Nikitoka nje mashine inasuasua sana

Nikitoka nje mashine inasuasua sana

Mkeo ana remote ya jegeje lako, yaan anaku- control hata uwe wapi, wanawake ndio washirikina no.1 asikwambie mtu..[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba niwe wa kwanza kukupa taarifa nzuri. Roho wa Mungu bado yupo ndani yakoo.
*****Kitu kingine energy connection kati ya wewe na mke wako imekuwa kubwa sana kiasi kwamba ukitaka kufanya connection nyingine yeyoye ile inauliwa kiraisi sana na energy connection kubwa uliyonayo toka kwa mkeo****

Chukulia mfano umeme ambao haujapitia kwenye Transformer uunganishe direct nyumbani unanunguza vifaaa vyote. Sasa ukichepuka unakuwa una umeme mkubwa sana kati yako na mkewe halafu ule wako na mchepuko unakuwa mdogo sana kwaio unaunguza hisia zote kati yako na mchepukaji wako..

Watu wanaochepuka na kuinjoy mara nyingi unakuta energy zao zimeisha bguvu sana au hazikupata kabisa nguvu.



Ubarikiwe kwa kuwa na upendo na mkeo

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha unafiki wa kumsingizia Mungu, kuna mambo mengine inawezekana ni mkewe kamtega

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakua chaji imekata [emoji2][emoji2][emoji2]
Nikichepuka utendaji unakuwa hafifu sana,hata niwe nimechepuka na mwenye mvuto zaidi ya niliyenaye,wakati mwingine naishia kupapasa papasa tu na kuvaa T-BETTER,ila nikirudi kunako husika mashine wima wima ,nimefikia maamuzi sasa kuchepuka basi.
Hii inatokana na nini hasa wakuu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza uamuzi uliochukua ni mzuri,

Pili,kaa chini na mzazi yaani baba kama yupo ama mzee yoyote kwenye ukoo mwenye busara zake unae amini anaweza kukusikiliza na kukusaidia hili.
Maana hatuombei ila ikitokea wife katangulia mbele za haki utaitumikia kauli isemayo OYO OGOROGA WAMALA GOBOTELA yaani alie kuroga ameisha fariki.
 
Nikichepuka utendaji unakuwa hafifu sana,hata niwe nimechepuka na mwenye mvuto zaidi ya niliyenaye,wakati mwingine naishia kupapasa papasa tu na kuvaa T-BETTER,ila nikirudi kunako husika mashine wima wima ,nimefikia maamuzi sasa kuchepuka basi.
Hii inatokana na nini hasa wakuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu anakupenda sana na ameona akupe muda zaidi wa Kuishi na kumtumikia. Heshimu ndoa yako uliyo ichagua mwenyewe
 
Nikichepuka utendaji unakuwa hafifu sana,hata niwe nimechepuka na mwenye mvuto zaidi ya niliyenaye,wakati mwingine naishia kupapasa papasa tu na kuvaa T-BETTER,ila nikirudi kunako husika mashine wima wima ,nimefikia maamuzi sasa kuchepuka basi.
Hii inatokana na nini hasa wakuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaatunatofautiana sana kuna watu michi za ugenini ni mastaa sana
 
Nikichepuka utendaji unakuwa hafifu sana,hata niwe nimechepuka na mwenye mvuto zaidi ya niliyenaye,wakati mwingine naishia kupapasa papasa tu na kuvaa T-BETTER,ila nikirudi kunako husika mashine wima wima ,nimefikia maamuzi sasa kuchepuka basi.
Hii inatokana na nini hasa wakuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha hatutakagi ujingaujinga,ukome

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom