Mzee wa fact
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 234
- 183
Llaki 4 wajanja anachukua kabisa mkopo ata mil 5 rejesho tosha kabisa hiloHa ha haaaa. Mengine hatujui tunajifunza. Laki tano siyo ndogo atiii
Sent from my SM-G928F using Tapatalk
Llaki 4 wajanja anachukua kabisa mkopo ata mil 5 rejesho tosha kabisa hiloHa ha haaaa. Mengine hatujui tunajifunza. Laki tano siyo ndogo atiii
Sent from my SM-G928F using Tapatalk
ha ha ha mkuu mbona hili povu halinihusu...au umenikopi kwa sababu ipi hasa!!!Umeolewa na boya wewe Mimi nanunua gunia la mkaa,kiroba Cha unga .maharage kg10 na Michelle kg 25 na mafuta ya kula lita 10 halafu Kila siku unakula 5000
Tumizi ya fedha hayanaga standards Kuna kupanda na kushukaInategemea mlivyoanza mahusiano ulimset vipi kwenye matumizi ya pesa.
😂😂🙏 Nimeliboresha mkuu nimeona liko vzr Sana Hawa watu bila udikteta unaishia kupanga mjiniha ha ha mkuu mbona hili povu halinihusu...au umenikopi kwa sababu ipi hasa!!!