Nikiuliza matumizi mbona anakuwa mkali

Davey 2017

Senior Member
Mar 24, 2017
109
133
Swali toka kwa mdau mmoja hapa ofisini leo asubuhi, anasema anautaratibu nyumbani kwake wa kutoa matumizi ya kawaida kwa mwezi kati ya laki nne hadi sita kutokana na mwezi umeenda vizuri vipi, wakati mwingine sikukuu mambo yakiwa sawa huenda hadi laki nane, lakini mambo yakiwa magumu hasa nyakati za ada, basi hupungua na kuwa laki tatu.

Swali ni hili, anafahamu mke wake anakuwa na mahitaji yake, hana tabia ya kuuliza listi, lakini wakati mwingine mahitaji huisha ndani ndani ya wiki mbili ama tatu na imekuwa akiuliza tu, basi ni ugomvi, na anaambiwa anafikiri watu wezi. February hali ilikuwa ngumu na aka afford kutoa laki mbili sabini. Jana amepewa taarifa na msichana wa kazi kuwa vitu kadhaa vimeisha, asubuhi amemuuliza mwenzake ugomvi umeanza na mwanamke anasema anataka kuondoka.

Familia ni ya watu tano, watoto wawili, mdada wa kazi , mke na mume. Mkewe kwa sasa ni mama wa nyumbani

Hebu toeni ushauri


MREJESHO....MREJESHO

Baada ya kusoma comments ambazo zina mwelekeo chanya. Nilirejea nyumbani na kumtaarifu bibiye nikiwa na mshenga kuwa nahitaji asepe akapumzike nyumbani sababu sijapendezewa na hiyo tabia yake ( mkwara tu). Aliangua kilio kikuuuuuubwa sana na kuomba msamaha. To cut the story short. Sitakuwa natoa hela lumpsum. Ntanunua vitu mwenyewe na kumwachia matumizi. Sababu nimepita maduka na masoko kadhaa kama wale majamaa zangu wa procurement nikafanya price analysis na nimegundua mengi.

Asanteni kwa michango yenu
 
jamaa afanye utaratibu wa kufanya manunuzi ya vyakula vyote peke yake, kila wiki ama kwa mwezi kisha kila siku aache hela kiasi ambayo hatakuwa anaiulizia, pia afanye utaratibu wa ku control matumizi ya vyakula asiumie sana...
 
Huyo mgeni kwenye Tasnia ya ndoa! Usitoe hela ya matumizi lumpsum kamwe! Hata milioni 2 haitafika mwezi! Mwenzako anacheza vikoba na kujenga kwao hela hiyo! Muachie elfu 10 kila siku au nenda mwenyewe sokoni weekend fungasha vitu vya wikI nzima weka kwa fridge! Hela ya matumizi yake subiri akuombe! TAHADHARI KWA KUWA UMEMZOESHA JIANDAE KWA UPINZANI MKALI!
 
Mwambie Jamaa aufanyie kazi huu ushauri
jamaa afanye utaratibu wa kufanya manunuzi ya vyakula vyote peke yake, kila wiki ama kwa mwezi kisha kila siku aache hela kiasi ambayo hatakuwa anaiulizia, pia afanye utaratibu wa ku control matumizi ya vyakula asiumie sana...
Alafu ibaki kua anampa Mkewe pesa ya matumizi yake binafsi kama mke !!!.
 
Hahahaha sijawahi kupata Elimu kama hiii
Huyo mgeni kwenye Tasnia ya ndoa! Usitoe hela ya matumizi lumpsum kamwe! Hata milioni 2 haitafika mwezi! Mwenzako anacheza vikoba na kujenga kwao hela hiyo! Muachie elfu 10 kila siku au nenda mwenyewe sokoni weekend fungasha vitu vya wikI nzima weka kwa fridge! Hela ya matumizi yake subiri akuombe! TAHADHARI KWA KUWA UMEMZOESHA JIANDAE KWA UPINZANI MKALI!
Huu Uzi ,hili pia nalichukua !!
 
Huyo mgeni kwenye Tasnia ya ndoa! Usitoe hela ya matumizi lumpsum kamwe! Hata milioni 2 haitafika mwezi! Mwenzako anacheza vikoba na kujenga kwao hela hiyo! Muachie elfu 10 kila siku au nenda mwenyewe sokoni weekend fungasha vitu vya wikI nzima weka kwa fridge! Hela ya matumizi yake subiri akuombe! TAHADHARI KWA KUWA UMEMZOESHA JIANDAE KWA UPINZANI MKALI!
Asipofuata huu ushauri ataishia kujenga tumboni!!
 
aisee hata mimi mume wangu akinileteaga hizo za eti hela umefanyia nini lazma huwa panachimbika, kuna kipindi hadi nilisusa kupokea hizo hela zake za matumizi mwenyewe amejirekebisha ameacha kabisa biashara ya kuniuliza eti hela umefanyia nini mbona imeisha haraka, inakera bwana
 
aisee hata mimi mume wangu akinileteaga hizo za eti hela umefanyia nini lazma huwa panachimbika, kuna kipindi hadi nilisusa kupokea hizo hela zake za matumizi mwenyewe amejirekebisha ameacha kabisa biashara ya kuniuliza eti hela umefanyia nini mbona imeisha haraka, inakera bwana
Duh... Mrs Leo bana
 
aisee hata mimi mume wangu akinileteaga hizo za eti hela umefanyia nini lazma huwa panachimbika, kuna kipindi hadi nilisusa kupokea hizo hela zake za matumizi mwenyewe amejirekebisha ameacha kabisa biashara ya kuniuliza eti hela umefanyia nini mbona imeisha haraka, inakera bwana
Yaani utapanye hela then usiulizwe kwani me huko naziokota?
Me nitakuuliza tu, na uje na majibu yanayojitosheleza.
 
Huyo mgeni kwenye Tasnia ya ndoa! Usitoe hela ya matumizi lumpsum kamwe! Hata milioni 2 haitafika mwezi! Mwenzako anacheza vikoba na kujenga kwao hela hiyo! Muachie elfu 10 kila siku au nenda mwenyewe sokoni weekend fungasha vitu vya wikI nzima weka kwa fridge! Hela ya matumizi yake subiri akuombe! TAHADHARI KWA KUWA UMEMZOESHA JIANDAE KWA UPINZANI MKALI!
Hii nilikuwa sijui. Kumbeee

Sent from my SM-G928F using Tapatalk
 
Swali toka kwa mdau mmoja hapa ofisini leo asubuhi, anasema anautaratibu nyumbani kwake wa kutoa matumizi ya kawaida kwa mwezi kati ya laki nne hadi sita kutokana na mwezi umeenda vizuri vipi, wakati mwingine sikukuu mambo yakiwa sawa huenda hadi laki nane, lakini mambo yakiwa magumu hasa nyakati za ada, basi hupungua na kuwa laki tatu.

Swali ni hili, anafahamu mke wake anakuwa na mahitaji yake, hana tabia ya kuuliza listi, lakini wakati mwingine mahitaji huisha ndani ndani ya wiki mbili ama tatu na imekuwa akiuliza tu, basi ni ugomvi, na anaambiwa anafikiri watu wezi. February hali ilikuwa ngumu na aka afford kutoa laki mbili sabini. Jana amepewa taarifa na msichana wa kazi kuwa vitu kadhaa vimeisha, asubuhi amemuuliza mwenzake ugomvi umeanza na mwanamke anasema anataka kuondoka.

Familia ni ya watu tano, watoto wawili, mdada wa kazi , mke na mume. Mkewe kwa sasa ni mama wa nyumbani

Hebu toeni ushauri
Kwahiyo ndo kakwambia uje uandike JF? Na wewe unafikiri kutoa pesa ndogo ya matumizi ndo inataka kufanya Mwanamke aondoke?
 
inakera eeh? ivi nyi wadada mbona mnakuwa vibonzo kiasi icho izo hela zinaokotwa au zinachimbwa kwamba ashindwe kuuliza?
aisee hata mimi mume wangu akinileteaga hizo za eti hela umefanyia nini lazma huwa panachimbika, kuna kipindi hadi nilisusa kupokea hizo hela zake za matumizi mwenyewe amejirekebisha ameacha kabisa biashara ya kuniuliza eti hela umefanyia nini mbona imeisha haraka, inakera bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aisee hata mimi mume wangu akinileteaga hizo za eti hela umefanyia nini lazma huwa panachimbika, kuna kipindi hadi nilisusa kupokea hizo hela zake za matumizi mwenyewe amejirekebisha ameacha kabisa biashara ya kuniuliza eti hela umefanyia nini mbona imeisha haraka, inakera bwana
Mwenzako akiulizwa umefanyia nini itakuwa balaa zaidi. Anauliza mwezi huu umenunua hiki kiasi gani ama kile kiasi gani ndipo panachimbika

Sent from my SM-G928F using Tapatalk
 
aisee hata mimi mume wangu akinileteaga hizo za eti hela umefanyia nini lazma huwa panachimbika, kuna kipindi hadi nilisusa kupokea hizo hela zake za matumizi mwenyewe amejirekebisha ameacha kabisa biashara ya kuniuliza eti hela umefanyia nini mbona imeisha haraka, inakera bwana
Yaan uulizwe Jambo La msingi km ilo Ususe ? Unune ?pachimbike???



Mimi nahisi sitoruhusu pachimbike, nitakapouliza nitahitaji unipe Maelekezo sio Maneno.

Ukinipa Maneno ili pachimbike... Nitasimama kama mwanaume.
 
Back
Top Bottom