Davey 2017
Senior Member
- Mar 24, 2017
- 109
- 133
Swali toka kwa mdau mmoja hapa ofisini leo asubuhi, anasema anautaratibu nyumbani kwake wa kutoa matumizi ya kawaida kwa mwezi kati ya laki nne hadi sita kutokana na mwezi umeenda vizuri vipi, wakati mwingine sikukuu mambo yakiwa sawa huenda hadi laki nane, lakini mambo yakiwa magumu hasa nyakati za ada, basi hupungua na kuwa laki tatu.
Swali ni hili, anafahamu mke wake anakuwa na mahitaji yake, hana tabia ya kuuliza listi, lakini wakati mwingine mahitaji huisha ndani ndani ya wiki mbili ama tatu na imekuwa akiuliza tu, basi ni ugomvi, na anaambiwa anafikiri watu wezi. February hali ilikuwa ngumu na aka afford kutoa laki mbili sabini. Jana amepewa taarifa na msichana wa kazi kuwa vitu kadhaa vimeisha, asubuhi amemuuliza mwenzake ugomvi umeanza na mwanamke anasema anataka kuondoka.
Familia ni ya watu tano, watoto wawili, mdada wa kazi , mke na mume. Mkewe kwa sasa ni mama wa nyumbani
Hebu toeni ushauri
MREJESHO....MREJESHO
Baada ya kusoma comments ambazo zina mwelekeo chanya. Nilirejea nyumbani na kumtaarifu bibiye nikiwa na mshenga kuwa nahitaji asepe akapumzike nyumbani sababu sijapendezewa na hiyo tabia yake ( mkwara tu). Aliangua kilio kikuuuuuubwa sana na kuomba msamaha. To cut the story short. Sitakuwa natoa hela lumpsum. Ntanunua vitu mwenyewe na kumwachia matumizi. Sababu nimepita maduka na masoko kadhaa kama wale majamaa zangu wa procurement nikafanya price analysis na nimegundua mengi.
Asanteni kwa michango yenu
Swali ni hili, anafahamu mke wake anakuwa na mahitaji yake, hana tabia ya kuuliza listi, lakini wakati mwingine mahitaji huisha ndani ndani ya wiki mbili ama tatu na imekuwa akiuliza tu, basi ni ugomvi, na anaambiwa anafikiri watu wezi. February hali ilikuwa ngumu na aka afford kutoa laki mbili sabini. Jana amepewa taarifa na msichana wa kazi kuwa vitu kadhaa vimeisha, asubuhi amemuuliza mwenzake ugomvi umeanza na mwanamke anasema anataka kuondoka.
Familia ni ya watu tano, watoto wawili, mdada wa kazi , mke na mume. Mkewe kwa sasa ni mama wa nyumbani
Hebu toeni ushauri
MREJESHO....MREJESHO
Baada ya kusoma comments ambazo zina mwelekeo chanya. Nilirejea nyumbani na kumtaarifu bibiye nikiwa na mshenga kuwa nahitaji asepe akapumzike nyumbani sababu sijapendezewa na hiyo tabia yake ( mkwara tu). Aliangua kilio kikuuuuuubwa sana na kuomba msamaha. To cut the story short. Sitakuwa natoa hela lumpsum. Ntanunua vitu mwenyewe na kumwachia matumizi. Sababu nimepita maduka na masoko kadhaa kama wale majamaa zangu wa procurement nikafanya price analysis na nimegundua mengi.
Asanteni kwa michango yenu