibwa kwa sababu ya nature ya kazi yenyewe.Fikiria zaidi ya hapo kama kweli unautamani urahisi
 
Wewe unfahamu maana ya utegemezi?Ukimstaafisha mtu unamfanya anakuwa tegemezi.Kustaafisha watu hakuongezi nafasi za ajira kwa nama yoyote bali wastaafu wanakuwa wategemezi wanaopaswa kulipwa pensheni n.k.Pili ukosefu wa ajira unaweza ukaongezeka maradufu kwani hakuna uhakika kwamba wastaafu wote watahitaji nafasi zao kuzibwa kwa sababu ya nature ya kazi yenyewe.Fikiria zaidi ya hapo kama kweli unautamani urahisi
ndiyo maana hata magufuli kuna watu huwatukana hadhalani kwa kufanya kazi kwa kukalili ! hata katiba MPYA ilikwamishwa na wachumia tumbo kwa mgongo Wa kujadili mambo kwa kukalili!
miaka 20 unaiona midogo? wanaokufaga mapema nafasi zao hulithiwa na kina nani?
 
ndiyo maana hata magufuli kuna watu huwatukana hadhalani kwa kufanya kazi kwa kukalili ! hata katiba MPYA ilikwamishwa na wachumia tumbo kwa mgongo Wa kujadili mambo kwa kukalili!
miaka 20 unaiona midogo? wanaokufaga mapema nafasi zao hulithiwa na kina nani?
Kumbe lori modo wako ni JPM?
 
uzuri wa hii "NDOTO" yako ni mmoja. Karibu kila mtumishi ataishia kuwa DIGRII moja tu. Na wale wenye DIPLOMA pia wataishia hapo hapo. Vyuo vikuu havitakuwa na maprofesa (inawezekana wakawepo wachache ambao hawatafundisha kwa zaidi ya miaka mitano)

NDOTO hii itakusaidia kuongeza wahalifu wengi sana mtaani kwani POLISI, mgambo na WANAJESHI watastaafu wakiwa bado wana ari sana ya ujana na mapambano na wengi wao watakuwa bado hawajijenga.

pia huko kwenye majeshi kuna vyeo havitafikiwa
 
uzuri wa hii "NDOTO" yako ni mmoja. Karibu kila mtumishi ataishia kuwa DIGRII moja tu. Na wale wenye DIPLOMA pia wataishia hapo hapo. Vyuo vikuu havitakuwa na maprofesa (inawezekana wakawepo wachache ambao hawatafundisha kwa zaidi ya miaka mitano)

NDOTO hii itakusaidia kuongeza wahalifu wengi sana mtaani kwani POLISI, mgambo na WANAJESHI watastaafu wakiwa bado wana ari sana ya ujana na mapambano na wengi wao watakuwa bado hawajijenga.

pia huko kwenye majeshi kuna vyeo havitafikiwa
wanajeshi wanaostaafu na 45 sahivi unajuwa wanafanya kazi gani sahivi? wanaofukuzwa upolisi na jeshi sahivi mbona hawawi majambazi?
 
wanajeshi wanaostaafu na 45 sahivi unajuwa wanafanya kazi gani sahivi? wanaofukuzwa upolisi na jeshi sahivi mbona hawawi majambazi?
Kuonyesha kukurupuka kwako umeishia kufuta ulichoandika....same as ulivyokurupuka na hii hoja yako.
Kufukuzwa vs Kustaafu kwa lazima ni tofauti interms of numbers
 
Back
Top Bottom