Nikiwa Rais mchanganuo wa balanced budget utakavyokua hivi na hii ni kama sample tu

Nikiwa Rais mchanganuo wa balanced budget utakavyokua hivi na hii ni kama sample tu

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Mapato yanayokusanywa sasa yanafika kama shiling trillion 32 haya ni makadirio siyo actual figure
TRA wanakusanya kama Trillion 24 na mapato mengine tofauti na kodi ni kama Trillion 8 hii ni kama sample tu ya mtizamo wangu
Team Dennis 255713520180

👇👇👇👇
Mchanganuo
A) Trillion 10 kuservice madeni ya nyuma

B) Trillion 14 kwa ajili ya recurrent expenditures
  1. Mishahara ya wafanyakazi wa serikali
  2. Posho
  3. Manunuzi ya magari kwa ajili ya shughuli za serikali

C) Trillion 10 kwa ajili ya development expenditures na mchanganuo wake ni kama ufuatavyo
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
  1. Trillion 3 kwa ajili ya barabara, kupima nchi nzima na madaraja
  2. Trillion 1 kwa ajili ya miundombinu ya michezo
  3. Trillion 1 kwa ajili ya ujenzi na uboreshaji wa shule, vyuo na ofisi za serikali
  4. Trillion 1 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya hospitali
  5. Trillion 1 kwa ajili ya dawa na vifaa vya hospitali za serikali
  6. Trillion 1 kwa ajili ya kujenga scheme za umwagiliaji
  7. Trillion 2 kwa ajili kuboresha miundombinu ya kusambaza umeme
  8. Billion 500 kwa ajili ya kununua vifaa vya jeshi mfano drone za kisasa, ndege za kisasa, kulifanya jeshi kuwa la kisasa na baadae itaongezeka
  9. Billion 500 kwa ajili ya tafiti za kutengeneza dawa from scratch hapa Tanzania na baadae itaongezeka maradufu

Faida za balanced budget
  1. Kuongeza chanzo kipya cha mapato ya kodi na ambayo sio ya kodi tsh Trillion 3
  2. Ukuaji wa uchumi utakua ni asilimia 9
  3. Kuongeza ajira rasmi laki 5 na zaidi
Miradi ifuatayo tutaijenga kama nchi
  1. Kuzalisha megawatts za umeme
  2. Kusambaza bomba la gesi nchi nzima
Kwa ngugu zote serikali yangu itatafuta waekezaji kwenye miradi ifuatayo
  1. Kujenga natural gas refinery kama crude oil, natural gas refinery, na
  2. Mwekezaji wa petrochemical
  3. Mwekezaji wa kujenga smelter mfano silicon wafer, & silicon wafer

 
Mapato yanayokusanywa sasa yanafika kama shiling trillion 34 haya ni makadirio siyo actual figure

View attachment 3336147
👇👇👇👇
Mchanganuo
  • Trillion 10 kuservice madeni ya nyuma
  • Trillion 14 kwa ajili ya recurrent expenditures
  • Trillion 10 kwa ajili ya development expenditures mchanganuo wake ni kama ufuatavyo
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
👉Trillion 3 kwa ajili ya barabara, kupima nchi nzima na madaraja
👉Trillion 1 kwa ajili ya miundombinu ya michezo
👉Trillion 1 kwa ajili ya ujenzi na uboreshaji wa shule, vyuo na ofisi za serikali
👉Trillion 1 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya hospitali
👉Trillion 1 kwa ajili ya dawa na vifaa vya hospitali za serikali
👉Trillion 1 kwa ajili ya kujenga scheme za umwagiliaji
👉Trillion 2 kwa ajili kuboresha miundombinu ya kusambaza umeme
👉Billion 500 kwa ajili ya kununua vifaa vya jeshi na baadae itaongezeka
👉Billion 500 kwa ajili ya tafiti za dawa na baadae itaongezeka

Faida za balanced budget
  1. Kuongeza chanzo kipya cha mapato ya kodi na ambayo sio ya kodi tsh Trillion 3
  2. Ukuaji wa uchumi utakua ni asilimia 9
  3. Kuongeza ajira rasmi laki 5 na zaidi
Miradi ifuatayo tutaijenga kama nchi
  1. Kuzalisha megawatts za umeme
  2. Kusambaza bomba la gesi nchi nzima
Kwa ngugu zote serikali yangu itatafuta waekezaji kwenye miradi ifuatayo
  1. Kujenga natural gas refinery kama crude oil, natural gas refinery, na
  2. Mwekezaji wa petrochemical
  3. Mwekezaji wa kujenga smelter mfano silicon wafer, & silicon wafer
MamaSamia2025 ,
Huyu jamaa ulishaur achukuliwe na chadema ili agombee URAISI 2025

SWEAT YOUR ASSETS.
#TWENDE NA DENNIS ROBERTS
 
Back
Top Bottom