Wameshakupora injini yako ya Scania wamekuwekea injini ya vesperLeo nimekaa nimejiuliza nimeshindwa kupata jibu.
Kiuhalisia karibia zaidi ya watu 10 sasa kila nikijaribu kujenga nao ukaribu kwa macho yangu nashuhudia wenzangu wakifanikia mimi nikibaki.
Ikitokea Nimeanza mchakato wa kutafuta ajira kiukweli mwenzangu atafanikiwa na kupata kazi haraka tofauti na mimi.
Sio biashara wala chochote.
Kiukweli nimekuwa disappointed sana hali iliyonipelekea niwe na msongo wa mawazo na kuogopa kuongeza rafiki mpya maishani.
Wameshakupora injini yako ya Scania wamekuwekea injini ya vesperLeo nimekaa nimejiuliza nimeshindwa kupata jibu.
Kiuhalisia karibia zaidi ya watu 10 sasa kila nikijaribu kujenga nao ukaribu kwa macho yangu nashuhudia wenzangu wakifanikia mimi nikibaki.
Ikitokea Nimeanza mchakato wa kutafuta ajira kiukweli mwenzangu atafanikiwa na kupata kazi haraka tofauti na mimi.
Sio biashara wala chochote.
Kiukweli nimekuwa disappointed sana hali iliyonipelekea niwe na msongo wa mawazo na kuogopa kuongeza rafiki mpya maishani.
Kama umeoa, anza kuwa karibu sana na mkeo. Kama bado, sasa ndio muda wa kuoa huu mkuu.Leo nimekaa nimejiuliza nimeshindwa kupata jibu.
Kiuhalisia karibia zaidi ya watu 10 sasa kila nikijaribu kujenga nao ukaribu kwa macho yangu nashuhudia wenzangu wakifanikia mimi nikibaki.
Ikitokea Nimeanza mchakato wa kutafuta ajira kiukweli mwenzangu atafanikiwa na kupata kazi haraka tofauti na mimi.
Sio biashara wala chochote.
Kiukweli nimekuwa disappointed sana hali iliyonipelekea niwe na msongo wa mawazo na kuogopa kuongeza rafiki mpya maishani.
Vesper ni kitu ganWameshakupora injini yako ya Scania wamekuwekea injini ya vesper
Bata vuziVesper ni kitu gan
Hii kitu Kuna mtu nishamuona nayo,Kila akifika ofisi flani,ndani ya dk5 lundo la watu linajazana kununua,nnapoengea mpaka saiz yy mwenyewe ameshaanza kuishtukia hii issueKwa upande wangu nilishaobserve nikiingia sehemu fulani kwenye biashara za watu mara nyingi dukani wateja wengi hujaa sijui kwanini
Lkn nafikir pia wajanja walishanote kitu kwasababu baadhi hunipigia hta cm kuniomba niende dukan kwao nikaangalie maybe mzigo mpya nk [mention]Mshana Jr [/mention] karibu unifungue macho