Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kikubwa, nitasema kuwa Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania

Habari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.
Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".
Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.
Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.
Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.
Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana. Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.
Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.
Tanzania inahitaji wakina Magufuli wengine wengi zaidi.
 
HOFU HOFU HOFU TUPU ILIKUWA HUWEZI KUITABIRI KESHO YAKO SI KWA ALIOWATEUWA AU YEYOTE YULE KWA UPANDE FULANI NAMSIFU KWA KIPAJI ALICHOKUWA NACHO MAANA ALIWEZA KUENDESHA NCHI NA WIZARA ZOTE YEYE MWENYEWE HUKU AKIFAHAMU KILA KITU KATIKA KILA WIZARA
Hakuwa na hicho kipaji. Hakuna mtu anayeweza kufahamu na kuendesha serikali yote inavyotakiwa. Alichokuwa nacho ni confidence iliyopitiliza kiasi cha kutojali kuvuruga mifumo na taratibu zote za utawala bora na makini.

Kwa jinsi Tanzania ilivyo leo, mtu yeyote mwenye kujiamini anaweza kufanya chochote, kusema chochote na akasifiwa sana kiasi cha kutukuzwa kama mtume na nabii huku wafuasi kibao wakipambania legacy yake!
 
Zaidi ya UJINGA na kupumbaza watu wasiojielewa na slogan ya UNYONGE hakuna kingine.
 
Habari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.
Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".
Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.
Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.
Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.
Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana. Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.
Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.
😅😅kweli
 
Hakuwa na hicho kipaji. Hakuna mtu anayeweza kufahamu na kuendesha serikali yote inavyotakiwa. Alichokuwa nacho ni confidence iliyopitiliza kiasi cha kutojali kuvuruga mifumo na taratibu zote za utawala bora na makini.

Kwa jinsi Tanzania ilivyo leo, mtu yeyote mwenye kujiamini anaweza kufanya chochote, kusema chochote na akasifiwa sana kiasi cha kutukuzwa kama mtume na nabii huku wafuasi kibao wakipambania legacy yake!
Ameacha amepandikiz maharamia ndani na nje ya mifumo ya serikali. Kufutika itachukua muda mrefu sana.
 
HOFU HOFU HOFU TUPU ILIKUWA HUWEZI KUITABIRI KESHO YAKO SI KWA ALIOWATEUWA AU YEYOTE YULE KWA UPANDE FULANI NAMSIFU KWA KIPAJI ALICHOKUWA NACHO MAANA ALIWEZA KUENDESHA NCHI NA WIZARA ZOTE YEYE MWENYEWE HUKU AKIFAHAMU KILA KITU KATIKA KILA WIZARA
Kuna watu walimwezesha kuwa vile. Sijui leo wanajisikiaje.
 
Hayo ni yako mtoa mada.. Kwangu mimi Hayati JPM anaishi.. Na Nabii aliyekuja kwetu kutufumbua macho na kutuonyesha kuwa watanzania tunaweza kuendeleza nchi yetu bila utegemezi wa nchi za magharibi.. Ni nabii aliyekuja kutufundisha umuhimu wa kufanya kazi na kuipenda nchi yetu.. Ni Nabii aliyekuja kwetu kutuonyesha kuwa watu wanaoishi kwa wizi wa ujanja ujanja wanadhibitika.. Ni Nabii aliyekuja kwetu kutufundisha jinsi Taasisi ya Urais inavyotakiwa kufanya kazi.. Na kama ilivyo ada, manabii wengi huwa hawaishi muda mrefu na jamii zao.. Kaongoza kipindi kimoja akitamani kumalizia kipindi cha pili, lakini mMwenyezi Mungu akamwambia kijana wangu inatosha.. Njoo upumzike.. Nasi tuliomuelewa tutamkumbuka daima.. Na jina lake litaishi vizazi hata vizazi...
Alikuwa binadamu abadan hakuwa nabii. Binadaamu n ana up ande wa wema na ubaya. Nabii hapana

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Nchi imeharibika ssna. Lakini siyo kosa la Magufuli. Magufuli alikuwa benevolent despot, a very clever person. Kila wakati anasema ukiwaonea watu,watakuadhiri siku ya kura. Alikuwa hysterical kuhusu hilo jambo. Ukiwaonea watu unaweza vipi kwenda kuwaomba kura.
Lakini hawa viongozi wengine hawaoni sa babu ya kupanic kuhusu raia wakati zipo gari za kurusha maji
ya pilipili. Wanamuona Magufuli alikuwa too idealistic. Kiongozi hawezi wala hapaswi kutaka kuwapendeza wananchi wote. Angalia hii spichi yake ya mwisho katika kituo cha mabasi Ubungo. He was talking and people were flinching.
Lakini watu walipotaka kumuiga Magufuli,watu tàahira wanapotaka kumu iga. Magufuli ndio matatizo yetu yanapoanza.
Nchi imejaa madikteta,left,right and centre.
Ufikteta umezidi katika nchi hí. Hatuwezi kurebisha. Heads will roll.
The road to hell is paved with good intentions. People are not interested in what the law says, they just want you to stop sinning.
 
Habari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.
Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".
Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.
Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.
Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.
Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana. Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.
Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.1.

Habari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.
Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".
Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.
Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.
Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.
Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana. Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.
Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.

sasa kama mama yako hakuogopa kukuzaa mpaka unaandika ujinga huu na zombie wenzako wana ku support, pole
 
Habari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.

Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".

Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.

Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.

Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.

Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana.

Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.

Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.
Hofu kubwa ni alivyo imaliza Chadema kutoka kuwa chama cha Kitaifa na kubaki kuwa chama cha Mkoa wa Rukwa. Na kusaidia wabunge 18 kwa ajili ya kurekebisha mahusiano na nchi za nje.

Magufuli kiboko ila amefanya kazi nusu kwa miaka 5 ya kwanza, kwa kutubakizia Mbunge mmoja , awamu hii ilikuwa asafishe kweupe asibakize Mbunge hata mmoja wa Vibaraka wa Shoga Amsterdam.
 
Habari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.

Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".

Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.

Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.

Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.

Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana.

Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.

Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.
Ni kweli Magufuli aliwapa hofu sana mafisadi, wahujumu uchumi, wauza unga, majambazi, mawakala wa mabeberu, watumishi hewa na vyeti feki. Alikuwa faraja kubwa kwa wanyonge Kama wamachinga na mama lishe.
Ni wakati pekee wanyonge walikuwa na furaha na nchi yao baada ya miaka mingi ya manyanyaso toka kwa matajiri waliokuwa wameiweka serikali mikononi mwao. Si ajabu hata walioomboleza kifo chake kwa uchungu ni hao hao wanyonge.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Habari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.

Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".

Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.

Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.

Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.

Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana.

Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.

Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.
Hivi wewe kila article yako ni kumnang’a Magufuli. Inatakiwa u move on la sivyo utakuwa zezeta tu. Mtu kakofia nahangaika naye wa nini?
 
Habari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.

Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".

Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.

Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.

Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.

Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana.

Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.

Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.
Hivi ule uzio wa muda wa mabati katika kabiri lake ulishaondolewa na kuwekwa mwingine wenye hadhi ya cheo chake?
 
Back
Top Bottom