toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,838
- 10,262
aisee hata mimi mume wangu akinileteaga hizo za eti hela umefanyia nini lazma huwa panachimbika, kuna kipindi hadi nilisusa kupokea hizo hela zake za matumizi mwenyewe amejirekebisha ameacha kabisa biashara ya kuniuliza eti hela umefanyia nini mbona imeisha haraka, inakera bwana
Na nyie mnapenda sana hela za bure mjue kuzitafuta, me ukikasirika wala sijal, wanawake wanapendaga kujinunisha bila sababu
Sent from my iPhone using JamiiForums