Akili ndogo kweli kweli. Akili ndogo kama hii huwaza hofu, wenye akili kubwa tunawaza:-
1. Uchumi wa kati.
2.Wakuu wa Idara na Taasisi za umma kupata posho ya madaraka kila mwezi.
3.Ikulu kuhamia Dodoma.
4. Mafisadi kunyonyolewa mchana kweupe.
5.Flyovers.
6. Bwawa la Umeme la mwl.Nyerere nk.
1. Uchumi wa kati.
2.Wakuu wa Idara na Taasisi za umma kupata posho ya madaraka kila mwezi.
3.Ikulu kuhamia Dodoma.
4. Mafisadi kunyonyolewa mchana kweupe.
5.Flyovers.
6. Bwawa la Umeme la mwl.Nyerere nk.